Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Allan Saint-Maximin mchezaji mzuri anyelipwa chini ya paundi 40,000 kwa wiki
Aje Chelsea tumpandishe tu hadi 100,000/week
 
Pale chelsea kuna mashoga pia

Yule RLC alishajitangazaga.

Chilwell na Mount mimi siwaelewi wanakuja wanakata

Na yule pulisic

Hawa jamaa hawaaminiki.

Hata huko mwanitesa,man shit,ass8,looserfools, wako kibao hao jamaa
Kwa dunia ya leo sitashangaa. Hiyo ya RLC ilinipita. Una reliable link?
 
Lini Sir Michael Edwards atasajiliwa, mimi naona angeazwa yeye
Sajili alizofanya kuifanya Liverpool iwe tishio

  1. Robertson kutoka Hulcity kwa £8m tu
  2. Mo Salah kutoka AS Roma kwa £36.9m tu
  3. VVD kutoka Southampton kwa £75m
  4. Alisson Becker kutoka AS Roma kwa £65m
  5. Fabinho kutoka Monaco kwa £43.7m
  6. Jota kutoka Wolves kwa £45m
  7. Harvey Elliott kutoka Fulham kwa £4.3m
  8. Thiago kutoka Bayern kwa £25m
  9. Luis Dias kutoka FC Portal kwa £50m
  10. Ibrahim Konate kutoka RB Leipzig kwa £36m
  11. Kostas Tsimikas kutoka Olympiakos kwa £11.75m
Dili zingine za mauzo mazuri kwa timu kwa nutshell
  1. Philippe Coutinho – To Barcelona – £142m
  2. Solanke kutoka Chelsea kwa £5m na kumuuza Bonamouth kwa £19m
  3. Takumi Minamino kutoka Red Bull Salzburg kwa £7.25m na kumuuza Monaco kwa £15.4m
Kwa ufupi huyu jamaa ahizi business za mpira wa miguu anaziweza, nadhani Liver katoka baada ya kuona hapati ujira unaoendana na kazi anayofanya
 
Barcelona still 'alive' in the race for Raphinha, although Chelsea have an agreement in place with Leeds, as per @gerardromero.

They are in talks with Deco, his agent, right now and have found ways to sign the Brazilian.
 
Barcelona still 'alive' in the race for Raphinha, although Chelsea have an agreement in place with Leeds, as per @gerardromero.

They are in talks with Deco, his agent, right now and have found ways to sign the Brazilian.
gerard romero ni reliable source kwa habari za barcelona, kabla hajapost taarifa hiyo alisema ana bomu anataka kuachia, nilidhani ni ishu ya de jong kumbe ni raphinha. Afadhali
 
Deal la Raphinha bado personal terms hazijafikiwa, n Raphinha anasubiri offer ya Barce hii ndio priority yake kuanzia mwanzo

Barce itabidi wafikie dau wanalotaka leeds or Leeds washushe bei yake
 
gerard romero ni reliable source kwa habari za barcelona, kabla hajapost taarifa hiyo alisema ana bomu anataka kuachia, nilidhani ni ishu ya de jong kumbe ni raphinha. Afadhali
Ngoja tuone hali itakavyokuwa maana barce hal yao inajulikana
 
Deal la Raphinha bado personal terms hazijafikiwa, n Raphinha anasubiri offer ya Barce hii ndio priority yake kuanzia mwanzo

Barce itabidi wafikie dau wanalotaka leeds or Leeds washushe bei yake
Anayeleta uhuni hapo ni Deco wala sio Raphinha
 
Chelsea are waiting for Raphinha’s answer. Been told Deco has direct talk with Chelsea scheduled tomorrow #Raphinha

Talks still on, after agreement with Leeds [£60m].

Barcelona and Arsenal will try until the end.

Reminder: Barça agreed personal terms with Deco 4 months ago.

 
Chelsea are waiting for Raphinha’s answer. Been told Deco has direct talk with Chelsea scheduled tomorrow #Raphinha

Talks still on, after agreement with Leeds [£60m].

Barcelona and Arsenal will try until the end.

Reminder: Barça agreed personal terms with Deco 4 months ago.

Kilichotuangusha ni Dembele kukataa ofa ya Barcelona sasa Barca wanamtaka Raphina kwa udi na uvumba ili wamruhusu Dembele kusepa. Dembele akikubali ofa ya Barcelona kabla ya kesho usiku Raphina ni wetu
Chelsea hakusubmit offer kwa Barca ya Dembele ila kwa Leeds wamesubmit na kwa Raphina ilikuwa mazungumzo tu. Chelsea isingeweza kuwasajili wote hivyo hapo ni kutegeana. Barca watamchagua Dembele au Raphina, Karata hadi sasa iko kwa Braca, na kumpata mmojawapo iko mikononi mwake Barcelona, japo kwa Dembele Dembele bado
kuchagua naana masaa 24 hivi

Chelsea wanataka washambuliaji wawili tu kati ya
Raphina na Dembele au
Raphina na Sterling au
Dembele na Sterling
Hapo kazi ipo
 
#Chelsea are still aiming to sign Raphinha, Barcelona’s hijack is relying on a fast cash injection, Chelsea have broadly agreed personal terms on a 5 year contract worth £115,000 a week.

[@Matt_Law_DT]
 
Kilichotuangusha ni Dembele kukataa ofa ya Barcelona sasa Barca wanamtaka Raphina kwa udi na uvumba ili wamruhusu Dembele kusepa. Dembele akikubali ofa ya Barcelona kabla ya kesho usiku Raphina ni wetu
Chelsea walisubmit offer kwa Barca na Dembele na kwa Leeds na Raphina ilikuwa mazungumzo. Chelsea isingeweza kuwasajili wote hivyo hapo ni kutegeana. Barca watamchagua Dembele au Raphina, Karata hadi sasa iko kwa Braca, na kumpata mmojawapo iko mikononi mwake Barcelona, japo kwa Dembele Dembele bado
kuchagua naana masaa 24 hivi

Chelsea wanataka washambuliaji wawili tu kati ya
Raphina na Dembele au
Raphina na Sterling au
Dembele na Sterling
Hapo kazi ipo
Dembele haitaji tuhusa ya kuondoka, mkataba wake unaisha kesho, by Ijumaa anakuwa free agent
 
Dembele haitaji tuhusa ya kuondoka, mkataba wake unaisha kesho, by Ijumaa anakuwa free agent
Yeah, nimegundua Chelsea hawajatoa offer yeyote kwa Dembele ni harakati tu
Baada ya kesho atakuwa mchezaji huru
Ila mimi naona Dembele atakubali offa ya Barca kabla ya kesho
 
Yeah, nimegundua Chelsea hawajatoa offer yeyote kwa Dembele ni harakati tu
Baada ya kesho atakuwa mchezaji huru
Ila mimi naona Dembele atakubali offa ya Barca kabla ya kesho
Shida ya barce hawana hela
Hizi deal za Raphinha,Lewandoski n Kounde zinahitaji pesa hapo nikam 180M unahitaji

Tho keaho huenda economic lever zikawa activated na wakapata pesa ila stil bado hawatokuwa na makucha
 
Bye Bye
Screenshot_20220629-220114_Instagram.jpg
 
Yeah, nimegundua Chelsea hawajatoa offer yeyote kwa Dembele ni harakati tu
Baada ya kesho atakuwa mchezaji huru
Ila mimi naona Dembele atakubali offa ya Barca kabla ya kesho
Dembele anataka aongezewe mshahara ili asaini mkataba mpya kitu ambacho kimekuwa kigumu kwa barca kutokana na hali ya kiuchumi now anakura £210 kwa wiki

Pia inasemekana chelsea ilifanya mazungumzo na Dembele anataka £300 kwa wiki kutokana na record yake ya majeruhi na mshahara mkubwa anaotaka ndipo chelsea ikawa na option ya Raphinha

Ila naimani Raphinha anatuwa darajani maana barca hawana hela ya kumsajiri labda wamuuze De jong haraka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom