Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pamoja na kuwa offer ya kumnunua Jules Koun de imekubaliwa na Sevcilla bado kuna taarifa zimezagaa kuwa Barcelona bado wanamshawishi Kounde akatae offer ya Chelsea ili awasubiri kutoa offer yao

Sasa nasikia Chelsea wamempa ofa Kounde ya kumlipa mara mbili ya mshahara Barc elona wamemuahidi

Vita vya Barca na Chelsea zitaisha lini

Tukumbuke kuwa Xavi ndie alikuwa amebeba jezy namba 6 ya Barcelona tukiwatundika 3-2 nusu fainali za UEFA.

Sasa huyu Xavi naona bado anao uchungu wa wakati huo
1658344203484.png
 
Pamoja na kuwa offer ya kumnunua Jules Koun de imekubaliwa na Sevcilla bado kuna taarifa zimezagaa kuwa Barcelona bado wanamshawishi Kounde akatae offer ya Chelsea ili awasubiri kutoa offer yao

Sasa nasikia Chelsea wamempa ofa Kounde ya kumlipa mara mbili ya mshahara Barc elona wamemuahidi

Vita vya Barca na Chelsea zitaisha lini

Tukumbuke kuwa Xavi ndie alikuwa amebeba jezy namba 6 ya Barcelona tukiwatundika 3-2 nusu fainali za UEFA.

Sasa huyu Xavi naona bado anao uchungu wa wakati huo
View attachment 2298091
Hahaaaa jamaa bado ana hasira na Chelsea bila Shaka ,duh
 
Hiv ni kweli sio leo saa 8 na nusu usiku?
Website ya Chelsea wameweka hii

Chelsea vs Charlotte FC kicks off at 7.30pm Eastern Time on Wednesday 20 July (12.30am Thursday 21 July UK time) at the Bank of America Stadium in Charlotte, North Carolina.

12.30am UK ni sawasawa na saa Tisa na nusu usiku huku kwetu east africa time
Google wao wameweka saa 2:30 kama ni 24hrs format itakuwa ina maana saa nane na nusu usiku
 
Sasa kina mount na james ni mastriker, halafu goli +15 kwenye ligi gani, mana hata huyo lukaku alikua italy huko anapga double figure si mchezo.
Kama namba tisa sokoni hakuna ni bora kucheza false9, au si bora wangemwacha tu bongoli, kuliko kumtegemea huyo dogo.
Halafu kucheza na namba 9 wakat kiungo mbunifu hakuna tutarud kulele kule kumtukana huyo dogo.
Nilimaanisha toka Tammy aondoke hatujawahi kuwa na mchezaji aliyefunga magoli 15+

Halafu isingewezekana Lukaku kubaki kwa sababu roho yake haipo pale darajani.

Unasema hatuna kiungo badi sijakuelewa unamaanisha nini kwa sababu Mount katoka na assist nyingi tu na hatukua na striker ya maana. Huyu dogo kule Southampton pamoja na ufinyu wa playing time na majeraha bado alikua anafunga magoli muhimu ukimuondoa James Ward Prowse pale Southampton kuna kiungo gani anaweza pata namba kwenye kikosi chetu?

Mi nadhani sisi tunapenda already made hatutaki kuunda vya kwetu na tutaendelea kukimbiwa na kukataliwa na wachezaji kila siku
 
1658347253122.png

THOMAS TUCHEL is about to end his seven-month pursuit of Sevilla star Jules Kounde and clinch a hat-trick of deals worth £133.5MILLION in a stunning week for Chelsea.

The defender is finally on his way from Spanish side Sevilla and due to undergo a medical within the next 48 hours.
 
Chelsea’s £55m bid for Jules Koundé was submitted during the afternoon and it’s still discussed with Sevilla on payment terms, structure and more. Talks on also right now. [emoji599][emoji838] #CFC

Chelsea, waiting for final green light as they know Barcelona are still pushing with the player.

Source- Fabrizio

 
Kesho barce wanaactivate 2nd lever yao, so issue ya kounde tusubir itakuaje, maana kounde alishakubaliana personal terms na wote wawil

Je barce wataweza match bid yetu,?

Kounde atachague chelsea or barcelona?
 
([emoji281]) Kounde race: Monchi (Sevilla Director) is now waiting to see what Barcelona does, following Chelsea’s new bid. @Nathan_Gissing #Transfers [emoji632]

[emoji779]️More: Monchi wants a bidding war. @Nathan_Gissing
 
Charlotte vs Chelsea ndio mechi inaanza saa 9 na dk 35 usiku. Nimeamka nikabahatisha supersport 222 na 225
arsenal nao wanacheza
Ngoja tuone
1658366842671.png

1658366887452.png
 
Kesho barce wanaactivate 2nd lever yao, so issue ya kounde tusubir itakuaje, maana kounde alishakubaliana personal terms na wote wawil

Je barce wataweza match bid yetu,?

Kounde atachague chelsea or barcelona?
Wao walimuahidi mshahara wa mil 6 Kwa mwaka Chelsea mil 12
 
([emoji281]) Kounde race: Monchi (Sevilla Director) is now waiting to see what Barcelona does, following Chelsea’s new bid. @Nathan_Gissing #Transfers [emoji632]

[emoji779]️More: Monchi wants a bidding war. @Nathan_Gissing
Hizi taarifa nadhani ni outdated. Sevila wameshakubali offer ya Chelsea, kitakachotuzuia tusimsajili Kounde ni Kounde mwenyewe akiamua kuwasubiri Barca kama ambavyo Barca wamekuwa wakimshawishi. Msimamo wa Kounde ni Akienda Barca au Chelsea yeye ni sawa. Chelsea wamemuahidi mshahara mara mbili ya ile ahadi ya Barca
Chelsea watamlipa Euro 230,000 kwa wiki huku Barac wao walimuahidi Euro 115,000/wiki. Kounde ameshapeleleza pa kuishi London na hii biashara imeshafungwa. Wao Barca waache watapetape tu na visenti vya vya mkopo
 
Chalobah katuuza mnadani
Mbwembwe za Conor nayo ikatuzamisha kabisa
Hii ndio indicator sahihi ya kuwa na academy wengi kwenye timu na kuwategemea. Hata kama wakicheza vizuri, too much repeated silly mistakes zinizamisha timu. Kwenye ligi madudu kama haya hata relegated teams zitakunyima points
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom