Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,196
Wewe timu nyingi tu zimepata wachezaji dirisha la January. Huu hapa mfano mdogo tu Vlahovic, Luiz Diaz, Ferran Tores, Luis Suarez hizo ni chache ya sajili zilizowahi kufanyika JanHuwezi kupata wachezaji wamaana kwenye dirisha la January Team nyingi zinakuwa zinawan'gan'gania wachezaji wao muhimu kwa sababu kipindi kama icho clubs zinakuwa na agenda zao wapo wanataka ubingwa wa ligi zao na pia wapo wanataka big 4 so inakuwa si rahisi kuuza wachezaji wao muhimu kwa situation kama hizo
