Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unayempenda kampenda mwengine, huyo mwengine naye ana mwengine
Mwengine naye Kapendwa na mwengine.

Huyo dogo aloimba huu wimbo alitulenga sisi wala hakua anazungumzia mapenzi ya kibaolojia
De Ligt favours a move to Bayern Munich over Chelsea.

The problem for Bayern Munich against Chelsea is more than £50m+ could be too much for them.

[Florian Plettenberg - Sky Germany]
 
Pamoja ya kuwa mda bado wa usajiri ila huyu bosi anakatisha tamaa sana mm nilikata tamaa mapema baada ya kuona tetesi zimekuwa nyingi halafu hamna action yoyote kila mchezaji tunahusishwa naye mpaka kero

Ukweli tusiwe na matumaini yoyote ya kufanya vizuri msimu ujao kwa hali ilivyo
Muda bado mkuu kuna mwezi mzima hopeful watasort out ....Kiukweli binafsi Mikakati ya bwana boehly naielewa Sana hasa kitendo cha kocha kupewa mamlaka ya mchezaji anayemtaka..lkn. Pia kusajili Kwa kufanya analysis na si zile sajili za hype na pesa mingi Tu na kuishia kupigwa ..maana Chelsea tumekuwa wahanga wakubwa na sajili za pesa mingi Afu haziclick kuanzia kina shevchenko...
 
hii Chelsea inachekesha sana
Screenshot_20220704-191520_Twitter.jpg
 
De Ligt favours a move to Bayern Munich over Chelsea.

The problem for Bayern Munich against Chelsea is more than £50m+ could be too much for them.

[Florian Plettenberg - Sky Germany]
Usitegemee source ya germany,spain ziseme mchezaj hapendi kucheza tim zao never,
 
HUYU NI MWANDISHI WA BILD PALE UJERUMANI ,HABAHATISHI LINAPOKUJA SWALA LA HABARI ZA BARYEN, WASHKAJI ZAKE NI VIONGOZI WA BARYEN
 

Attachments

  • Screenshot_20220704-214238~2.png
    Screenshot_20220704-214238~2.png
    26.9 KB · Views: 14
Mpka sasa hiv Deco ajatoa jibu, Inshort media za barce ndio zinafanya influence, kama tetes zingekuwa true mda mrefu tungekuwa tushawithdraw bid yeo,
Jiulize why Deco/Raphinha till now hawajatoa majibu?

We all know media za Barce zinataka tuwithdraw our bid,ili barce wapate urais wa kunegotiate, thus wanatumia kigezo cha Raphinha wants to join Barce, etc
Kwanini majibu hayajatoka?
 
Issue ya Ronaldo naona imekaaa kibiashara zaidi na sikwa ajili ya project,
Yote mbili mkuu!
Kwa timu mbovu kama Man u kafunga goli 24 all competions je akija timu iliyochangamka, kocha mwenye mbinu atafunga 30, sasa wewe mchezaji mwenye kupa goli 20+ unasema sio kwa ajili ya project? au unamaanisha nini
 
Aaah sio kweli mkuu huyohuyo Ronaldo alikuwa amezungukwa na kina Sancho, Rashid , Fred, mctominay, Bruno aliyedrop form ...VP alishuka kiwango?...kiwango kitakuwepo Tu Mbona hazard hakushuka kiwango kipindi tupo n kina Drinkwater bakayoko giroud
Kushuka kiwango linazungumzwa kwa mapana yake.
Kuchuka kiwango ni pamoja na kutopata matokeo mazuri
Hayo matakataka uliyotaja ya akina Drinking water na Bakayoko yalicheza?
Yangepangwa yote kwa pamoja kama tungenusa hata top 10!
Sancho, Ronaldo, Bruno usimlinganishe na Rashford, Fred, Luke Shaw, Mctominay, Eric Bailly + hayo matakataka mengine yaliyobaki, ndio maana Man u imekuwa na hayo matokeo mabaya.
 
Changamoto inayokuja kuhusu debate yeyote ya Ronaldo kuna umesi ndani yake inawapofusha watu wasione uwezo binafsi wa mchezaji uwanjani. So sad
 
Kwa nini Chelsea isimsajili kwanza huyu Michael Edwards?
 
Mpka sasa hiv Deco ajatoa jibu, Inshort media za barce ndio zinafanya influence, kama tetes zingekuwa true mda mrefu tungekuwa tushawithdraw bid yeo,
Jiulize why Deco/Raphinha till now hawajatoa majibu?

We all know media za Barce zinataka tuwithdraw our bid,ili barce wapate urais wa kunegotiate, thus wanatumia kigezo cha Raphinha wants to join Barce, etc
Huyo anaitaka barvmca wala sio kificho kwa maana bid ya chelsea ipo mezami toka wiki iliyopita tena ikiwa nzuri zaisi ya barca. Why hajaamua kuikubali ?? Anaipenda barca tumuache
 
Sio kwamba wachezaji hao hapendi Chelsea sababu nikwamba hamuamini mliki mpya anaweza akauua vipaji vyao kwa kutonunua wachezaji wa viwango wengine vyakwao vikafa bure, Chelsea ikawa average team kama Arsenal au Tottenham
Huyo boss sio mtu wa kumtilia mashaka anaendesha timu kule USA kwenye kikapu na ipo vzr katika kusajili nk. Sasa hiyo barca yenye madeni aende tu. Siku mishahara ikikatwa atajua hajui
 
Kila negosiationn ikifika mbali mchezaji anatukataa, tumelaaniwa nini?
Todd anahitaji akaoge maji ya chumvi tena Coco pale. Siku za nyuma nilisema kwa nini Cech, Marina na Buck wanaondoka kwa pamoja tena haraka nikasema hii sio ishara nzuri ni kheri wange extend hata miezi mitatu mpaka sita ili tupite salama hiki kipindi.

Kinachoendelea huyu jamaa hana mvuto sokoni hajui ni kwa namna gani atawashawishi wachezaji lakini kama hii kazi ingefanywa na Marina tungesha sign hata mchezaji mmoja mpaka sasa.
 
Todd anahitaji akaoge maji ya chumvi tena Coco pale. Siku za nyuma nilisema kwa nini Cech, Marina na Buck wanaondoka kwa pamoja tena haraka nikasema hii sio ishara nzuri ni kheri wange extend hata miezi mitatu mpaka sita ili tupite salama hiki kipindi.

Kinachoendelea huyu jamaa hana mvuto sokoni hajui ni kwa namna gani atawashawishi wachezaji lakini kama hii kazi ingefanywa na Marina tungesha sign hata mchezaji mmoja mpaka sasa.
Kwa hao waliopo syo wachezaji? Watacheza hao hao waliopp
 
Kushuka kiwango linazungumzwa kwa mapana yake.
Kuchuka kiwango ni pamoja na kutopata matokeo mazuri
Hayo matakataka uliyotaja ya akina Drinking water na Bakayoko yalicheza?
Yangepangwa yote kwa pamoja kama tungenusa hata top 10!
Sancho, Ronaldo, Bruno usimlinganishe na Rashford, Fred, Luke Shaw, Mctominay, Eric Bailly + hayo matakataka mengine yaliyobaki, ndio maana Man u imekuwa na hayo matokeo mabaya.
Bakayoko msimu WA pili WA Conte alicheza Sana kuchukua nafasi ya matic
 
Ya kweli haya wakuu ? Kama ni kweli hivi tunamwitaji Ronaldo Darajani kweli?

Chelsea are concentrating on deals for Raheem Sterling and Raphinha but have also discussed moves for Cristiano Ronaldo and Neymar.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom