Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wote wenye wasiwasi niwatoe wasiwasi kuhusu usajiri utafanyika na chelsea msimu itakua bora zaidi haya masuala ya usajiri tumuachie kocha ingekua kuna shida kocha tayari angeshasema msije mkashangaa msimu ujao neymar akatua chelsea yani ni suala la muda kikubwa subra msibabishwe na hao wakina nunez na halaand sio kigezo cha kufanya sisi tuogope chelsea ni bora na itakua bora zaidi sisi huwa tunafunga kazi dakika za mwisho sasa hivi tuwaachie wenye tamaa
 
Yoyote mwenye uelewa kuhusu sakata la jezi za msimu ujao. Maana naona muda unaenda tu au mdhamini hajapatikana bado
Three bado anabaki kuwa mdhamini tena msimu ujao kabakisha mwaka mmoja kuna ile jezi ya nyumbani iliyo leak nafikiri itakuwa official
 
Wote wenye wasiwasi niwatoe wasiwasi kuhusu usajiri utafanyika na chelsea msimu itakua bora zaidi haya masuala ya usajiri tumuachie kocha ingekua kuna shida kocha tayari angeshasema msije mkashangaa msimu ujao neymar akatua chelsea yani ni suala la muda kikubwa subra msibabishwe na hao wakina nunez na halaand sio kigezo cha kufanya sisi tuogope chelsea ni bora na itakua bora zaidi sisi huwa tunafunga kazi dakika za mwisho sasa hivi tuwaachie wenye tamaa
Huyo Naymar hafai ni bishoo, wanaofaa wote wameshawahiwa, issue ndio hiyo
EPL uchukue ubingwa ni hadi uwe na misuli kweli kweli. Sasa wachezaji wenye misuli ndio hao wanaenda city, liverpool, real madrid, PSG. Sisi Chelsea tutabaki na regular player, nothing nothing left
 
Mbona sijawahi sikia Heung Min Son timu yoyote ikimtafuta?, angetufaa sana maana ameshaonesha kitu cha tofauti Epl kwa misimu kadhaa.
 
Huyo Naymar hafai ni bishoo, wanaofaa wote wameshawahiwa, issue ndio hiyo
EPL uchukue ubingwa ni hadi uwe na misuli kweli kweli. Sasa wachezaji wenye misuli ndio hao wanaenda city, liverpool, real madrid, PSG. Sisi Chelsea tutabaki na regular player, nothing nothing left
Ya nini marumbano tusubiri kwa subra njema tutaona wala usijari
 
Hivi mnaokumbuka Roman Abramovich usajili wake wa kwanza tu baada ya kuichukua Chelsea ulikuwa vipi?
First Impression matters
Huyu Boehly akizubaa tu dirisha hili mashabiki tutakata tamaa hata akija kusajili vizuri hakuna mtu ataweka maanani tena

First 11 Abramovich signings -2003 - kocha hapa alikuwa ni Raniery
  1. Glen Johnson (from West Ham United): £6 million
  2. Geremi (from Real Madrid): £7 million
  3. Damien Duff (from Blackburn Rovers): £17 million
  4. Wayne Bridge (from Southampton): £7 million
  5. Juan Sebastian Veron (from Manchester United): £15 million
  6. Joe Cole (from West Ham United): £6.6 million
  7. Adrian Mutu (from Parma): £15.8 million
  8. Alexei Smertin (from Bordeaux): £3.5 million
  9. Hernan Crespo (from Inter Milan): £16.8 million
  10. Claude Makelele (from Real Madrid): £16.6 million
  11. Scott Parker (from Charlton Athletic): £10 million
Total: £121.3 million

Mwaka uliofuata wa 2004

  1. Jose Mounrinho (from FC Portal) Head Coach) Baba lao kaja angalia hizo signings
  2. Petr Cech (from Rennes): £7 million
  3. Paulo Ferreira (from Porto): £13.2 million
  4. Arjen Robben (from PSV): £12 million
  5. Mateja Kezman (from PSV): £5 million
  6. Tiago (from Benfica): £8 million
  7. Didier Drogba (from Marseille): £24 million
  8. Ricardo Carvalho (from Porto): £20 million
  9. Jiri Jarosik (from CSKA Moscow): £3 million
Total: £92.2 million
 
Ya nini marumbano tusubiri kwa subra njema tutaona wala usijari
Mimi binafsi nimepata wasiwsi na huyu tajiri mpya, biashara yote ni asubuhi. Anasubiri dakika za mwishomisho ili apate kwa bei nafu, wamiliki wa Marikani wako kifaida zaidi, watu kama hao ndo wamesababisha arsenal kuporomoka, hapo tumepigwa tutabaki kua kama TOTTENHAM
 
LaLiga have filed a complaint to UEFA against Paris St Germain and Manchester City over alleged Financial Fair Play violations, the Spanish professional soccer league announced on Wednesday.

Arsenal wanaweza wakashiriki UEFA msimu ujao
 
Kuna fununu kwamba Kounde kabadili msimamo, sasa anatamani kwenda New Castle au Barcelona sio Chelsea tena. Kaona nini huku Chelsea kinachomuuzi. Newcastle wako tayari kutoa £78.4million
 
Sio tu kuna shida kwenye usajili hata kuextend mikataba ya akina James na Mount haipo, kuna uwezekano hao wachezaji wakakasirika na kutaka kuondoka pia. Na ikiwa hivyo hatutakaa tupate wachezaji wazuri kwa sababu mchezaji mzuri anapenda kwenda kwenye green and calm pastures
 
Hapa mmepata beki
20220615_201701.jpg
 
Katika hao uliowataja hakuna hata mmoja tuliyenae anawakaribia. Muhimu tukomae na waliopo TT awamezeshe ukali walau watuvushe kipindi hiki kigumu. Tukomae tusajili beki ya maana tofauti na Kounde huyu mimi simuamini kabisa
Huyo kounde ndo anatajwa Sana Mzee we jiandae kisaikolojia
 
Katika hao uliowataja hakuna hata mmoja tuliyenae anawakaribia. Muhimu tukomae na waliopo TT awamezeshe ukali walau watuvushe kipindi hiki kigumu. Tukomae tusajili beki ya maana tofauti na Kounde huyu mimi simuamini kabisa
Nimeitoa mahali pengine ndo Sababu ya Tuchel kumhitaji tokea msimu uliopita
IMG_20210729_120405.jpg
 
Mbona sijawahi sikia Heung Min Son timu yoyote ikimtafuta?, angetufaa sana maana ameshaonesha kitu cha tofauti Epl kwa misimu kadhaa.
Spurs hawawezi kumuachia son hata wawekee kiasi gani cha pesa ni sawa Leo hii useme sijui kwanini team hazimtafuti TAA liverpool au Benzema Madrid ..!
 
LaLiga have filed a complaint to UEFA against Paris St Germain and Manchester City over alleged Financial Fair Play violations, the Spanish professional soccer league announced on Wednesday.

Arsenal wanaweza wakashiriki UEFA msimu ujao
Hao ni wivu tu ,Sasa city tumemuuza Torres £53 million Barcelona ,tumemnunua haaland £60million ...

Hapo tatizo lipo wapi
 
Huyo kounde ndo anatajwa Sana Mzee we jiandae kisaikolojia
Anaenda New Castle huyo, habari mpya labda tumgeukie Matthijs de Ligt
Kama ikitokea tukawapata wote wawili tumemaliza kazi ya CB kabisa for years to come kwa sababu wote ni young CBs
 
Chelsea singed u18 Eddie Beach Soton golie
Chelsea close to sign Gabriel Slonina 18 yo wonderkid from Chicago Fire
Chelsea are close to sign Lazio golie Thomas Strakosha Albania International
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom