Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kounde twist despite agreed terms​

Jules Kounde is reportedly in advanced talks to sign for Barcelona, amid Chelsea links.
 
Wachezaji 18 ambao Chelsea wana link nao ni
  1. Kounde
  2. Dumfries
  3. Richarlison
  4. Wesley Fofana,
  5. Raheem Sterling
  6. Ousmane Dembele,
  7. Robert Lewandowski
  8. Milan Skriniar (Inter),
  9. Alessio Romagnoli (AC Milan),
  10. Presnel Kiempembe
  11. Achraf Hakimi (both PSG),
  12. Sergi Dest (Barcelona),
  13. Benoit Badiashile (Monaco),
  14. Josko Gvardiol (RB Leipzig)
  15. Matthijs de Ligt (Juventus).
  16. Marc Cucurella
  17. Gabriel Slonina from Chicago
  18. Thomas Strakosha from Lazio
 
Wachezaji 18 ambao Chelsea wana link nao ni
  1. Kounde
  2. Dumfries
  3. Richarlison
  4. Wesley Fofana,
  5. Raheem Sterling
  6. Ousmane Dembele,
  7. Robert Lewandowski
  8. Milan Skriniar (Inter),
  9. Alessio Romagnoli (AC Milan),
  10. Presnel Kiempembe
  11. Achraf Hakimi (both PSG),
  12. Sergi Dest (Barcelona),
  13. Benoit Badiashile (Monaco),
  14. Josko Gvardiol (RB Leipzig)
  15. Matthijs de Ligt (Juventus).
  16. Marc Cucurella
  17. Gabriel Slonina from Chicago
  18. Thomas Strakosha from Lazio
Walete mabeki wawili na winga mmoja
 
Latest News
ThreeUK wataendelea kuwa sponsor wetu hadi muda wao uishe.
 
Mkuu hebu mpe heshima Dembele. Keshaprove ana uwezo mkubwa sana kinachomuharibia Dembele ni majeruhi ya mara kwa mara tu pia alishawahi kuripotiwa ni mvivu wa mazoezi. Halafu nahisi wengi humu wanamkataa kwa sababu labda wanamfuatilia juu juu tu. Katika hao wachezaji uliowataja hakuna anaemzidi kwa numbers Dembele.

Lakini tukumbuke huyu Dembele alinunuliwa na Tuchel alipokua Dortmund na sasa ivi anakuja Chelsea yawezekana ni kwa sababu ya influence ya kocha TT. Binafsi sima shaka na Dembele pengine tunaweza kuona mabadiliko makubwa ambayo wengi humu wanakataa
Sio una mpampu mchezaji halafu anaishia kuflop kama lukazigo.

Kati ya sajili ya kiupuuzi tuliyofanya ni huyo jamaa hana mapenzi na klabu.

Anafaa cheza ligi laini laini kama serie A.

Tunataka wachezaji wenye kustamili shuruba za ligi anaeweza cheza mechi 25+ za ligi kwa msimu
 
Chelsea vs Everton on 6 August 2022

Mason Mount ------Kai Havertz------Ousmane Dembele

Ben Chilwell---Mateo Kovacic---N'Golo Kante---Reece James

Josko Gvardiol ------Thiago Silva------ Jules Kounde

--------------Edouard Mendy--------------
 
Tunaenda kuwa midtable team
Hatotukuwa midtable team, , mara ya mwisho kufanya sajili za akili ni 2013/14 tuliposajil fabregas,costa,felipe luis na msim na ule wa 16/17 wa kante baada ya hapo sajil tumekuwa tukibahatisha

Kwa sasa tunahitaj director of football, miaka ya hiv karibun tumekuwa slow kweny usajil,
 
Sio una mpampu mchezaji halafu anaishia kuflop kama lukazigo.

Kati ya sajili ya kiupuuzi tuliyofanya ni huyo jamaa hana mapenzi na klabu.

Anafaa cheza ligi laini laini kama serie A.

Tunataka wachezaji wenye kustamili shuruba za ligi anaeweza cheza mechi 25+ za ligi kwa msimu
Soma hiyo aya kwanza vizuri, nimesema kinachomuharibia Dembele ni majeraha ya mara kwa mara na imesharipotiwa mara kadhaa ni mvivu wa mazoezi. Usikurupuke tu kusema nampampu mchezaji nimeeleza na negativity zake
 
Wachezaji 18 ambao Chelsea wana link nao ni
  1. Kounde
  2. Dumfries
  3. Richarlison
  4. Wesley Fofana,
  5. Raheem Sterling
  6. Ousmane Dembele,
  7. Robert Lewandowski
  8. Milan Skriniar (Inter),
  9. Alessio Romagnoli (AC Milan),
  10. Presnel Kiempembe
  11. Achraf Hakimi (both PSG),
  12. Sergi Dest (Barcelona),
  13. Benoit Badiashile (Monaco),
  14. Josko Gvardiol (RB Leipzig)
  15. Matthijs de Ligt (Juventus).
  16. Marc Cucurella
  17. Gabriel Slonina from Chicago
  18. Thomas Strakosha from Lazio
Kwa kuziba mapengo haraka haraka leta Kimpembe, Josko halafu tunamchukua na Richarlson tuanze msimu chap. Kwenye midfield watatusaidia kina Gallagher na Mount
 
Midfielder naona hyo nafasi tuna uhitaji nayo..hasa defensive midfielder au ndo waaminiwe kina ampadu
Huyo Ampadu hapana kwakweli. Katolewa mkopo misimu mingap sijui lakini hamna kitu mwisho wa siku naye kawa kopo tu. Bora tuendelee kubaki na kina Chalobah
 
Chelsea vs Everton on 6 August 2022

Mason Mount ------Kai Havertz------Ousmane Dembele

Ben Chilwell---Mateo Kovacic---N'Golo Kante---Reece James

Josko Gvardiol ------Thiago Silva------ Jules Kounde

--------------Edouard Mendy--------------
Hivi Chilwell hata mazoezi na timu kashaanza kweli?
 
Ninachoona mpaka sasa kwa dirisha hili kubwa tusijiwekee matumaini makubwa kama tunaweza fanya sajili za maana kwa sababu ya kile ambacho kilitukuta hakukua na kinachoeleweka kupelekea kutokufanya makubaliano na mchezaji yoyote.

Ambacho naona tunaweza fanya sajili ya maana dirisha dogo January ambapo board ya usajili itakua imeshatulia. Lakini kwa sasa labda itokee bahati otherwisetusijipe matumaini makubwa kwa kutaja majina makubwa makubwa. Hizi ni enzi za Todd sio Roman
 
Ninachoona mpaka sasa kwa dirisha hili kubwa tusijiwekee matumaini makubwa kama tunaweza fanya sajili za maana kwa sababu ya kile ambacho kilitukuta hakukua na kinachoeleweka kupelekea kutokufanya makubaliano na mchezaji yoyote.

Ambacho naona tunaweza fanya sajili ya maana dirisha dogo January ambapo board ya usajili itakua imeshatulia. Lakini kwa sasa labda itokee bahati otherwisetusijipe matumaini makubwa kwa kutaja majina makubwa makubwa. Hizi ni enzi za Todd sio Roman
Ukisoma hata maelezo ya boelhy anapenda sana jinsi liverpool wanavyosajili, na hicho ndio kinachoenda kututokea, ni jambo zuri tukipata DOF atakaefaham kocha anataka nini

Spurs kabla ya kumuajir conte walimleta Paratici kama dof, angalia sajil wanazofanya,wanafanya sajil nzuri na zenye mahitaj ya kocha,
Txiki berigestain yuko pale city angalia usajil anaofanya
Michael Edward pale liverpool angalia sajil wanazofanya,
Unakuta wanatumia hela ila hela inaaenda pale inapopaswa kwenda kiuhalali,
Ila sisi tumekuwa watu wa kusajil kwa hela kubwa ila mwisho wa siku player anakuwa flop coz hayuko katika falsafa ya kocha


Tumekuwa tukisajil ilimradi tusajili, Last season 100M imeenda bure, tutegemee sasa hiv hela itatolewa pale itakahitajika na sikila transfer uspend 70 kwa player wakawaida.

So far, board naona wanamsupport tuchel ni dalili nzuri hii, miaka ya nyuma kwa hii sintofahamu ya lukaku na tuchel, tuchel angefukuzwa o wangemforce amtumie hivyo hivyo lukaku na mwisho wa siku angeondoka tuchel

Tusubir kwenye usajil je watamsupport ipasavyo?
 
Kwa kuziba mapengo haraka haraka leta Kimpembe, Josko halafu tunamchukua na Richarlson tuanze msimu chap. Kwenye midfield watatusaidia kina Gallagher na Mount
Tunahitaj DM, kutegemea wakina mount eti na galagher,kova,kante,jorg ni yale yale tu.

City wakokatika mazungumzo ya kumsajil Kelvin Philips kutola leeds wakat huo huo wako pia katika mazungumzo ya kumsajil Marc Cucurella kutoka Brighton

Spurs walikuwa na hobjerg na Bentaccur ila wamemuongeza Bissouma

Tunahitaj kusajil wachezaj watakao kuja kuwachallage waliopo na si back up ya wachezaj waliopo

Wachezaj waliopo hawawez cheza game 7-10 katika kiwango kile kile, atafululiza game 3 baada ya hapo anapotea ataibuka baada ya miez 5
 
Tunahitaj DM, kutegemea wakina mount eti na galagher,kova,kante,jorg ni yale yale tu.

City wakokatika mazungumzo ya kumsajil Kelvin Philips kutola leeds wakat huo huo wako pia katika mazungumzo ya kumsajil Marc Cucurella kutoka Brighton

Spurs walikuwa na hobjerg na Bentaccur ila wamemuongeza Bissouma

Tunahitaj kusajil wachezaj watakao kuja kuwachallage waliopo na si back up ya wachezaj waliopo

Wachezaj waliopo hawawez cheza game 7-10 katika kiwango kile kile, atafululiza game 3 baada ya hapo anapotea ataibuka baada ya miez 5
Niambie sasa hivi kuna midfield gani ni mzuri yuko available sokoni ikawa rahisi sisi kumsajili kwa huu muda uliobaki?

Ndio maana nikasema walau January ndio tunawezafanya sajili ya maanaila saivi tutaishia kula za uso huko watu wanaweka vibunda mfukoni
 
Niambie sasa hivi kuna midfield gani ni mzuri yuko available sokoni ikawa rahisi sisi kumsajili kwa huu muda uliobaki?

Ndio maana nikasema walau January ndio tunawezafanya sajili ya maanaila saivi tutaishia kula za uso huko watu wanaweka vibunda mfukoni
Huwezi kupata wachezaji wamaana kwenye dirisha la January Team nyingi zinakuwa zinawan'gan'gania wachezaji wao muhimu kwa sababu kipindi kama icho clubs zinakuwa na agenda zao wapo wanataka ubingwa wa ligi zao na pia wapo wanataka big 4 so inakuwa si rahisi kuuza wachezaji wao muhimu kwa situation kama hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom