lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,715
- 25,956
Hata tukiwalinganisha sidhani kama MOU yuko tayari kumuachia Tammy, bond waliyonayo AS Roma ni kubwa mno, kule Tammy anadhaminiwa na Mashabiki na uongozi. Na anaonekana kama mfalme. Huku sisi tulimpuuza na kumdharau, angeendelea kukaa tungempiga na mawe hata kama msimu wake wa kwanza tu alitupa 15+ goals, Tangu aondoke yey ndie top goals scorer hadi leoBroja vs Tammy Abraham
Sijawahi kumshuhudia BROJA akicheza, ana ubora zaidi ya Tammy Abraham au yuko chini au viwango vinalingana?
Tammy hakuwa mzuri sana zaidi ya striker tuliyekuwa naye ndotoni lakini angetufaa sana kipindi hiki kama angekuwepo. Au ndio laana yake inatuzinga bado