Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

That was quick
Screenshot_20220628-223454_Twitter.jpg
 
Fabrizio Romano:
Chelsea and Leeds have reached full agreement for Raphinha! Official bid accepted around £60/65m [add ons included]. Main part of amount to be paid immediately. It’s done between clubs. [emoji599][emoji838] #CFC

Talks now ongoing on player side on personal terms and contract. Boehly, on it.

More on Raphinha. Arsenal had a meeting with Leeds and made a new verbal bid in the last hours, turned down by LUFC. Barcelona also called Leeds again but no chance to match Chelsea bid. [emoji599][emoji838] #Raphinha

Chelsea are now working to get the agreement done also on personal terms.

Chelsea are now going into talks with Raphinha side and agent Deco (yes, former Chelsea midfielder!) - on the personal terms. It’s key step before ‘here we go’, as Arsenal and Barça were in talks with Leeds also today morning [emoji599][emoji838] #CFC

Deal fully agreed between clubs with Leeds.

Chelsea have already sent an official proposal to Raphinha and his agent Deco to discuss personal terms as Boehly wants to be fast to avoid problems. Work in progress. [emoji599][emoji838] #CFC

Chelsea will also send new bid to Manchester City for Raheem Sterling - Tuchel wants two wingers.
 
Raphinha ni mchezaji mzuri na work rate yake uwanjani ni kubwa Sana lakini Chelsea wasifanye upuuzi wa kumuuza Ziyech.Man city imekuwa team Bora Sana kwasababu Wana depth squad yenye Quality mfano anaweza akatoka KDB anaingia Gondogan sasa sisi tunatakiwa tuwe hivi kwasababu tuna mashindano mengi kuna tatizo pia la injuries tutafanya ujinga kumuuza Ziyech kitu tunakiwa tuwe Na wote kwa pamoja Raphinha na Ziyech tutafute mtu upande wa james kwa upande wa Benchilwell kuna Alonso sio mbaya, mabeki wawili na kiungo mmoja biashara imeisha tutakuwa Bora sana
Ili kubalance vitabu hakuna namna lazima atauzwa tu
 
Kalidou Koulibaly, one more name in the list for Chelsea as they keep searching for two centre backs. He’s out of. contract with Napoli in 2023. [emoji838] #CFC

Been told there are conversations also on Koulibaly alongside de Ligt, Aké, Koundé. Focus on Raphinha, and then centre backs.

[emoji821] Fabrizio Romano - Sky Italia
 
Raphinha ni mchezaji mzuri na work rate yake uwanjani ni kubwa Sana lakini Chelsea wasifanye upuuzi wa kumuuza Ziyech.Man city imekuwa team Bora Sana kwasababu Wana depth squad yenye Quality mfano anaweza akatoka KDB anaingia Gondogan sasa sisi tunatakiwa tuwe hivi kwasababu tuna mashindano mengi kuna tatizo pia la injuries tutafanya ujinga kumuuza Ziyech kitu tunakiwa tuwe Na wote kwa pamoja Raphinha na Ziyech tutafute mtu upande wa james kwa upande wa Benchilwell kuna Alonso sio mbaya, mabeki wawili na kiungo mmoja biashara imeisha tutakuwa Bora sana
Kumtegemea Alonso kama backup ya chilwell tutaendelea kupiga kelele msim unavyokuwa unaendelea,

Lazima tutafute mtu anayeweza tupa hata nusu ya anachotupa kile anachotupa chilwell

Alonso katika mechi 10 atacheza mechi 1 vizuri zingine ovyo,Alonso sio wakutegemea kama back up,

Angalia James n Chilwel walivyokuwa wanaelewana halaf angalia Alonso n James wakicheza unaona kabisa upande wa james unapigwa pini coz alonso hatupi anachotupa Chilwell
 
Kuna mambo mengi yanafanywa kimya kimya now, Jana asubuh taarifa ilikuwa tuko interested n jion booom deal agreed,

Kilichobaki ni personal term ziwe agreed,

Tuwe nasubira tu,
Miaka ya karibuni tumefanya sajili zisizoendana na mifumo ya kocha n panic buy
 
Kumtegemea Alonso kama backup ya chilwell tutaendelea kupiga kelele msim unavyokuwa unaendelea,

Lazima tutafute mtu anayeweza tupa hata nusu ya anachotupa kile anachotupa chilwell

Alonso katika mechi 10 atacheza mechi 1 vizuri zingine ovyo,Alonso sio wakutegemea kama back up,

Angalia James n Chilwel walivyokuwa wanaelewana halaf angalia Alonso n James wakicheza unaona kabisa upande wa james unapigwa pini coz alonso hatupi anachotupa Chilwell
Mechi za mwisho mwisho Alonso kakichafua Sana kumbuka game ya Liverpool alichofanya na pia kuna emerson, hatuwezi tukasajili wachezaji kwenye maeneo ambayo tunaunafuu wakati tuna mapengo maeneo mengi unapaswa kulijua Hili kwanza kule upande wa James hatuna mtu kabisa tunabidi kuongeza kiungo jorginho na kanye wameanza kuchoka, kuna nafasi za mabeki wawili na winga wa kulia striker pale Kati sio Sana kama tukiwaamini Kai na broja watatupa magoals
 
Hivi kuhusu swala la jeziza msimu unao limekaaje? Maana hata tukikamilisha sajili yoyote tutamtambulisha mchezaji kwa jezi gani?
 
Mechi za mwisho mwisho Alonso kakichafua Sana kumbuka game ya Liverpool alichofanya na pia kuna emerson, hatuwezi tukasajili wachezaji kwenye maeneo ambayo tunaunafuu wakati tuna mapengo maeneo mengi unapaswa kulijua Hili kwanza kule upande wa James hatuna mtu kabisa tunabidi kuongeza kiungo jorginho na kanye wameanza kuchoka, kuna nafasi za mabeki wawili na winga wa kulia striker pale Kati sio Sana kama tukiwaamini Kai na broja watatupa magoals
Alonso anataka kurudi Spain,

Tetea zinasema 6 player watasajiliwa
2CB
2 fW/Rw/Lw
2 Mid/Wingback

Usajili wa midfielder utategeme na Kante/Jorginho maana mikataba yao inakaribia kuisha,

Dm anayezungumziwa sana ni Declan Rice, sioni kama west ham wanaweza muuza sasa
 
Hivi kuhusu swala la jeziza msimu unao limekaaje? Maana hata tukikamilisha sajili yoyote tutamtambulisha mchezaji kwa jezi gani?
Jez bado tu kutangazwa ila kila kitu kiko tayar.

Maybe watatangaza tutakaporudi kwa ajili ya maandalizi ya Pre season
 
Jez bado tu kutangazwa ila kila kitu kiko tayar.

Maybe watatangaza tutakaporudi kwa ajili ya maandalizi ya Pre season
Ila bado three wataendelea kumbe walikuwa na mkataba wa miaka miwili hadi msimu wa kiangazi wa 2023 na wameshatangaza kwamba wanaondoa suspension yao ili waendelee kuwa main sponsor
 
Jez bado tu kutangazwa ila kila kitu kiko tayar.

Maybe watatangaza tutakaporudi kwa ajili ya maandalizi ya Pre season
Mkuu ninacho amini kama kila kitu kipo tayari hakiwezi kufichwa kama bangi au isubirie wakati fulani ndio zitangazwe nasema hivyo kwa sababu za kibiashara. Mimi nahisi swala la mdhamini bado halijakaa sawa maybe ndio maana bado hazijatoka rasmi, nyingi zinazotoka ni MAKISIO ya zitakavyokua.
 
Raphinha ni mchezaji mzuri na work rate yake uwanjani ni kubwa Sana lakini Chelsea wasifanye upuuzi wa kumuuza Ziyech.Man city imekuwa team Bora Sana kwasababu Wana depth squad yenye Quality mfano anaweza akatoka KDB anaingia Gondogan sasa sisi tunatakiwa tuwe hivi kwasababu tuna mashindano mengi kuna tatizo pia la injuries tutafanya ujinga kumuuza Ziyech kitu tunakiwa tuwe Na wote kwa pamoja Raphinha na Ziyech tutafute mtu upande wa james kwa upande wa Benchilwell kuna Alonso sio mbaya, mabeki wawili na kiungo mmoja biashara imeisha tutakuwa Bora sana
Ndg, sidhani kama Chelsea watamuuza, tatizo kubwa Ziyech asipopewa muda wa kucheza kama anavyotaka anakasirika na anaweza kulazimisha kuondoka mwenyewe. Kinachotokea kwa Ziyech ndio hiyo. Mimi nadhani kocha atumie tu rotation nzuri ila kila mchezaji acheze. Deep squad madhara yake ni baadhi ya potentially best players wanaweza kuondoka. Gabriel Jesus, Raheem Sterling, Zinchenko wanataka kuondoka city kwa sababu hiyo ya kutopewa muda wa kutosha. Mimi nadhani squad iwe deep strategically katika mazingira ya kuwezesha kila mchezaji apate muda wa kutosha kucheza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom