Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Duh mbona Chelsea yangu inaisha watu hvy, c wataondoka wote sasa 😎
 
Todd sidhani kama kaenda kwa ajili ya azpilicueta na Alonso, ingekuwa ni hiyo wao wanaowataka hao wachezaji ndio walitakiwa waje London. Todd kaenda kwa ajili ya De Jong
1657226135039.png
 
De jong ni mtu na nusu ataenda kumchukua namba kwa jorginho unajua Chelsea haina mtu Kwenye nafasi ya number 6 na ndio maana anafosiwa kucheza RLC huyo jamaa atakuwa replacement sahihi ya jorginho na utasaidia jorginho kutocheza mechi nyingi
De jong huwa namuelewa sana.
 
The meeting between Todd Boehly and Barcelona board for Azpilicueta, Marcos Alonso and other topics is scheduled in the coming hours. #CFC

Boehly will directly take care of the negotiations as always - both Azpi and Alonso have an agreement with Barça. Up to Chelsea now.

Source-Fabrizio Romano
Todd hakwenda huko kwa ajili ya Azpilicueta na Alonso, wao ndio walitakiwa waje huku. Huyo jamaa mjanja, kaenda kwa ajili ya De Jong. Haingii akilini Barcelona wawatake wachezaji wetu halafu eti sisi ndio tuwafuate ili tukafanyie negotiation kwao kama vile tumewachoka hao wachezaji. Todd ni mjanja sana. De Jong kashasema kama ni kutoka Barcelona anapenda kuja Chelsea zaidi ya Man United
 
The meeting between Todd Boehly and Barcelona board for Azpilicueta, Marcos Alonso and other topics is scheduled in the coming hours. #CFC

Boehly will directly take care of the negotiations as always - both Azpi and Alonso have an agreement with Barça. Up to Chelsea now.

Source-Fabrizio Romano
Kilichompeleka huko ni hiki hapa, achana na blaa blaa za Fabricio Romano naye kuna wakati anapitwa na taarifa

CHELSEA TOUCH DOWN FOR TALKS WITH BARCA​

Chelsea’s new owner Todd Boehly has arrived in Barcelona in a bid to hijack Manchester United’s move for Frenkie de Jong. The Mail reveal that Boehly went to a restaurant to meet Barca representatives to discuss De Jong and are reportedly willing to offer defensive duo Cesar Azpilicueta and Marcos Alonso to the Catalan club as makeweights in a potential transfer for the Dutch midfielder. Chelsea have also discussed Barca pair Sergino Dest and Memphis Depay – who could be part of a straight swap for the two Blues defenders.

 
Todd kaenda Barcelona pia kuwataka hawa wachezaji kwa ajili ya swoop deal la akina Azpi na Alonso
  1. Dest ni right back backup ya James
  2. Depay striker mzuri ila alikuwa ni flop wa manure ila alipokuwa PSV na Lyon (20/21) aliweza kufunga 20+ goals
Gamling labda kwenye mfumo wa TT anaweza fikisha 20+ goals
 
Hii transfer window kila kukicha zinaibuka story mpya

Barcelona are thought to have encouraged Chelsea towards a bid for Frenkie de Jong in the meeting in Spain on Thursday evening. Man United remain 'firm favourites', with level of Blues' interest still unclear.

Kama vipi tufanye Ile swap ya dest na depay
 
Hii transfer window kila kukicha zinaibuka story mpya

Barcelona are thought to have encouraged Chelsea towards a bid for Frenkie de Jong in the meeting in Spain on Thursday evening. Man United remain 'firm favourites', with level of Blues' interest still unclear.

Kama vipi tufanye Ile swap ya dest na depay
Usijali, agent wa de jong yuko london tayari kwa majadiliano kwa sababu dejong alishasema anaitaka Chelsea kwa udi na uvumba. Hawezi kwenda kucheza Europa asubuhi na mapema wakati UCL ipo
 
D
Todd kaenda Barcelona pia kuwataka hawa wachezaji kwa ajili ya swoop deal la akina Azpi na Alonso
  1. Dest ni right back backup ya James
  2. Depay striker mzuri ila alikuwa ni flop wa manure ila alipokuwa PSV na Lyon (20/21) aliweza kufunga 20+ goals
Gamling labda kwenye mfumo wa TT anaweza fikisha 20+ goals
Depay kajazia tu matako, ila hamna kitu mule bora tubak na broja au bila striker kuliko hilo lijamaa
 
Usijali, agent wa de jong yuko london tayari kwa majadiliano kwa sababu dejong alishasema anaitaka Chelsea kwa udi na uvumba. Hawezi kwenda kucheza Europa asubuhi na mapema wakati UCL ipo
😂😂 Asubuhi na mapema Europa
 
Usijali, agent wa de jong yuko london tayari kwa majadiliano kwa sababu dejong alishasema anaitaka Chelsea kwa udi na uvumba. Hawezi kwenda kucheza Europa asubuhi na mapema wakati UCL ipo
Mkuu hii deal inamuhusu Frankie De Jong au Luuk De Jong hawa wako wawili na Luuk ni ma attacker na Frankie ni midfielder. Yupi tunaye mtaka sisi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom