Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Iache hamia timu nzito nzito...!Litimu lishakuwa la kiduwanzi hili The likes of Assno ,Man United
Iache hamia timu nzito nzito...!Litimu lishakuwa la kiduwanzi hili The likes of Assno ,Man United
Hili litakuwa kosa jingine la TT/Chelsea baada ya lile la exit ya akina Tomori, Tammy et al
Kumbuka kwenye format ya TT ni Ziyech aliyekuwa game changer kwenye mechi nyingi tulizo flop. So kwa maoni yangu sio kwamba haendani na format. More over yuko very flexible pale mbele.Sio wote wanaouzwa ni wabaya, hata Lukaku mimi sijaamini kama ni mbaya kivile. Sio wachezaji wote wanaendana nafalsafa na staili ya uchezaji anayotaka kocha. Ziyech ameshindwa kufit in kwa TT, Werner kashindwa kufit in, Pulisic mimi namuona yuko vile vile alivyokuwa Ujerumani. Lukaku totaly kashindwa kuingia kwenye mfumo wa TT, Wachjezaji wote hao ni wazuri lakini sio kwa TT style of playing. Njia pekee ni kuwauza au kuwafanyia swap ili tupate wanaoendana na kocha. Sababu kuu ni hiyo
Hapana, abaki! Asiende kokote.Liverpool wanmtaka Timo Werner, Klop ni admirer wa muda mrefu wa Timo Werner, akienda Liverpool atakuwa akifunga 20+ goals na atakuwa threat kubwa kwa Chelsea bora aende AC Milan
Rudiger ndio alikuwa tegemeo la Lampard akiwa na Tomori kabla ya kuja Thiago. Nadhani tatizo la Lampard lilikuwa ni kuwa na mahaba au bifu na mchezaji za kimya kimya. Ila alikuwa ndio Tegemeo la kusimamisha ukuta wa Chelsea kipindi tumepigwa pini. Tatizo hili la Lampard liliwapata pia Pedro na Giroud. So unakosea kusema Lampard aliwahi ku imply kuwa Rudiger mbovu. Unless kama kuna kitu kilinipita somewhere!hata Lampard alituaminisha Rudiger ni mbovu ,ila tuchel akamfanya Rudiger awe mmoja kati ya mabeki wazuri,
Wakati wa Lampard ndio Ziyech alikuwa mzuri akawa anazinguliwa na majeruhi. Kwa TT ameche za mechi chache na pia hakucheza vizuri kama wakati wa Lampard na ndio maana TT amemuweka benchi mara nyingi. Sababu nyingine pia ya kumuuza hayuko Happy, labda apewe game nyingi zaidi ili awe happyKumbuka kwenye format ya TT ni Ziyech aliyekuwa game changer kwenye mechi nyingi tulizo flop. So kwa maoni yangu sio kwamba haendani na format. More over yuko very flexible pale mbele.
Kumuuza haitakuwa pungufu ya ujinga!
Kama tutanunua attacker hata mmoja tu kama Raphina au Dembele, no way lazima tuwaondoe angalau wawili. Kumbuka pia Conor anarudi kutoka kwenye mkopo na yeye ni mzuri sio wa kumuuza. Pulisic kuuzwa haina ubishi, kati ya Werner na Ziyech mimi naona Ziyech abaki Werner.Hapana, abaki! Asiende kokote.
Kwa maono yangu nadhani tunapaswa kuziba gaps. Kule nyuma tunahitaji long term replacement ya Thiago atakapostaafu. Kati Pia tunahitaji successor wa Kante. RLC naona atamrithi Kova vizuri anahitaji some coaching. Huku kwa Alonso pia tunahitaji successor as well as kwa Kipa.Kama tutanunua attacker hata mmoja tu kama Raphina au Dembele, no way lazima tuwaondoe angalau wawili. Kumbuka pia Conor anarudi kutoka kwenye mkopo na yeye ni mzuri sio wa kumuuza. Pulisic kuuzwa haina ubishi, kati ya Werner na Ziyech mimi naona Ziyech abaki Werner.
I agree. TT kamchezesha mechi chache sana. Na hizo mechi ameonyesha kuipa timu uhai sana.Wakati wa Lampard ndio Ziyech alikuwa mzuri akawa anazinguliwa na majeruhi. Kwa TT ameche za mechi chache na pia hakucheza vizuri kama wakati wa Lampard na ndio maana TT amemuweka benchi mara nyingi. Sababu nyingine pia ya kumuuza hayuko Happy, labda apewe game nyingi zaidi ili awe happy
CFC
Nizaar Kinsella - GOAL
Fabrizio Romano - Sky ItaliaUsihofu, ni sehemu ya shakeups kukiwa na umiliki mpya.Tunazidi kupigwa na kitu kizito tu. Inawezekana kuna kukosa maelewano kati yao ndio maana wote wanaamua kuondoka. Sasa kama hadi Cech anaondoka nani atawapa miiko bora ya Chelsea?
Bruce Buck - Rais
Marina
Cech
Wakuu tunakoelekea mimi naona giza tu
Mkuu hii ni dalili ya kupoteza dira ya timu. Huyu jamaa nina uhakika anaendeshwa na serikali ya uingeeeza. Usikute kapewa maelekezo washirika wote wa Roman waondoke ili tupoteane tu. Kwanini waondoke wote hawa kwa haraka hivi huyo mbung'o nani anamuongoza?Usihofu, ni sehemu ya shakeups kukiwa na umiliki mpya.
Kutakuwa na side effects but itakaa sawa!
Boss yupo sahihi kocha apewe nguvu zaidi ya kuchagua yupi wa kuwa nae atakae endana na mifumo yake. Huyu jamaa tuna mlaumu ila ana falsafa anayoiamini na itatusaidi siku zijazo. Japo huu mwanzo hatumuelewi kwa kuwa tunataka vitu vya haraka haraka.Petr Cech and Marina wanted to keep Romelu Lukaku at Chelsea and that was an early difference of opinion with Todd Boehly, Boehly wants the coach to be at the heart of transfer decisions like Liverpool.
Nizaar Kinsella - GOAL
Unaona jinsi man utd inavyo pwaya...? Ni.makosa ya kutompa kocha maamlaka ya kuchagua nani amsajili. Sasa boss ashasema anataka timu iwe kama Liverpool kwenye kusajili akiwa na maana kocha aliyepo ndio awe na maamuzi ya kuchagua wachezaji atakaoendana nao kulingana na mfumo wake.Mkuu hii ni dalili ya kupoteza dira ya timu. Huyu jamaa nina uhakika anaendeshwa na serikali ya uingeeeza. Usikute kapewa maelekezo washirika wote wa Roman waondoke ili tupoteane tu. Kwanini waondoke wote hawa kwa haraka hivi huyo mbung'o nani anamuongoza?
Hata ile ari ya kuzungumzia usajili ishaanza kunitoka
Hakuna kitu kama hicho cha rudiger sijui alikuwepo, sababu kubwa marina alishindwa kufikia dau ambalo sevilla walikuwa wanalitaka.Si bado kina rudiger walikuwepo,angekuwepo Roman muda huu Kounde ungekuwa usajir wa kwanza