Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG-20220620-WA0001.jpeg
 
Dirisha likifungwa hatujasajili nitaanza kumkosoa Tajiri wacha nisubiri muda upo bado
Sajili zitafanyika wakat wowote toka sasa, kuna mabadiliko ya kiuongozi,
Marina na Bruce Buck wanaondoka lilikuwa swala la mda tu, Buck ataendelea kuwa Seniour Advisor,

Issue nzima ya usajil dirisha hili itakuwa chini ya Boehly,Cech n Tuchel
 
Christian Eriksen ni bonge la mchezaji nna yuko bure sokoni, tunang'ang'ana tu na flops
 
Ukweli ni huu
Tunahitaji hawa wachezaji dirisha hili sio kesho
  1. Mfungaji mzuri wa magoli 20+ kwa msimu anayeendana na mfumo wa TT - Sajili Nkunku
  2. Kiungo mpikaji wa magoli atakayesaidiana na Mount Tukikosa weka Gallagher hapo
  3. Kiungo mkabaji wa kuwalinga mabeki atakayesaidiana na Kante na Kovacic - Sajili Declan Rice
  4. Beki wa kulia na kushoto wa kusaidiana na Chilwell na James
  5. Mabeki wawili wa katikati wa kusaidiana na Silva na Chalobah
Jumla ya wachezaji ni 6 au zaidi, msimu huu
Mpeni Todd Boehly huu ujumbe mlio karibu naye
 
Kwa huyu tajili masikini tulipigwa nilijua tu wa marikani wako sana with quick profits sio longterm investment.......hapo hawezi kununua mchezaji wa $100m, Chelsea itakua ya kupambania nafasi ya nne Uefa tu.
Aaah hata hao wachezaji wa $100 km unaowataka unaweza ukasajili na wakaflop Tu..m naona Bora approach Yao ya usajili Kwa kuangalia data na si mtu anayewika sokoni na WA bei kubwa
 
Chelsea wanaelekea kuachana na usajili wa Dembele kwa sababu ya majeruhi ya mara kwa mara. Taarifa za ndani zinasema kuwa Chelsea wanahofia akisajiliwa atakuwa muda mwingi kwenye majeruhi.
Tujifunze kwa Pulisic
Source: Transfer News: Chelsea reconsidering Ousmane Dembele move
Bora aisee mungu ametuepusha na hicho kikombe, hata kama angekua fit msimu mzima Dembele ni mchezaji wa kawaida sana. Bora hata tukae na hao tuliokua nao kuliko huyo miyeshusho.
 
Ukweli ni huu
Tunahitaji hawa wachezaji dirisha hili sio kesho
  1. Mfungaji mzuri wa magoli 20+ kwa msimu anayeendana na mfumo wa TT - Sajili Nkunku
  2. Kiungo mpikaji wa magoli atakayesaidiana na Mount Tukikosa weka Gallagher hapo
  3. Kiungo mkabaji wa kuwalinga mabeki atakayesaidiana na Kante na Kovacic - Sajili Declan Rice
  4. Beki wa kulia na kushoto wa kusaidiana na Chilwell na James
  5. Mabeki wawili wa katikati wa kusaidiana na Silva na Chalobah
Jumla ya wachezaji ni 6 au zaidi, msimu huu
Mpeni Todd Boehly huu ujumbe mlio karibu naye
Decline Rice ni Joginhno wa westham
 
Inasemekana kuwa usajili wa Lukaku imewekwa kwenye rekodi ya "EPL Worst Signing of All Time"
Mchezaji kanunuliwa Paundi mil 100, halafu analipwa mshahara mkubwa wa paundi 325,000 kwa wiki, halafu kafunga goli nane tu kwenye mechi 26 halafu ndani ya miezi sita anasema anataka kurudi Inter halafu ndani ya msimu mmoja anatolewa mkopo wa Euro mil 10 halafu ndio ikaishia hivyo hivyo tu
1655856959470.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom