Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jorginho ni deep playmaker ungeweka kwa wale viungo wa chini ningekuelewa
Nakuhakikishia hata wakiwekwa hao unaowaita deep player makers, Jorginho hatakuwepo popote, yule ni msanii tu aliyetembelea nyota njema kwenye kipindi cha tunabeba UEFA na timu yake ua Taifa ikabeba EURO 2020. Kinyume na hapo ni usanii mkubwa kwa vile eti anajua kutoa short passes ambazo nyingi ni za kuwarudishia akina Rudiger na Silva
 
Jorginho ni deep playmaker ungeweka kwa wale viungo wa chini ningekuelewa
Sisemi Jo ni mbaya ila mnapa sifa ambazo hazistahili kabisa. Namuona tu ni kiungo mzuri wa kawaida ambaye anahitaji kuwa na kiungo mwenzake, yeye awe backup/rotation. kwa sababu factor kubwa kwenye viungo ni kuwasaidia mabeki kulinda goli na kutoa key passes za kuleta magoli ambazo hizo sifa yeye hana
 
Hakuna kochq wa chelsea anayeweza promote 4-5 player kutoka academy
Halaf utake kushindana na city/liverpool

Makocha wako kwa ajili ya kushinda, matokeo yakiwa mabaya wanalaumiwa wao na si wachezaji
Itakuwa very risk hata kama wanacheza vizuri. Kwenye umri mdogo chini ya 22yrs ni only about 5 to 10 % ya wachezaji wanaweza cheza vizuri na wakamaitain consistency through out hadi wakomae kama akina Mbape, Haaland, Mount, Declan rice na wengine. Ila staili kama ya kina Odoi, Gilmour na wenzake, leo kacheza vizuri mechi zingine ni kupanic na kutojiamini hadi mwisho au anweza akacheza vizuri ila akafanya big blunder ambayo inazamisha jahazi kabisa kama ile ya Chalobah msimu uliopita badala afanye clearance anataka kufanya mbwembwe za sarakasi za kwenye sinema.
 
Kama ni kumsajili mmoja kati ya hawa CB ungependekeza yupi?
  1. Kimpembe
  2. Kounde
1658226737623.png
 
Kwanini Broja asipewe anachokitaka. Tusikomae kuwalaumu hawa wachezaji wakati mwingine tuangalie upande wao pia. Mchezaji kama huyu mpaka kufika hapo keshakua na uhakika na anaonesha anajiamini kwa kile anachohitaji. Hatuna striker na dogo anaonesha keshaprove anaweza kupambana EPL apewe hiyo nafasi hawa sio wa kuuzwa kabisa
Tomori v2.0!
 
Mazungumzo baina ya Chelsea na Westham yako kwenye hatua za mwisho kumuuza Broja kwa paundi 30m.
 
Tomori v2.0!
Mifano ni mingi mno. TT keshasema anafanya rebuild haya mnaenda sokoni hakuna mchezaji wa kueleweka unarudi ndani unakuta una silaha kwa nini usiingie nayo vitani hiyo.

Shida watu wanataka kujifananisha na sajili zinazofanywa na Man City na Liver sasa unajiuliza tutampata wapi mchezaji callibre ya Halaand? Lewandowski tulimtaka lakini kilichotokea mnakijua. Hii ndio nafasi yao otherwise kila academy graduates ataona Chelsea sio mahala sahihi kwake.
 
Yuko Ronaldo, Nkunku, Ivan Toney wa Brentford wanamuuza Paundi 40m,
Tulishafanya sajili kama ya Lukaku na Werner lakini bado hawajaonyesha kile tulichotegemea kutoka kwao zaidi ya kuambulua matusi toka kwa Lukaku.

Sina maana tusisajili ila panic buy zinatuumiza mno na wakati kuna nafasi zinaweza zibwa na mchezaji wa academy ambaye ni mzuri tu
 
Tulishafanya sajili kama ya Lukaku na Werner lakini bado hawajaonyesha kile tulichotegemea kutoka kwao zaidi ya kuambulua matusi toka kwa Lukaku.

Sina maana tusisajili ila panic buy zinatuumiza mno na wakati kuna nafasi zinaweza zibwa na mchezaji wa academy ambaye ni mzuri tu
Yaani lukaku jinga lile hadi saa hii bado anaiandama Chelsea kwa vijembe kama vile mwimbaji wa Taarabu
 
Tulishafanya sajili kama ya Lukaku na Werner lakini bado hawajaonyesha kile tulichotegemea kutoka kwao zaidi ya kuambulua matusi toka kwa Lukaku.

Sina maana tusisajili ila panic buy zinatuumiza mno na wakati kuna nafasi zinaweza zibwa na mchezaji wa academy ambaye ni mzuri tu
Tunaweza risk msimu huu hata tukibaki top 4 tu halafu plan B ya rebuild iwe kuwapa academy hao nafasi, ndani ya msimu mmoja utamjua wa kwenda naye zaidi na nina mzigo wa kumtua
Yuko Broja na Levis ambao hawakupewa muda wa kutosha
 
[emoji117] Chief tumefanya jitihada nyingi na kubwa kusajili mastriker, nadhani mwisho wa siku tukubali hiyo no 9 ina mkosi THE BLUES.

[emoji117] Sidhani kama watatokea tena mastriker wengine wakaimudu hiyo nafasi zaidi ya Drogba, Costa na Anelka Mapungo.

[emoji117] Muda mwingine nawaza ubora wa mawinga na attacking midfielders tulionao kwa sasa baada ya Hazard, Willan, Lampard na Fab kuondoka.

[emoji117] Je Lukaku angewakuta Hazard, Willian na Fab angefail namna hii?

[emoji117] Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kuhusu hii No 9 THE BLUES.
Tumpe Broja aondoe huo mkosi, naamini mbele ya Sterling, Werner, Mount, Broja atafunga 15 to 20 goals msimu ujao
 
Naambiwa kuwa usajili wa Kounde umebakia inchi moja tu, muda wowote Chelsea na Sevilla wataafikiana na kukata mirija hasa ya Barca ambao msimu huu pale tunaenda pua yao ndefu hiyo hapo
1658252834203.png
 
Todd Boehly kasema anataka kuwaondoa matakata ya utawala uliopita yanayokula mpunga mrefu Chelsea bila impact yeyote.
Nadhani watakaoadhirika mmoja wapo atakuwa ni
  1. Romelu Lukaku £350,000/wiki
  2. Timo Werner £268,000/wiki
  3. etc
1658253365913.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom