Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Liverpool wanmtaka Timo Werner, Klop ni admirer wa muda mrefu wa Timo Werner, akienda Liverpool atakuwa akifunga 20+ goals na atakuwa threat kubwa kwa Chelsea bora aende AC Milan
 
What is Chelsea's old name?
Tumetoka huku jamani, wachezaji 11 wa kwanza 1905
1656183103922.png

Mears offered the ground to Fulham FC, which was founded in 1879, but the club refused his offer. Undeterred, Mears decided to form his own club and debated calling it Stamford Bridge FC, London FC, or Kensington FC but eventually decided on Chelsea FC, naming the club after the borough adjacent to Fulham.

Logo zetu mbalimbali
1656183241599.png
 
Siku nilipogundua Tajiri wa Chelsea Ni mpare na dalali ,alipoambiwa na mancity bei ya Rahim Ni €55-60m ,yeye kaenda na €35m ,

Huyu boss wenu tapeli tu,
Jules kounde ataenda Barca
Mnamfukuzia De ligt beki ambaye pale Juve Ni mchomaji mzuri ,ikabidi awe anawekwa bench na wale wazee wawili .


Juve wanataka wawapige ,
 
Sio wote wanaouzwa ni wabaya, hata Lukaku mimi sijaamini kama ni mbaya kivile. Sio wachezaji wote wanaendana nafalsafa na staili ya uchezaji anayotaka kocha. Ziyech ameshindwa kufit in kwa TT, Werner kashindwa kufit in, Pulisic mimi namuona yuko vile vile alivyokuwa Ujerumani. Lukaku totaly kashindwa kuingia kwenye mfumo wa TT, Wachjezaji wote hao ni wazuri lakini sio kwa TT style of playing. Njia pekee ni kuwauza au kuwafanyia swap ili tupate wanaoendana na kocha. Sababu kuu ni hiyo
Ziyech anaubaya gani mbona ajafeli kama vile unavyotuaminisha Ziyech kabla ajapata injury alikuaje?
 
Siku nilipogundua Tajiri wa Chelsea Ni mpare na dalali ,alipoambiwa na mancity bei ya Rahim Ni €55-60m ,yeye kaenda na €35m ,

Huyu boss wenu tapeli tu,
Jules kounde ataenda Barca
Mnamfukuzia De ligt beki ambaye pale Juve Ni mchomaji mzuri ,ikabidi awe anawekwa bench na wale wazee wawili .


Juve wanataka wawapige ,
Umeongea kitu Cha msingi sana huyu sio Tajiri ni mpiga miluzi tu wa mtaani
 
Mimi naona Dembele ataendana sana na Havertz, Gallagher, Rahim Sterling, Werne, Odoi na Mount bila kumsahau Broja
Katikati Kovacic, Sangare, Kante na Harvey watafanya kazi hiyo na nyuma watakuwepo Chilwell, James, Silva, Kounde na Kimpembe wakisaidiana na Levi Colwill, Chalobah, De light, Lewis Hall na Dumfries. Wakati makipa watatu, Mendy atasaidiwa na Strakosha na Slonina

Mount --- Havertz -- Dembele (New)

Chilwell --- Kovacic --- Ibrahim Sangare (New) --- James

Kimpembe (New)-----Silva --- Kounde (New)

Mendy

Sub/Rotation
  1. Thomas Strakosha (GK) - New
  2. Gabriel Slonina (GK) - New
  3. Levi Colwill (CB) -Academy
  4. Chalobah (CB)
  5. Matthijs de Ligt (CB) - New
  6. Dumfries (RB) - New
  7. Lewis Hall (LB) -Academy
  8. Kante (DM)
  9. Harvey Vale (MF) -Academy
  10. Odoi (Forward)
  11. Werner (Forward)
  12. Conor Gallagher (Forward) - On Loan
  13. Raheem Sterling (Forward) - New
  14. Armando Broja (Striker) - On Loan
Unafkiri chelsea itatoa hela za kununua wachezaji wote hao, unaota
 
Siku nilipogundua Tajiri wa Chelsea Ni mpare na dalali ,alipoambiwa na mancity bei ya Rahim Ni €55-60m ,yeye kaenda na €35m ,

Huyu boss wenu tapeli tu,
Jules kounde ataenda Barca
Mnamfukuzia De ligt beki ambaye pale Juve Ni mchomaji mzuri ,ikabidi awe anawekwa bench na wale wazee wawili .


Juve wanataka wawapige ,
Mkuu hakuna offer yoyote ambayo imepelekwa City, next week ndio huenda offer ikapelekwa huku tim ikiamini itampata kwa kias cha 45M kama bei ya Jesus, huku zingine zikiwa kweny add ons,

Mbona hujasema deal la Kounde, why Marina alishindwa kumsajil msim uliopita.

Ndio maana kuna negotiation, unaweza ambiwa mchezaj flan ana thaman hii ila mkikaanza kunegotiate, mnafikia suluhu,
 
Hata kama lakini ndio umuuze Ziyech ukanunue Dembele kweli? ?
Ndio,
Watu mnamkataa dembele kwa sababu ya injury, ila a full fit dembele ni bora kuliko ziyech,

Je katika hii misim miwili aliyokaaa amefanya kipi cha kushawishi
 
Kama tukifanya upuuzi wa kumbadilisha werner+40M kwa De Ligt ntaona kweli huu ndo mwanzo wa kuanguka kwa chelsea. De ligt ni beki wa kawaida mnoo wakat werner kuna kipindi anatusaidia sana.
 
Kama tukifanya upuuzi wa kumbadilisha werner+40M kwa De Ligt ntaona kweli huu ndo mwanzo wa kuanguka kwa chelsea. De ligt ni beki wa kawaida mnoo wakat werner kuna kipindi anatusaidia sana.
De ligt ni beki mzuri kwa team zinazopenda kukaa na mpira,

Juve ya sasa ni mbovu, hata Lampard alituaminisha Rudiger ni mbovu ,ila tuchel akamfanya Rudiger awe mmoja kati ya mabeki wazuri,

Unadhani kwa kipindi cha lamps madrid hata wangejaribu kumsogelea Rudi, kuna muda makocha wanawafanya wale wachezaj wakawaida waonekane wazuri

Miaka ile tunamsajili Gary Cahil or David Luiz ingekuwa miaka hii watu tungepinga coz tunataka wachezaj wenye majina makubwa hata kama hawaendani na philosof ya kocha,

Kama tunataka kushindana tumpe kocha wachezaj anaowataka then tumjaji kutokea hapo
 
Liverpool wanmtaka Timo Werner, Klop ni admirer wa muda mrefu wa Timo Werner, akienda Liverpool atakuwa akifunga 20+ goals na atakuwa threat kubwa kwa Chelsea bora aende AC Milan
Kwa kigezo gani unahisi Labda atafunga goli 20+
 
Unafkiri chelsea itatoa hela za kununua wachezaji wote hao, unaota
Mwenye pesa kashasema atanunu wachezaji sita wewe unatia shaka. Na hao sita kwa mil 200, tukiuza takataka zikaongezeka 100m tunaweza piga hadi wachezaji nane. Hapo vipi
 
Siku nilipogundua Tajiri wa Chelsea Ni mpare na dalali ,alipoambiwa na mancity bei ya Rahim Ni €55-60m ,yeye kaenda na €35m ,

Huyu boss wenu tapeli tu,
Jules kounde ataenda Barca
Mnamfukuzia De ligt beki ambaye pale Juve Ni mchomaji mzuri ,ikabidi awe anawekwa bench na wale wazee wawili .


Juve wanataka wawapige ,
Tulimtaka kama huyu, pesa kidogo, wachezaji wa maana. Manure na Chelsea imeproove failure kwenye kununua wachezaji wa bei mbaya. Sisi sote tunaona City na Liver kwa sehemu kubwa imejengwa na wachezaji wa Mil 30-50 na wanafanya vizuri. City walijaribu kutumia pesa nyingi kwa Grealish ameflop. Wachezaji wengi wa pesa nyingi wanaflop kwa sababu wakija mashabiki na uongozi na kocha wanakuwa na too much expectation kwake
Raheem akinunuliwa kwa mil 35 expectation kwake itakuwa ndogo kuliko akinunuliwa kwa mil 60
Expectation ikiwa ndogo mchezaji atacheza bila presure kubwa, huo ndio ukweli. City wamemnunua Haaland kwa mil 51 anakuja kucheza bila presure kuliko angenunuliwa kwa mil 150 aliyokuwa akiuzwa nayo mwaka jana
 
Ziyech anaubaya gani mbona ajafeli kama vile unavyotuaminisha Ziyech kabla ajapata injury alikuaje?
Ziyech hakucheza kama alivyokuwa Ajax
Kwa zaidi ya misimu 6 Ziyech alikuwa ni mchezaji wa goal involvement 20+
Alipokuwa FC Twente kwa misimu miwili na baadaye Ajax misimu minne Ziyech alihusika (goal+assists) na magoli 20+ kila msimu
Alipokuja Chelsea
Msimu wa kwanza alihusika na magoli 5
Msimu huu ulioisha alihusika na magoli 7 ya ligi
Ajax kwenye UEFA alifunga hadi goli 5
Chelsea kafunga maximum goli 2
Takwimu hizi zinaonyesha kuwa Ziyech hataweza kufikia kiwango chake cha Ajax chini ya TT kwa hiyo njia ya kistaarabu ni kumruhusu tu aondoke ili tuweze kuleta wachezaji watakaoendana na TT
 
Kama tukifanya upuuzi wa kumbadilisha werner+40M kwa De Ligt ntaona kweli huu ndo mwanzo wa kuanguka kwa chelsea. De ligt ni beki wa kawaida mnoo wakat werner kuna kipindi anatusaidia sana.

Report: Chelsea have made strongest bid to sign 'generational' talent, his club are getting very agitated​

Chelsea have reportedly made the strongest offer to Juventus to try and sign defender Matthijs de Ligt.

Huyu De Light ninamkubali, ni future CB mzuri na ana miaka 22 tu, ana uzoefu kibao tangu akiwa Ajax aliiwezesha Ajax kufika nusu finali za UEFA ikiziangusha miamba mikubwa kama Real Madrid na Juventus mwaka 2018/19. Tangu 2016 amekuwa first starter Ajax kabla ya kuhamia Juventus 2019. Sasa ana uzoefu wa first team kwa miaka 5. Pia March 2018 alitangazwa kuwa Nahodha wa Ajax na kuwa mchezaji wa kwanza kuwekwa kuwa nahodha katika umri mdogo wa miaka 18 tu
Karibu Chelsea De light
View attachment 2270743

De ligt ni beki mzuri kwa team zinazopenda kukaa na mpira,

Juve ya sasa ni mbovu, hata Lampard alituaminisha Rudiger ni mbovu ,ila tuchel akamfanya Rudiger awe mmoja kati ya mabeki wazuri,

Unadhani kwa kipindi cha lamps madrid hata wangejaribu kumsogelea Rudi, kuna muda makocha wanawafanya wale wachezaj wakawaida waonekane wazuri

Miaka ile tunamsajili Gary Cahil or David Luiz ingekuwa miaka hii watu tungepinga coz tunataka wachezaj wenye majina makubwa hata kama hawaendani na philosof ya kocha,

Kama tunataka kushindana tumpe kocha wachezaj anaowataka then tumjaji kutokea hapo
Nilifafanua vizuri uzuri wa Matthijs de Ligt kuanzia akiwa Ajax, kupewa kuwa captain kwenye umri wa miaka 18, kuiwezesha Ajax kufika nusu fainali za UEFA kwa kuzidondosha timu kubwa kama akina Juve na Real Madrid nk. Kwa miaka mitano akiwa kwenye first team ameprove kuwa ni talented and prospect mzuri wa CB kwa sasa na hapo baadaye. Ana miaka 22 tu na tayari anakuja na uzoefu wa miaka mitano. No question about that
 
Ziyech hakucheza kama alivyokuwa Ajax
Kwa zaidi ya misimu 6 Ziyech alikuwa ni mchezaji wa goal involvement 20+
Alipokuwa FC Twente kwa misimu miwili na baadaye Ajax misimu minne Ziyech alihusika (goal+assists) na magoli 20+ kila msimu
Alipokuja Chelsea
Msimu wa kwanza alihusika na magoli 5
Msimu huu ulioisha alihusika na magoli 7 ya ligi
Ajax kwenye UEFA alifunga hadi goli 5
Chelsea kafunga maximum goli 2
Takwimu hizi zinaonyesha kuwa Ziyech hataweza kufikia kiwango chake cha Ajax chini ya TT kwa hiyo njia ya kistaarabu ni kumruhusu tu aondoke ili tuweze kuleta wachezaji watakaoendana na TT
Umekariri Sana hao wakuendana na TT ni wakina Nani mbona kai hata Takwimu zake haziridhishi mbona uzungumzii Hili Ziyech angekuwa anacheza na striker anayejitambua angekuwa na assist nyingi kuna game alitengeneza nafasi 6 kwenye game 1 na hakuna hata aliyefunga goal
 
Umekariri Sana hao wakuendana na TT ni wakina Nani mbona kai hata Takwimu zake haziridhishi mbona uzungumzii Hili Ziyech angekuwa anacheza na striker anayejitambua angekuwa na assist nyingi kuna game alitengeneza nafasi 6 kwenye game 1 na hakuna hata aliyefunga goal
Naheshimu fikra zako na mitazamo yako tuishie hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom