Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Work in progress for Romelu Lukaku's comeback to Inter. Talks ongoing with Chelsea on the final loan fee, Inter will improve the opening proposal worth €5m plus €2m in add-ons. #Inter

Next week will be key to speed up talks - as all parties want to find a solution soon. https://t.co/LN65OuzBjN
Hawa Inter wana tabia mbaya sana. Yani wamewaibia £100 mil halafu wanataka wawarudishie €7 mil..

Hawa jamaa ni wahuni sana. Hii ndio maana halisi ya biashara😁.
 
Hawa Inter wana tabia mbaya sana. Yani wamewaibia £100 mil halafu wanataka wawarudishie €7 mil..

Hawa jamaa ni wahuni sana. Hii ndio maana halisi ya biashara😁.
Huo ni mkopo sio kununua, tuliza projo chini elewa kwanza
 
Huo ni mkopo sio kununua, tuliza projo chini elewa kwanza
Hata kama ni mkopo mzee Board yetu ina matahira haiwezekan mchezaji umnunue kwa £90m alaf umtoe kwa mkopo msimu mzima kwa €10m tena yenye masharti kibao
 
So Tuchel anamtaka Sterling, Naona hapa tunacheza kama Kamali

Ngoja tuone
Mimi naona Dembele ataendana sana na Havertz, Gallagher, Rahim Sterling, Werne, Odoi na Mount bila kumsahau Broja
Katikati Kovacic, Sangare, Kante na Harvey watafanya kazi hiyo na nyuma watakuwepo Chilwell, James, Silva, Kounde na Kimpembe wakisaidiana na Levi Colwill, Chalobah, De light, Lewis Hall na Dumfries. Wakati makipa watatu, Mendy atasaidiwa na Strakosha na Slonina

Mount --- Havertz -- Dembele (New)

Chilwell --- Kovacic --- Ibrahim Sangare (New) --- James

Kimpembe (New)-----Silva --- Kounde (New)

Mendy

Sub/Rotation
  1. Thomas Strakosha (GK) - New
  2. Gabriel Slonina (GK) - New
  3. Levi Colwill (CB) -Academy
  4. Chalobah (CB)
  5. Matthijs de Ligt (CB) - New
  6. Dumfries (RB) - New
  7. Lewis Hall (LB) -Academy
  8. Kante (DM)
  9. Harvey Vale (MF) -Academy
  10. Odoi (Forward)
  11. Werner (Forward)
  12. Conor Gallagher (Forward) - On Loan
  13. Raheem Sterling (Forward) - New
  14. Armando Broja (Striker) - On Loan
 
Hata kama ni mkopo mzee Board yetu ina matahira haiwezekan mchezaji umnunue kwa £90m alaf umtoe kwa mkopo msimu mzima kwa €10m tena yenye masharti kibao
Lukaku na Tuchel hawana mahusiano mazuri, Ni bora uwahi kutoa kirusi mapema kabla hakijawaambukiza wengine

Halaf unadhan tajir angekuwa Roman unahis Lukaku angeondoka, hapana ,Tuchel angelazimishwa aendelee kumtumia hata kama haelewani na mwisho wa siku angepay price kwa kufukuzwa
 
Lukaku na Tuchel hawana mahusiano mazuri, Ni bora uwahi kutoa kirusi mapema kabla hakijawaambukiza wengine

Halaf unadhan tajir angekuwa Roman unahis Lukaku angeondoka, hapana ,Tuchel angelazimishwa aendelee kumtumia hata kama haelewani na mwisho wa siku angepay price kwa kufukuzwa
Lukaku hayuko professional, hata kwa kocha mwingine angebehave kama toto jinga, unasajiliwa kwenye timu kubwa kama Chelsea kwa dau kubwa halafu unakuja kuleta usanii hapa, hata positivity kwa timu hakuonyesha, unaenda kuropoka kwenye media kwamba uunataka kurudi milan. Ili mchezaji uweze kucheza vizuri kwanza lazima uonyeshe mapenzi na hiyo timu. Wacha akafie kule na kule akishindwa itabidi tu aende Marekani au China
 
OFFICIAL: Bruce Buck will step down as Chelsea Chairman from June 30.
 
Hizi links, interested na transfer blow zamani zilikuwa kwa Arsenal sasa zimehamia kwetu
  1. Jules Kounde is in advance talk to sign for Barcelona amid Chelsea links
  2. Ousmane Dembele is in advance talk to extend his contract with Barcelona, amid Chelsea links
  3. Chelsea in double transfer blow as Juventus plot to pair Matthijs de Ligt alongside Blues target Kalidou Koulibaly
  4. From Reliable Sources: The Latest On Chelsea's Interest In Manchester City's Raheem Sterling
 
Huyu mmiliki masikini hana pesa ya ziada pesa aliotumia ni ya sacco ni ya wa miliki wengi anategemea kuuza baadhi ya wachazaji wa Chelsea ndo anunue wapya, alikingiwa kifua na western media kwasbb ni Marikani ili kugawana mali ya Mrusi, ila Epl bila wachazaji wapya wenye majina huwezi kutoboa hamna cha bahati kama la liga au budasliga ushindani ni mkali pale sio vipaji ila majina.
huyu boya tumepigwaa yaani tunakuwa kama arsenal too much tetesi hakuna deal hata moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom