Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,285
Dakikq tano tu kwa pitch ashaloa mwili wote mijasho. Hata kama hajaugusa mpira unakuta tu aneloana. Najiulizaga kwa kazi ganiStraika mijashoš
View attachment 2277011
Dakikq tano tu kwa pitch ashaloa mwili wote mijasho. Hata kama hajaugusa mpira unakuta tu aneloana. Najiulizaga kwa kazi ganiStraika mijashoš
View attachment 2277011
Ana mwili wa mafuta ndio Maana inatokea hivyo hata mimi Hii hali imekuwa ilinitokea Sana ila sasa imepungua sanaDakikq tano tu kwa pitch ashaloa mwili wote mijasho. Hata kama hajaugusa mpira unakuta tu aneloana. Najiulizaga kwa kazi gani
RLC ushoga ulimpa wewe???Pale chelsea kuna mashoga pia
Yule RLC alishajitangazaga.
Chilwell na Mount mimi siwaelewiwanakuja wanakata
Na yule pulisic
Hawa jamaa hawaaminiki.
Hata huko mwanitesa,man shit,ass8,looserfools, wako kibao hao jamaa
Chakula hiki mzee....ļ¼ćRLC ushoga ulimpa wewe???View attachment 2277298
Akamuliwe mafuta yatoleweAna mwili wa mafuta ndio Maana inatokea hivyo hata mimi Hii hali imekuwa ilinitokea Sana ila sasa imepungua sana
Alonso anaweza akaondoka mkuuMechi za mwisho mwisho Alonso kakichafua Sana kumbuka game ya Liverpool alichofanya na pia kuna emerson, hatuwezi tukasajili wachezaji kwenye maeneo ambayo tunaunafuu wakati tuna mapengo maeneo mengi unapaswa kulijua Hili kwanza kule upande wa James hatuna mtu kabisa tunabidi kuongeza kiungo jorginho na kanye wameanza kuchoka, kuna nafasi za mabeki wawili na winga wa kulia striker pale Kati sio Sana kama tukiwaamini Kai na broja watatupa magoals
Mbona jezi zishajulikana mzeeHivi kuhusu swala la jeziza msimu unao limekaaje? Maana hata tukikamilisha sajili yoyote tutamtambulisha mchezaji kwa jezi gani?
Story za vijiweni tuPale chelsea kuna mashoga pia
Yule RLC alishajitangazaga.
Chilwell na Mount mimi siwaelewiwanakuja wanakata
Na yule pulisic
Hawa jamaa hawaaminiki.
Hata huko mwanitesa,man shit,ass8,looserfools, wako kibao hao jamaa
Mbona jezi zishajulikana mzee
Hivi kuhusu swala la jeziza msimu unao limekaaje? Maana hata tukikamilisha sajili yoyote tutamtambulisha mchezaji kwa jezi gani?
Hebu tuma tuoneMbona jezi zishajulikana mzee