Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwanini uongozi usimuone Christian Eriksen huyu ni free agent?
Huyu ni top player na anaweza kutusaidia for the next 3 or 4 years to come
 
Mkuu hatwend kuwa kama arsenal, bado naiman na hawa matajiri.
Mda ni jambo zuri sana,

Tusikurupuke kwenye usajil, tusajil kimkakati na si kwa kufata mkumbo,
Je nikiasi gani tumetumia kule mbele ila bado tumestruggle kwenye Epl

Tulikuwa kwenye vikwazo na tim imeuzwa tareh 30/5 huku vilabu vingine vikiwa huru kufanya sajil/kufanya pre-agreement na wachezaj.
Sikatai suala la kujipa muda ila shida kauli zake zinatia mashaka
 
Hapa hatuna mlimiliki tumepigwa na kitu kizito hata kama tutakuwa na uvumilivu
Huyu mmiliki masikini hana pesa ya ziada pesa aliotumia ni ya sacco ni ya wa miliki wengi anategemea kuuza baadhi ya wachazaji wa Chelsea ndo anunue wapya, alikingiwa kifua na western media kwasbb ni Marikani ili kugawana mali ya Mrusi, ila Epl bila wachazaji wapya wenye majina huwezi kutoboa hamna cha bahati kama la liga au budasliga ushindani ni mkali pale sio vipaji ila majina.
 
Alicheza mechi ya mwisho ipi? Kwa sababu hata mazoezi ya pamoja na wenzake hakufanya
Aliingia dk ya 89 badala ya Mount
1655633133058.png
 
Hapa hatuna mlimiliki tumepigwa na kitu kizito hata kama tutakuwa na uvumilivu
Tatizo la fans walidhani akija atakuwa kama Abramovich. Style itabadilika, tumhukumu kwa matendo sio style. Wamerakani hata siku moja hawafanyi kazi kama Waarabu au Mafogo wa Kirusi. Liverpool wanawalalamikia sana FSG lakini ona sajili wanazofanya na hawachelewi
 
Ww inaonekana hukuangalia game ya mwisho na alishaanza mazoezi mda tu na wenzie
Kiukweli sikuifuatilia. Niliangalia magoli tu

Last time nilimuona kaanza kufanya mazoezi mepesi peke ake lakini sikushtuka kama keshafanya mazoezi ya pamoja na wachezaji wenzake
 
So Tuchel anamtaka Sterling, Naona hapa tunacheza kama Kamali

Ngoja tuone
 
Work in progress for Romelu Lukaku's comeback to Inter. Talks ongoing with Chelsea on the final loan fee, Inter will improve the opening proposal worth €5m plus €2m in add-ons. #Inter

Next week will be key to speed up talks - as all parties want to find a solution soon. https://t.co/LN65OuzBjN
 
Work in progress for Romelu Lukaku's comeback to Inter. Talks ongoing with Chelsea on the final loan fee, Inter will improve the opening proposal worth €5m plus €2m in add-ons. #Inter

Next week will be key to speed up talks - as all parties want to find a solution soon. https://t.co/LN65OuzBjN
Hawa Inter wana tabia mbaya sana. Yani wamewaibia £100 mil halafu wanataka wawarudishie €7 mil..

Hawa jamaa ni wahuni sana. Hii ndio maana halisi ya biashara😁.
 
Hawa Inter wana tabia mbaya sana. Yani wamewaibia £100 mil halafu wanataka wawarudishie €7 mil..

Hawa jamaa ni wahuni sana. Hii ndio maana halisi ya biashara😁.
Huo ni mkopo sio kununua, tuliza projo chini elewa kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom