Huyu Konde boy TT anaemkomalia kila tukiamka siujui uchezaji wake, ni kwamba ni mzuri sana au?Jules Koundé has been left out of Sevilla’s squad for upcoming pre-season friendly in Portugal, as negotiations are still ongoing.
It was already decided internally, as Sevilla are in talks to sell Koundé this week.
Kounde ni mzuri, ana umri mdogo ataendelea kukua zaidi, mimi namuona Kounde kama the right upgrade ya Christansen, stats nyingi za passing, shooting, scoring, possesion, defensive kampita ChristansenHuyu Konde boy TT anaemkomalia kila tukiamka siujui uchezaji wake, ni kwamba ni mzuri sana au?
Mana kakomaa tu na konde, naona hata wakiambiwa anauzwa 1000M watatoa.
Alitaka kupiga kwa mbwembwe kama ile ya Aguero kwa MendyNmeangalia jinsi Gallagher alivokosa penalti, aisee ni kichekesho
Nmebaki nacheka tuu aiseeAlitaka kupiga kwa mbwembwe kama ile ya Aguero kwa Mendy
Shabiki wa Chelsea hawezi kusema haya manenoHuyu Konde boy TT anaemkomalia kila tukiamka siujui uchezaji wake, ni kwamba ni mzuri sana au?
Mana kakomaa tu na konde, naona hata wakiambiwa anauzwa 1000M watatoa.
Nimekuelewa sana mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ukishindwa kumsajili Haaland unaweka plan ya kumzuia, huyo dogo sio wa kumjaribu
Huyo bila 100 plus dejong hatok pale. Trust meKuna taarifa kuwa Barcelona wamesalimu amri na ansikia wanamtaka William Saliba wa Arsenal sasa
Man U wametoa Euro 65m plus 20m addons na wamekubaliwa, hii ya mil 100 umeitoa wapi?Huyo bila 100 plus dejong hatok pale. Trust me
Napenda beki anaejua kupga pasi, kama Silva huwa namuelewa sana.Kounde ni mzuri, ana umri mdogo ataendelea kukua zaidi, mimi namuona Kounde kama the right upgrade ya Christansen, stats nyingi za passing, shooting, scoring, possesion, defensive kampita Christansen
Koulibaly ndie mwenyewe sasaNapenda beki anaejua kupga pasi, kama Silva huwa namuelewa sana.
Rudger alikua mzuri ila kwenye kupga pasi hakua mzur kivile.
Asee wasajiliwe harakaKoulibaly ndie mwenyewe sasa
Kuna kitu gani kibaya nimeongea? Kumuita konde boy au?Shabiki wa Chelsea hawezi kusema haya maneno
Nani asajiliwe.?Asee wasajiliwe haraka
Na ndio anapofeli , hatuna kiungo mkatili pale Kati na creative WA kutengeneza penetrative passes kama Fabregas au Lampard enzi zake , tutasuffer Sana kama hatupati creative midfielderYaan huyu kocha kakomaa na beki tu hakuna kingine amekipanga, na bek zake hizo watu watapita humo humo.
Anunue Dejong abalance team