OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Tuliza kijambio hicho, mpira unachezwa uwanjani ..siyo jfFab na Pedro walitoka Barca, Barca hawakuwa washindani wenu kwenye Ligi. Kubeba garasa la washindani wenu ni uthibitisho kuwa hamuwezi kushindana nao.
KARIBU DARAJANI KIBERENGE RAHIM STERLING

