Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mashoga na shoga zao yameshauteka mpira.
Pale chelsea kuna mashoga pia

Yule RLC alishajitangazaga.

Chilwell na Mount mimi siwaelewi wanakuja wanakata

Na yule pulisic

Hawa jamaa hawaaminiki.

Hata huko mwanitesa,man shit,ass8,looserfools, wako kibao hao jamaa
 
Alonso anataka kurudi Spain,

Tetea zinasema 6 player watasajiliwa
2CB
2 fW/Rw/Lw
2 Mid/Wingback

Usajili wa midfielder utategeme na Kante/Jorginho maana mikataba yao inakaribia kuisha,

Dm anayezungumziwa sana ni Declan Rice, sioni kama west ham wanaweza muuza sasa
Westham wanataka dau kubwa, hizo za kwamba Rice not for sale ni janja tu. Declan rice ni DM mzuri sana ila replacement ya Kante haitatokea kwenye karne hii, yale mapafu, kuzunguka uwanja mzima, kuusoma mpira na kufanya strategic recoveries utapata wapi mchezaji mwenye hizo qualities?
 
Mbona Man city hakuna hiki kitu wakati wanawacheza wanalipwa hela kubwa tu kuliko hata mshahara wa Ziyech hivi unajua Ziyech analipwaje?
Analipwa paundi 100,000 kwa wiki, Kwa Ziyech lengo sio vitabu, mchezaji hayuko happy Chelsea kwa sababu ya muda mdogo anaopewa kucheza, Balance ya vitabu inafanywa kwa wachezaji wenye kipato kikubwa na hawana faida tena kwa timu. Barcelona walimruhusu Messi aondoke ili wabalance vitabu vyao, Euro mil 26 kwa mwaka ni mapesa mengi hayo
 
Kumbe ndio maana walikuwa wanategea, bora kuchelewa na kufanya vizuri. Sasa Chelsea wakimsajili Raphina, Sterling na Dembele lazima wachezaji watatu kati ya hawa wasepe; Werner, Pulisic, Ziyech na Odoi aidha kwa mkopo au kuuzwa. Kama tutawasajili viungo wawili, Barcley, RLC nao wataondoka au kuuzwa au mkopo. Kama Chelsea bado wanamfukuzia Raheem na huku wamesubmit bid kwa Demebele na wote ni winger wa upande mmoja hata kama ni wa other side mbona tutakuwa na mawinger wengi?
 
Kalidou Koulibaly, one more name in the list for Chelsea as they keep searching for two centre backs. He’s out of. contract with Napoli in 2023. #CFC

Been told there are conversations also on Koulibaly alongside de Ligt, Aké, Koundé. Focus on Raphinha, and then centre backs.

Fabrizio Romano - Sky Italia
Ake no, Kaulibally for short term, Delight na Kounde YES
 
Ila bado three wataendelea kumbe walikuwa na mkataba wa miaka miwili hadi msimu wa kiangazi wa 2023 na wameshatangaza kwamba wanaondoa suspension yao ili waendelee kuwa main sponsor
1 yr ndio ilikuwa imebaki huku kukiwa na option ya kuongeza mwaka 1
 
Mechi za mwisho mwisho Alonso kakichafua Sana kumbuka game ya Liverpool alichofanya na pia kuna emerson, hatuwezi tukasajili wachezaji kwenye maeneo ambayo tunaunafuu wakati tuna mapengo maeneo mengi unapaswa kulijua Hili kwanza kule upande wa James hatuna mtu kabisa tunabidi kuongeza kiungo jorginho na kanye wameanza kuchoka, kuna nafasi za mabeki wawili na winga wa kulia striker pale Kati sio Sana kama tukiwaamini Kai na broja watatupa magoals
Alonso na Emerson ni out of TT plan hata wasipouzwa, Alonso likely atahamia Barca, Emerson likely ataenda mkopo Lazio, Sarri anamtaka
 
Mkuu ninacho amini kama kila kitu kipo tayari hakiwezi kufichwa kama bangi au isubirie wakati fulani ndio zitangazwe nasema hivyo kwa sababu za kibiashara. Mimi nahisi swala la mdhamini bado halijakaa sawa maybe ndio maana bado hazijatoka rasmi, nyingi zinazotoka ni MAKISIO ya zitakavyokua.
Mkuu swala la mdhamini lishakaa sawa siku nyingi tu,
SmartSelect_20220629-130901_Samsung%20Internet.jpg
 
Huyu mjerumani so far anaonyesha uhai kule mbele ni potential kubwa sana halafu ndio kwanza ni U23. Graph yake inapanda
Screenshot_20220629-140145_1656500664627.jpg
 
Huyu Odoi anaaminiwa lakini perfomance yake hairidhishi japo ni mapema sana kumjudge kwa sababu ndio kwanza ana miaka 21 ila tunahitaji zaidi kutoka kwake. Huyu asiuzwe
Screenshot_20220629-135657_1656500740241.jpg
 
Ziyech ana miaka 29 saivi na ame quit kuchezea timu yake ya taifa Morroco tunategemea saivi atahamishia akili yake darajani na pia ujio wa Raphinha umuamshe aache kulala lala. Otherwise huyu nae ni wa kuuzwa tu
Screenshot_20220629-135522_1656500775707.jpg
 
Huyu Werner sioni sababu ya kumuuza anaonyesha mwanga kwenye safu ya ushambuliaji saivi miaka 26. Atleast ye graph yake inapanda asiuzwe huyu.
Screenshot_20220629-135253_1656500804308.jpg
 
Raphinha (25) nina imani kama tutafanikiwa kumsajili kuna kitu tutaongezapale mbele hasa kuisukuma timu mbele kimashambulizi. Ana kasi, ana dribble, hata physically yuko vizuri sana.
Raphina ni aggressive, nina imani wakicheza mbele

Werner ---Havertz -----Raphina

AU

Sterling-----Havertz------ Raphina

Ile mazoea ya kupoteza magoli ya wazi itaisha

Katikati Kovacic ---Kante

Nyuma


Chilwell --- Milan Skriniar-- Silva --- Kounde -- James

Au

Chilwell ---- Koilabally --- Silva ---- Milan Skriniar----James

Watakoma
 
Neymar anakuja jamani, PSG wameshamuambia hawamtaki klabuni

Tumuweke wapi?

Chelsea wanaweza kulipa mil 50

Kwa takriban miaka mitano iliyopita Neymar ameshuka viwango kutoka ufungaji wa 20+ goals kwenda kwenye 10+ goals na kwa umri huu wa miaka 30 sioni akitoboa zaidi ya goli 10-15 klwa msimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom