Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Umekariri Sana hao wakuendana na TT ni wakina Nani mbona kai hata Takwimu zake haziridhishi mbona uzungumzii Hili Ziyech angekuwa anacheza na striker anayejitambua angekuwa na assist nyingi kuna game alitengeneza nafasi 6 kwenye game 1 na hakuna hata aliyefunga goal
Wachezaj tuchel anaowataka ndio hao wakina Sterling,Raphinha,Dembele na Richarlison based na taarifa zinazotoka,

Ukweli ni kwamba tunawachezaj wazuri ila wameshindwa kutupa kile tulichotarajia ambacho walikuwa nacho huko walipotoka.
Tukubali tu kuanza upya sio kosa,

Tumpe tuchel kile anachohitaj na ajenge tim kutokana na misingi yake
 
Mfumo wa Klopp wa direct play ndio unaomfit Werner na akina Lukaku, huu mfumno wetu wa back passes, sideways passes and don't care mtu akifika golini anajipigia tu ndio moja ya sababu hao wakashindwa kufunga
Ila Werner m naona mpk apate chance flan ambazo hazina ugumu sana ndo afunge....
 
Ila Werner m naona mpk apate chance flan ambazo hazina ugumu sana ndo afunge....
Si unaona uchezaji wa Man city, Lukaku na Werner hawafungi kwa staili hiyo ya kukaa na mpira sana, counter na direct football ndiko kunakowafaa hao. Chelsea wana pasi nyingi sana hadi defence ya oponent wanajenga ukuta wa berlin
 
Wachezaj tuchel anaowataka ndio hao wakina Sterling,Raphinha,Dembele na Richarlison based na taarifa zinazotoka,

Ukweli ni kwamba tunawachezaj wazuri ila wameshindwa kutupa kile tulichotarajia ambacho walikuwa nacho huko walipotoka.
Tukubali tu kuanza upya sio kosa,

Tumpe tuchel kile anachohitaj na ajenge tim kutokana na misingi yake
Reference kwa Klopp, PEP, Mou wote hao walifanikiwa kwa kuwasajili wachezaji anaowataka
 
Si unaona uchezaji wa Man city, Lukaku na Werner hawafungi kwa staili hiyo ya kukaa na mpira sana, counter na direct football ndiko kunakowafaa hao. Chelsea wana pasi nyingi sana hadi defence ya oponent wanajenga ukuta wa berlin
Tukubali wener na Lukaku sio EPL material especially werner yaani one to one na kipa unamlaumu kocha kweli? Waende hizo league nyingine najua watawika ila sio kwa malkia
 
Tukubali wener na Lukaku sio EPL material especially werner yaani one to one na kipa unamlaumu kocha kweli? Waende hizo league nyingine najua watawika ila sio kwa malkia
Kwa Werner mimi nitaendelea kumlaumu kocha 100%, Kwa Ziyech na Lukaku nitamlaumu kocha 50% na mchezaji 50%. Ziyech na Lukaku hawakuonyesha juhudi ya kutosha uwanjani ila kocha naye alitakiwa kuwasukuma na kutumiambinu za kikocha ili hao wachezaji waliofanya vizuri kule walikotoka wafanye vizuri na huku kwetu

Tatizo la Werner kukosa goli ilitokea first season yake, msimu huu tatizo la Werner halikuwa panic, bali mfumo mzima wa kushambulia na sio tu yeye affected. Our style of attack haikuwa nzuri kabisa. Anayebeba lawama siku zote ni kocha na ndio maana yuko pale kama kocha. Anayo mandate kwa wachezaji, wako chini yake
Mfano msimu wake wa kwanza Werner alipoteza nafasi 22 na kufunga 6 tu. Wakati huo huo Mo Salah alipoteza nafasi nyingi kuliko Werner japo alifunga magoli mengi. Tofauti, Salah anapewa mipira mingi na hivyo kuweza kufunga zaidi

Werner ni mojawapo wa wachezaji wanaocheza wide vizuri EPL, anacheza eneo lote la mbele na kwa movement zake hizo na speed yake kubwa ameweza kutengeneza nafasi nyingi sana pale mbele. Chelsea imeshindwa kumtumia tu, huo ndio ukweli na sababu ni staili ya uchezaji wetu.
Kwa takwimu tu Chelsea msimu wa 2020/21 imetengeneza big chances 2.4 per game, timu zinazotaka kushinda ligi na makombe ni lazima zitengeneze arround 4 big chances per game. Wachezaji wetu wako passive kule mbele, sio wakatili na hawan movement zinazotakiwa kama za Werner, laiti akina Pulisic, Ziyech, Mount, Havertz na wengineo wangekuwa wanakuwa na movemnet kama za Werner tungepata magoli mengi sana kule mbele
Mfano Lukaku amekuwa very static na kuwa sehemu kubwa ya yeye kutofunga. Mechi chache ambazo amekuwa mobile amefunga nakumbuka mechi dhidi ya Aston Villa Arround December. Lukaku was very good, alikuwa na movement nzuri sana. Mechi zingine kama kontena bovu
 
Ndio,
Watu mnamkataa dembele kwa sababu ya injury, ila a full fit dembele ni bora kuliko ziyech,

Je katika hii misim miwili aliyokaaa amefanya kipi cha kushawishi
Na katika hiyo misimu miwili nae pia si karibia misimu yote alikua majeruhi.
Kwan huyo Dembele kwan anawashawishi kw kipi?
Kwanza alivyosajiliwaga Baca nilishangaaga sana, nikasemaga uchaw kweli upo.
 
Wazo
kama kweli Boehly anamtaka Ronaldo
Hii line up imekaaje
3-4-3
1656266076985.png

4-3-3
1656266145400.png
 
Ronaldo si aende tu MLS marekani akamalizie soka lake huko.

Awaachie vijana wakomae

Anataka nini tena !?

Kuna kipi hajatimiza kwenye soka zaidi ya Kombe la dunia

Hela anazo,makombe kibao kabeba.

Anze kufikiria kuachana na soka la ushindani sawa yuko fit physically sababu ya mazoezi ila wakati unamtupa miaka 2 ijayo anatimiza 40

Aisee
 
Hivi mnamuwekea dhamana Huyu boss wenu ?

Negotiation kwasasa anafanya yeye inaonesha jinsi gan anajishauri kumwaga hela,

Mlizoe hata magarasa mnayaleta kwa £97m ,£70m ,

Huyu tajiri wenu anaonekana mchungu Sana, atasajiri kishkaji ila Tuchel ajiandae kuzitapika hizo hela asiporejesha return yake

Anawadanganyen ametenga £200m had Sasa anaishia kupiga domo TU,

Dili la Raphina anaishia kuongea maneno matupu na Deco , hata ofa hatumi

Enzi za Roman had Sasa Raphina , Kounde , De ligt , Sterling wangekuwa muda huu wanamalizia Medical happy Cobnham ,

Ila huyu Mchunga ng'ombe Hadi Sasa anazuga , anasubiri mwishon awaletee mabeki mchelemchele

Negotiation aliziweza Marina na hela ilikuwepo ,Sasa huyu Dalali wenu anataka kupigwa na Juve ,wanamwambia Leta Werner na mpunga wakutosha wampe Beki ambaye anachezea bench kwa wazee pale Juve De ligt
 
Hivi mnamuwekea dhamana Huyu boss wenu ?

Negotiation kwasasa anafanya yeye inaonesha jinsi gan anajishauri kumwaga hela,

Mlizoe hata magarasa mnayaleta kwa £97m ,£70m ,

Huyu tajiri wenu anaonekana mchungu Sana, atasajiri kishkaji ila Tuchel ajiandae kuzitapika hizo hela asiporejesha return yake

Anawadanganyen ametenga £200m had Sasa anaishia kupiga domo TU,

Dili la Raphina anaishia kuongea maneno matupu na Deco , hata ofa hatumi

Enzi za Roman had Sasa Raphina , Kounde , De ligt , Sterling wangekuwa muda huu wanamalizia Medical happy Cobnham ,

Ila huyu Mchunga ng'ombe Hadi Sasa anazuga , anasubiri mwishon awaletee mabeki mchelemchele

Negotiation aliziweza Marina na hela ilikuwepo ,Sasa huyu Dalali wenu anataka kupigwa na Juve ,wanamwambia Leta Werner na mpunga wakutosha wampe Beki ambaye anachezea bench kwa wazee pale Juve De ligt
Duu inauma kichizi
 
Hivi mnamuwekea dhamana Huyu boss wenu ?

Negotiation kwasasa anafanya yeye inaonesha jinsi gan anajishauri kumwaga hela,

Mlizoe hata magarasa mnayaleta kwa £97m ,£70m ,

Huyu tajiri wenu anaonekana mchungu Sana, atasajiri kishkaji ila Tuchel ajiandae kuzitapika hizo hela asiporejesha return yake

Anawadanganyen ametenga £200m had Sasa anaishia kupiga domo TU,

Dili la Raphina anaishia kuongea maneno matupu na Deco , hata ofa hatumi

Enzi za Roman had Sasa Raphina , Kounde , De ligt , Sterling wangekuwa muda huu wanamalizia Medical happy Cobnham ,

Ila huyu Mchunga ng'ombe Hadi Sasa anazuga , anasubiri mwishon awaletee mabeki mchelemchele

Negotiation aliziweza Marina na hela ilikuwepo ,Sasa huyu Dalali wenu anataka kupigwa na Juve ,wanamwambia Leta Werner na mpunga wakutosha wampe Beki ambaye anachezea bench kwa wazee pale Juve De ligt
Msianze kujudge kirahisi hvyo muda utaongea
 
Hivi mnamuwekea dhamana Huyu boss wenu ?

Negotiation kwasasa anafanya yeye inaonesha jinsi gan anajishauri kumwaga hela,

Mlizoe hata magarasa mnayaleta kwa £97m ,£70m ,

Huyu tajiri wenu anaonekana mchungu Sana, atasajiri kishkaji ila Tuchel ajiandae kuzitapika hizo hela asiporejesha return yake

Anawadanganyen ametenga £200m had Sasa anaishia kupiga domo TU,

Dili la Raphina anaishia kuongea maneno matupu na Deco , hata ofa hatumi

Enzi za Roman had Sasa Raphina , Kounde , De ligt , Sterling wangekuwa muda huu wanamalizia Medical happy Cobnham ,

Ila huyu Mchunga ng'ombe Hadi Sasa anazuga , anasubiri mwishon awaletee mabeki mchelemchele

Negotiation aliziweza Marina na hela ilikuwepo ,Sasa huyu Dalali wenu anataka kupigwa na Juve ,wanamwambia Leta Werner na mpunga wakutosha wampe Beki ambaye anachezea bench kwa wazee pale Juve De ligt
Huyo kounde mbona ilishindikana msim uliopita
 
baada ya yule farao kufa .. akaja farao asie mjua yusuph ..

asee jamaa zake yusuph walipata tabu sana .


Ndio chelsea ya sasa.
 

Attachments

  • IMG_20220622_162823.jpg
    IMG_20220622_162823.jpg
    31.2 KB · Views: 17
Petr Cech naye huyo anasepa, sijui Boehly anaunda ufalme upi pale darajani
 
Kuna uwezekano wa werner na Ziyech kuondoka msim huu

Werner anahusishwa kwenye deal la De Ligt( 30 + werner)
Huku Ziyech akihusishwa kujiunga na Ac Milan

Possible Replacement
Dembele
Richarlison
Raphinha
Sijaona sababu ya hawa jamaa kuondoka. Ndio msimu wao wa kwanza na TT. Nadhani itakuwa makosa kuwaondoa na hasa Ziyech
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom