Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tukifanikiwa kusajili Kimpembe tupoe kwanza. Aje tuachane naye.

Tusajili Creative mid moja hata yule jamaa wa lazio siyo mbaya.

Tusajili winger ya kulia moja. Gnabry.

Uza yule muarabu koko basi tunatulia tunasubiri kuwanyoosha nyumbu.

Mbona tukicheza back 4 tunakuwa threat sana.

Hivi mnaikumbuka ile match ya Liver tuliyotoka 2-2 au ile match na madrid Santiago Bernabeu?

Back 3 ni uoga sometimes.
 
Tukifanikiwa kusajili Kimpembe tupoe kwanza. Aje tuachane naye.

Tusajili Creative mid moja hata yule jamaa wa lazio siyo mbaya.

Tusajili winger ya kulia moja. Gnabry.

Uza yule muarabu koko basi tunatulia tunasubiri kuwanyoosha nyumbu.

Mbona tukicheza back 4 tunakuwa threat sana.

Hivi mnaikumbuka ile match ya Liver tuliyotoka 2-2 au ile match na madrid Santiago Bernabeu?

Back 3 ni uoga sometimes.
Mkuu wasisahau kutuleteaa mnyama mmoja asie zionea huruma nyavu. Yaani mbona watatuita storms hii season
 
Je kweli Rahim hana namba The citizens?
Sterling ni LW ,lakini pep alikuwa anaweza kumchezesha RW....kabla hujasema sterling Hana namba pale city kaa ukijua pep ni mtu wa kufanya rotation,Hana Mungu mtu ,..!! mwenye uhakika na namba pale city ni KDB na EDERSON tu wengine wote sio regular starter ...

Mahrez ,foden ,grealish ,sterling ,Jesus .....hao wote ni moto na walikuwa wanafanya rotation ...
 
Huyu dogo aache ufala. Hajacheza hata minute moja premier league halafu anataka kuwa regular stater?

Fala sana.
Ndio shida ya madogo wa academy hii, wanadhan wakitoka loan wanadeserve first 11 ya moja kwa moja, stay n fight kama ukionyesha uko sawa kuzidi waliopo nafasi utapata

O remain na uwe unapata game kama anazopata chalobah
 
Tukifanikiwa kusajili Kimpembe tupoe kwanza. Aje tuachane naye.

Tusajili Creative mid moja hata yule jamaa wa lazio siyo mbaya.

Tusajili winger ya kulia moja. Gnabry.

Uza yule muarabu koko basi tunatulia tunasubiri kuwanyoosha nyumbu.

Mbona tukicheza back 4 tunakuwa threat sana.

Hivi mnaikumbuka ile match ya Liver tuliyotoka 2-2 au ile match na madrid Santiago Bernabeu?

Back 3 ni uoga sometimes.
Tuchel anaplan ya kurudi kwenye back 4, na si kutegemea back 3,

Ila ile mech ya madrid ilikuwa back 3 ambay RLC alikuwa anacheza role moja adim tukidefenc anakuwa kama right wingback ila tukiwa na mpira anaingia ndani

Ngoja tusubiri kwenye pre season tuone atatumia formation ipi
 
Hivi wale nyumbu na vile vitoto vya arsenal na wenye kuichukia CHELSEA FC. Siwaoni tena hapa wakisema boss mpya ni bahili sijui nyeenyeee na nini.? Huyu ni boss na nusu afu anajua kutuliza mipango vzr. Next season chelsea itakua balaaaa. Nyieee
 
Chelasea wameshapigwa na kitu kizito chenye ncha kali, Sterling wamepigwa changa, Jamaa hamna kitu mule.

Yani unachukua mchezaji wa Bench kwenye timu unayotaka kushindana nayo halafu utegemee kushindana nayo.
Tuliwahi kuwachukua Pedro, Fabregas wakiwa mabench warmer Barca walipivyokuja tulibeba EPL. Hebu niambie benchwarmer gani mbovu ana double figure statistically?

Wakati mwingine ni kheri kujifichia aibu ndogo ndogo kwa kukaa kimya
 
Nasikia Barcelona walimuendea Koulibaly kumshawishi asubiri ili wamsajili, ila Koulibaly hakujali
Barcelona wana nini, au bado wana hasira ya 2012 tulipowatoa nusu fainali za UEFA nini
 
Chelsea inamfukuzia Rafael Leao wa AC Mlan, bei yake Euro 90-100m
 
Chelsea inamfukuzia Rafael Leao wa AC Mlan, bei yake Euro 90-100m
Hizo habari sio za kweli halafu pamoja na hivyo tayari tuna Sterling ambaye naturally ni LW tuongeze tena na Leao ambaye naye ni LW hata kama TT atafanya rotation bado hatuna haja ya kufanya huo usajili otherwise labda tuwauze Pulisic na Ziyech kwa pamoja
 
IMG-20220714-WA0007.jpg
 
Ndio shida ya madogo wa academy hii, wanadhan wakitoka loan wanadeserve first 11 ya moja kwa moja, stay n fight kama ukionyesha uko sawa kuzidi waliopo nafasi utapata

O remain na uwe unapata game kama anazopata chalobah
Last year Chalobah alibakia chelsea kupambania namba na majina kama Christesen, Thiago Silver na Rudiger. Hakuleta maneno maneno.

Hiki kitoto hakijacheza hata dakika moja ila tayari maneno mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom