Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Klopp anamtaka Pulisic
Ukitaka kujua kwamba sisi tuna shida kwenye goal build up movement ngoja aende huko utaona atakapokuwa threat kwetu na timu zingine za EPL. At 23 trs naona Pulisic bado hatujamtumia vizuri
 
1654511318508.png
 
Inter wanamtaka Lukaku lakini sisi tuendelee kumlipia paundi laki 2 kila wiki
Chelsea wakifanya hivyo watakuwa wajinga si abaki atupashie benchi joto tu, ikitokea karabao tunampa azinyanyase hizo timu za league two na one!
Wanataka kutufanya kama Manure walivyofanya kwa Sachez

Chelsea to pay £200k a week for Lukaku to score goals for Inter Milan?​

 
Inter wanamtaka Lukaku lakini sisi tuendelee kumlipia paundi laki 2 kila wiki
Chelsea wakifanya hivyo watakuwa wajinga si abaki atupashie benchi joto tu, ikitokea karabao tunampa azinyanyase hizo timu za league two na one!
Wanataka kutufanya kama Manure walivyofanya kwa Sachez

Chelsea to pay £200k a week for Lukaku to score goals for Inter Milan?​

Kwaio unaona hio £125,000 atakayo enda kulipwa huko inter ni ndogo? Hujui biashara wewe, nyinyi mnaweza sajili mchezaji bora halafu hio 125k ndio ikawa mshajara wake kutoka kwenye mshahara wa inter, right now you dont have russian oligarchy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom