Chatta g
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 656
- 1,037
[emoji23][emoji23][emoji23]kwahio lukaku analiwa tu kimasiala na inter sio!??Inter wanataka kumtumia tu sidhani kama watakua na mpango wa kumnunua
[emoji23][emoji23][emoji23]kwahio lukaku analiwa tu kimasiala na inter sio!??Inter wanataka kumtumia tu sidhani kama watakua na mpango wa kumnunua
Sasa ile match ndio badae au..!?
Hayo mabeki mnayonunua na michezo yenu ya kupaki basi mnategemea sterling atakuja kufunga[emoji23][emoji23][emoji23]...Waliomuona sterling vip wakuu tupeni mrejesho me nimeangalia kipindi Cha kwanza tu
Walisubirisha kwa saa moja. Radi ilipiga eneo karibu na venue ya mpira.Hakuna aliyekuwa sahihi, taarifa zilikanganya
Mechi ilikuwa saa tisa na nusu usiku wa manane, niliangalia tena kwa kubahatisha tu, nilikosa usingizi nikasema ngoja nicheki kuna nini kwenye football news ndio nikakutana na mechi zote za USA zilzichezwa saa tisa. Mancity na Arsenal pia walikuwa wakicheza
Aliingia kipindi cha pili hakucheza vizuri sana kwa sababu timu nzima ilikuwa mbovu hasa kule mbele. Chelsea iliweza kupenyeza mpira kwenye final third mara mbili na zote zilifanywa na Sterling. Tusiposajili agresive atacker kule mbele tutasota sana msimu ujao. Chelsea waingie risk ya kusajili CR7 au Ivan Toney.Waliomuona sterling vip wakuu tupeni mrejesho me nimeangalia kipindi Cha kwanza tu
Huyo ivan toney hamna kitu Bora hata broja hapo Cha msingi wamsajili Ronaldo hamna option nyingine zaidi ya hiyo binafsi sikumuelewa TT alivyomkataa Ronaldo as if ana messiAliingia kipindi cha pili hakucheza vizuri sana kwa sababu timu nzima ilikuwa mbovu hasa kule mbele. Chelsea iliweza kupenyeza mpira kwenye final third mara mbili na zote zilifanywa na Sterling. Tusiposajili agresive atacker kule mbele tutasota sana msimu ujao. Chelsea waingie risk ya kusajili CR7 au Ivan Toney.
Labda wewe ndie humjui ToneyHuyo ivan toney hamna kitu Bora hata broja hapo Cha msingi wamsajili Ronaldo hamna option nyingine zaidi ya hiyo binafsi sikumuelewa TT alivyomkataa Ronaldo as if ana messi
Ivan Toney akicheza na Sterling anaweza fikisha 15+ goals, so haba. Advantage ya Toney ni strong na clinicalHuyo ivan toney hamna kitu Bora hata broja hapo Cha msingi wamsajili Ronaldo hamna option nyingine zaidi ya hiyo binafsi sikumuelewa TT alivyomkataa Ronaldo as if ana messi
Toney anatakiwa Man U na Newcastle, optioin chache zilziobaki sokoni kwa msimu huu, tukishindwa basi CR7 hakuna ujanjaHuyo ivan toney hamna kitu Bora hata broja hapo Cha msingi wamsajili Ronaldo hamna option nyingine zaidi ya hiyo binafsi sikumuelewa TT alivyomkataa Ronaldo as if ana messi
TT ananunua makontena mapya 40ft. Siku akiona game siyo, akiyapaki golini hata kipa asiwepo golini, TT hana wasiwasi kabisa [emoji23][emoji23]Josko Gvardiol could join Chelsea from RB Leipzig
Mabeki wetu wenye uzoefu wameondoka. Huku nyuma upepo unapuliza sana. Mtuache tupazibe [emoji23][emoji23]Jinsi mnavyosajiri mabeki sijui mmeambiwa nini!!
Ila Ligi ikianza mtu kufanya nyingi itakua kawaida
Mnafanya maamuzi sahihi madogo
Huyu iva toney kweli angetusaidia. lkn sijui kwa nini kocha wa hamfikirii.Aliingia kipindi cha pili hakucheza vizuri sana kwa sababu timu nzima ilikuwa mbovu hasa kule mbele. Chelsea iliweza kupenyeza mpira kwenye final third mara mbili na zote zilifanywa na Sterling. Tusiposajili agresive atacker kule mbele tutasota sana msimu ujao. Chelsea waingie risk ya kusajili CR7 au Ivan Toney.
Ukishindwa kumsajili Haaland unaweka plan ya kumzuia, huyo dogo sio wa kumjaribuJinsi mnavyosajiri mabeki sijui mmeambiwa nini!!
Ila Ligi ikianza mtu kufanya nyingi itakua kawaida
Mnafanya maamuzi sahihi madogo