Updated line up ya msimu ujao baada ya kusajili msimu huuMimi naona Dembele ataendana sana na Havertz, Gallagher, Rahim Sterling, Werne, Odoi na Mount bila kumsahau Broja
Katikati Kovacic, Sangare, Kante na Harvey watafanya kazi hiyo na nyuma watakuwepo Chilwell, James, Silva, Kounde na Kimpembe wakisaidiana na Levi Colwill, Chalobah, De light, Lewis Hall na Dumfries. Wakati makipa watatu, Mendy atasaidiwa na Strakosha na Slonina
Mount --- Havertz -- Dembele (New)
Chilwell --- Kovacic --- Ibrahim Sangare (New) --- James
Kimpembe (New)-----Silva --- Kounde (New)
Mendy
Sub/Rotation
- Thomas Strakosha (GK) - New
- Gabriel Slonina (GK) - New
- Levi Colwill (CB) -Academy
- Chalobah (CB)
- Matthijs de Ligt (CB) - New
- Dumfries (RB) - New
- Lewis Hall (LB) -Academy
- Kante (DM)
- Harvey Vale (MF) -Academy
- Odoi (Forward)
- Werner (Forward)
- Conor Gallagher (Forward) - On Loan
- Raheem Sterling (Forward) - New
- Armando Broja (Striker) - On Loan
Yan aondoke Werner halafu Pulisic abaki?Kuna uwezekano wa werner na Ziyech kuondoka msim huu
Werner anahusishwa kwenye deal la De Ligt( 30 + werner)
Huku Ziyech akihusishwa kujiunga na Ac Milan
Possible Replacement
Dembele
Richarlison
Raphinha
Werner ni swap dealYan aondoke Werner halafu Pulisic abaki?
Kuanzia wiki ijayo kuna deals zitakuwa zinakaribia kukamilika.Naona tetesi kila siku dalili za kusajiri hamna kabisa
Hawa watatu ni wa uhakikaTuchel amefanya mazungumzo na Rahim Sterling, mazungumzo yamekuwa chanya, baada ya mazungumzo klabu inajiandaa kutuma ofa ya kwanza kwenda man city.
Kama chelseafc itamuuza Ziyech utakuwa ni upuuzi wa kiwango Cha grade 1
Sio wote wanaouzwa ni wabaya, hata Lukaku mimi sijaamini kama ni mbaya kivile. Sio wachezaji wote wanaendana nafalsafa na staili ya uchezaji anayotaka kocha. Ziyech ameshindwa kufit in kwa TT, Werner kashindwa kufit in, Pulisic mimi namuona yuko vile vile alivyokuwa Ujerumani. Lukaku totaly kashindwa kuingia kwenye mfumo wa TT, Wachjezaji wote hao ni wazuri lakini sio kwa TT style of playing. Njia pekee ni kuwauza au kuwafanyia swap ili tupate wanaoendana na kocha. Sababu kuu ni hiyoKama chelseafc itamuuza Ziyech utakuwa ni upuuzi wa kiwango Cha grade 1