Mchezaji wa zamani wa Barca na chelsea ambaye ndo wakala wa Raphinha
patamu hapo....Kwa issue ya Raphina kuna mitego miwili hapa
- Chelsea wamekubalina na Leeds Unted lakini sio Raphina
- Barcelona wamekubaliana na Raphina lakini sio Leeds United
Nimeona vitetesi vya Silva kumtaka neymer Chelsea aisee asije yule ashazeeka hana.maajabu tena. Majeraha, na starehe zake boli astaafu tuNeymar analipwa £600K
Mbape analipwa £1m
Kilichawafanya PSG kutaka kumuuza Neymar au kumtoa mkopo ni huo mzigo wa Mbape
Dirisha linafungwa september mosi,Msimu unaisha leo Chelsea hakuna walichofanya
Wenzao wamekuwa bussy here and there ila wao ni bla blaa tu mwisho wa siku Raphina tunamkoa, Sterling tunamkosa tutabakiwa na akina Bakayoko, Batchuayi na Barkley!!
Chelsea waliweka pesa plus player Ambayo ilikuwa ni ndogo, n hawakumatch bid ya spursNaona bosi wenu amekuja na idea ya ku-hijack wachezaji wa watu.
Kwa kifupi mnadandia treni kwa mbele.
Yaani timu zishakaa na mchezaji zishasuka mipango yao, mwishoni nyie ndo mnakuja na vipesa vyenu vya mkopo. Watu wamehangaika kuweka mambo sawa nyie mnakuja kutibua.
Ndo ishakua tabia yenu sasa, mchezaji akihusishwa na Spurs, Arsenal, n.k. na nyie mnaleta pua yenu baadae.
Kwani hamuwezi kuanzia mazungumzo na mchezaji wa peke yenu mpaka mdandie mizigo ya watu? Au hamjui mnachokihitaji kwenye dirisha hili?
Ya Raphinha bado hayajaisha mmeenda kudandia gari la Conte, eti na nyie mnamtaka Richarlison wakati watu washakubaliana kila kitu. Tena kwa kujipendekeza mmeweka £60 mil (£10 mil zaidi ya ile waliyotoa Spurs).
Kwanini hiyo pesa msilipe kwa Sterling au Dembele ambao mpo wenyewe hamna competition? Au hamjiamini na sajili zenu?
Nzi wa buluu nyie!
Chelsea’s negotiations with Juventus over a move for Matthijs de Ligt
are progressing and are prepared to allow Pulisic
or Werner
to move in opposite direction while talks continue over Nathan Ake's
return. #CFC #Juventus
)Leeds hawana shida, shida iko kwa wakala wa mchezaji DECO ambaye alikubaliana na Barce tangu january,Mliingilia Dili la Arsenal ,kwa Raphina mkajiona wajanja
Haya Sasa ,Barca leo kapata mzigo, anajipanga muda huu kulipa pesa Leeds
KARMA
️Early reports, pending further confirmation, from @_pauljoyce (top for Premier League clubs) that Barça are ready to rival for Raphinha, with a bid worth up to £60M (€69.6M) expected soon. #Transfers
![]()
Unateseka ukiwa wapi?Naona bosi wenu amekuja na idea ya ku-hijack wachezaji wa watu.
Kwa kifupi mnadandia treni kwa mbele.
Yaani timu zishakaa na mchezaji zishasuka mipango yao, mwishoni nyie ndo mnakuja na vipesa vyenu vya mkopo. Watu wamehangaika kuweka mambo sawa nyie mnakuja kutibua.
Ndo ishakua tabia yenu sasa, mchezaji akihusishwa na Spurs, Arsenal, n.k. na nyie mnaleta pua yenu baadae.
Kwani hamuwezi kuanzia mazungumzo na mchezaji wa peke yenu mpaka mdandie mizigo ya watu? Au hamjui mnachokihitaji kwenye dirisha hili?
Ya Raphinha bado hayajaisha mmeenda kudandia gari la Conte, eti na nyie mnamtaka Richarlison wakati watu washakubaliana kila kitu. Tena kwa kujipendekeza mmeweka £60 mil (£10 mil zaidi ya ile waliyotoa Spurs).
Kwanini hiyo pesa msilipe kwa Sterling au Dembele ambao mpo wenyewe hamna competition? Au hamjiamini na sajili zenu?
Nzi wa buluu nyie!
Unateseka ukiwa wapi?
Mi sikuzungumzia hizo ulizotuma kuna pic za jersey zilitoka na IPO ya blue za nyumbaniView attachment 2277346
View attachment 2277347
View attachment 2277348
Hizo sio Rasmi ni Leaked tu, jezi za blue za nyumbani na zile rangi nyingine za away
Hii hapa Ndo jezi official ya nyumbani ambayo pia zilileak ( pmj n ugenini na ya 3) kabla ya kuwa officially announcedHebu tuma tuone
Sterling naye ni mchezaji wa kumtegemea?Dirisha linafungwa september mosi,
Tetesi zinasema deal la sterling lishakuwa agreed,
Tuwekee Takwimu za Gabriel Jesus tulinganishe na za sterlingSterling naye ni mchezaji wa kumtegemea?