Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1657906658390.png
 
Kama lisandro Martinez aliyesajiliwa na nyumbu kutoka ajax anamzuia vzuri Tu sasa washindwe kina koulibaly
Mshabiki mmoja wa Chelsea kule twitter akasema.

If we can't buy Haaland, we can stop him

Atazifunga sana zile timu ndogo

Liver na city wao wameekeza sana kule mbele

Sisi tunaekeza nyuma

Juzi kwenye jukwa a la liver wameshaanza kuogopa, eti wanasema tunanunua mabasi tu ya kuja kupaki
 
Kwa mazungumnzo ya Laporta na Mateu kuna kila uwezekano wakashindwa kumsajili Lewandowski kama hawatamuuza De Jong ili kubalance mahesabu yao wasifungiwe na Laliga Fair Play

1657907429614.png

1657907466686.png
 
Mshabiki mmoja wa Chelsea kule twitter akasema.

If we can't buy Haaland, we can stop him

Atazifunga sana zile timu ndogo

Liver na city wao wameekeza sana kule mbele

Sisi tunaekeza nyuma

Juzi kwenye jukwa a la liver wameshaanza kuogopa, eti wanasema tunanunua mabasi tu ya kuja kupaki
[emoji23][emoji23] hakika
 
Sasa painkiller matusi ya nini? Unalinganisha PL na UEFA?

UEFA moja sawa sawa na pl 3. [emoji2957][emoji2957] ni vizuri kujibu hoja kwa hoja na si matusi. Mpira burudani mkuu
Huyo sarr na medali yake ya uefa hawezi kupata namba hata yanga ....

Kuwa na medali sio mafanikio ,kwani ni mchango wa team nzima sio effort za mtu mmoja
 
Mbolea wanataka kusajili Ziyech, bora abaki hata kama ni kwa nguvu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom