Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna video mbili za huko Spain nimeziona za Boss.
Moja, ni mchana anaingia nadhani ni kwenye hotel (akaulizwa na wahandisi wa habari umekuja kusajili.? Akajibu nimekuja kula chakula cha mchana)
ya pili ni usiku anatoka kwenye hiyo hiyo hotel.
Bila shaka mkutano ulikuwa wa moto.
 
Siijui kipi Tuchel amekiona kwa Ake mpk akubali kutoa hiyo 45M, while kuna mabek wazuri tu unaoweza wapata chini ya hapo wakina Gleison Breimer, wengineo

AKE sio wa 45M ,

Tunampa City 100M ili adhidi imarisha kikos chake, kwa sterling sina shaka nae ila kwa Ake hapa nikamali
 
Ni bora kumuamini chalobah kuliko kuchezea pesa kwa Ake. Sometimes makocha ukiwasikiliza sana napo ni tatizo hiyo pesa kuna pau torres ni beki technical na kisiki pia,DOF apatikane haraka ili kocha aweze kutoa deep explanation kwa management kwa kila mchezaji anayemtaka sio kuzoa zoa wachezaji wa bench
 
Ya kweli haya wakuu ? Kama ni kweli hivi tunamwitaji Ronaldo Darajani kweli?

Chelsea are concentrating on deals for Raheem Sterling and Raphinha but have also discussed moves for Cristiano Ronaldo and Neymar.
Aje tu abutue butue hawezi kosa kama lukaku.
 
Chelsea out of the race to sign Matthijs De Light
Bayern Munic are ready to pay Euro 90m
 
Siijui kipi Tuchel amekiona kwa Ake mpk akubali kutoa hiyo 45M, while kuna mabek wazuri tu unaoweza wapata chini ya hapo wakina Gleison Breimer, wengineo

AKE sio wa 45M ,

Tunampa City 100M ili adhidi imarisha kikos chake, kwa sterling sina shaka nae ila kwa Ake hapa nikamali
Sasa ninamuelewa Marina kwa nini makocha wengine aliwanyima uhuru wa kuchagua
 
Chelsea have offered £50million plus Cesar Azpilicueta and Marcos Alonso for Barcelona midfielder De Jong, according to Sport.

Co-owner Boehly held talks with Barcelona president Joan Laporta on Thursday night and declared that an agreement had been reached, although over what remains to be seen

Meanwihle, Spanish journalist Manu Sainz has said that De Jong’s agent is in London to hold talks with United, who he apparently prefers over Chelsea due to his connection with Erik ten Hag.
 
Ni bora kumuamini chalobah kuliko kuchezea pesa kwa Ake. Sometimes makocha ukiwasikiliza sana napo ni tatizo hiyo pesa kuna pau torres ni beki technical na kisiki pia,DOF apatikane haraka ili kocha aweze kutoa deep explanation kwa management kwa kila mchezaji anayemtaka sio kuzoa zoa wachezaji wa bench
Shida ni kwamba sahiv tim nyingi zishajua tunahitaj beki so lazima watupigehata huyo Pau Torres sio chini ya 50, angalia bei ya de ligt kila siku inapanda.

Ake ni mzuri ila sio kwa hiyo bei,

Soko lishaharibika sasa hivi 40 inaoneka kama 10-20 ya kipindo kile, na 80-100 inaonekana kama 50 ya miaka ua nyuma

Matunda ya DoF tutayaona winter or summer ijayo, ila kwa sasa hata akipatikana hawez leta sajil nzuri kwa haraka
 
Chelsea out of the race to sign Matthijs De Light
Bayern Munic are ready to pay Euro 90m
Sidhan kama De ligt anadeserve 90M, same to kounde na 60M hawa wote ni potential,
Ukiangalia Klab za seria A wenyewe kwa wenyewe wakiwa wanauziana bei chee sana ila tim ya england ikimtaka huyo mchezaj unapigwa bei kubwa tu
 
Kwa hiyo sis taarifa zenye matumainiu ni ya kumsajili Sterling na Ake tu
 
Sidhan kama De ligt anadeserve 90M, same to kounde na 60M hawa wote ni potential,
Ukiangalia Klab za seria A wenyewe kwa wenyewe wakiwa wanauziana bei chee sana ila tim ya england ikimtaka huyo mchezaj unapigwa bei kubwa tu
Sisi tulitoa euro mil 70+werner au pulisic
 
Chelsea have offered £50million plus Cesar Azpilicueta and Marcos Alonso for Barcelona midfielder De Jong, according to Sport.

Co-owner Boehly held talks with Barcelona president Joan Laporta on Thursday night and declared that an agreement had been reached, although over what remains to be seen

Meanwihle, Spanish journalist Manu Sainz has said that De Jong’s agent is in London to hold talks with United, who he apparently prefers over Chelsea due to his connection with Erik ten Hag.
Huyu ndio mchezaji w kununua sasa sio kina Dembele, mara Ake. Utasema TT kawehuka
Huyu hata pass za mwisho anapga vizur tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom