Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chama letu halija sajili tu bado. Mbona kimya tu wakuu lete mpya kutoka sources kubwa kubwa
 
Hapana uliniambia kwamba nitashindana na chelsea and what not basically ukaresort kwenye defensive mode.

Anyway, tuyaache haya. Ni miyeyusho tangu asubuhi tunaongelea swala moja. Sasa ni hivi chelsea imefunga msimu huku ikichechemea, Alonso and the like are leaving, Thom analazimishwa acheze back 4 na hapa kuna mmiliki mpya, hamtosurvive kama unavyofikiria
Masheikh yahya uchwara against Chelsea huwa hawakosekani ...
 
Negotiation zinaendelea mkuu we usiwe n Shaka ndo Kwanza Leo siku ya 3 tangu dirisha la usajili lifunguliwe ...sanasana sahv zinazungumzwa habari za dembele n kounde
Ndebele hapana hana tofauti na walio kuepo nsimo ulio pita, tunahitaji sharp shooting machine kubadilisha hizo goal attempts ziwe goli, kwa hiyo kazi dembele bado sana bora yule ya bayern na mancity angalau
 
Ndebele hapana hana tofauti na walio kuepo nsimo ulio pita, tunahitaji sharp shooting machine kubadilisha hizo goal attempts ziwe goli, kwa hiyo kazi dembele bado sana bora yule ya bayern na mancity angalau
Mkuu dembele Kwa uwezo wake ukiacha injuries naona n tofauti na hawa tuliikuwepo nao...ziyech, Werner mpk pulisic hawawezi kutake on wachezaji km hazard alivyokuwa anafanya pia dembele ni creative ..hawa sanasana kukiwa n mabeki wanawapress wanaishia kupiga backpass ...tukikutana n timu z kupaki bus ndo mambo yanakuwa hvyo at least dembele Mzee n upgrade ya hawa ambao tunao ...
 
Mkuu dembele Kwa uwezo wake ukiacha injuries naona n tofauti na hawa tuliikuwepo nao...ziyech, Werner mpk pulisic hawawezi kutake on wachezaji km hazard alivyokuwa anafanya pia dembele ni creative ..hawa sanasana kukiwa n mabeki wanawapress wanaishia kupiga backpass ...tukikutana n timu z kupaki bus ndo mambo yanakuwa hvyo at least dembele Mzee n upgrade ya hawa ambao tunao ...
Shida kubwa ya Chelsea pale mbele ni mfungaji. Watu wengi wanatoa pass za mwisho ila zinakuwa wasted na akina Werner, Herverts, Odoi. Tunahitaji mfungaji wa kuweka wavuni hata magoli 18 Elp hapo ndo utaona umuhimu wa Dembele
 
Shida kubwa ya Chelsea pale mbele ni mfungaji. Watu wengi wanatoa pass za mwisho ila zinakuwa wasted na akina Werner, Herverts, Odoi. Tunahitaji mfungaji wa kuweka wavuni hata magoli 18 Elp hapo ndo utaona umuhimu wa Dembele
Ikipendeza saana wamlete lewondosk tutapiga goli kama zote. Lukaku asepe tu na warner
 
Ndebele hapana hana tofauti na walio kuepo nsimo ulio pita, tunahitaji sharp shooting machine kubadilisha hizo goal attempts ziwe goli, kwa hiyo kazi dembele bado sana bora yule ya bayern na mancity angalau
Dembele kwa nature ya uchezaji wake sio goal scorer, ni mzuri sana kwenye kujenga mashambulizi na yuko very fast na anajua kutoa krosi nyingi, akicheza na James upande wa kulia sijui itakuwaje. Kama tutamchukua bure itakuwa addition nzuri. Japo kuwa mimi njikiambiwa kumachagua Raphina wa Leeds united au Dembele ningemchagua Raphina japo uchezaji wao ni tofauti sana japo wanacheza kaka winga
Raphina anacheza zaidi kama Ziyech ambaye ni agressive. Ziyech wetu ni mdhaifu na mwepesi sana hawezi agresive footabll
 
Ikipendeza saana wamlete lewondosk tutapiga goli kama zote. Lukaku asepe tu na warner
Tatizo la msingi la Lukaku ni kutopewa huduma vizuri. Akija Lewandoski pamoja na ufungaji wake, Chelsea atadrop sana. Kama tunahitaji magoli, tumsajili mfungaji na mtoa huduma. Full stop. Mount mzuri lakini aje zaidi yake. Hata akina Havertz, Lukaku utaona ufungaji wao utapanda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom