Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

According to The Guardian, Chelsea have a shortlist of SIX attackers:

• Robert Lewandowski
• Raheem Sterling
• Darwin Nunez
• Christopher Nkunku
• Jonathan David
• Ousmane Dembele

Ungependa mchezaji gani asajiliwe kulingana na mahitaji ya kocha katika safu ya ushambuliaji
Ningependa mo salah asajiliwe
 
1654355296523.png
 
Jules Kounde's move to #Chelsea is 'only a matter of time', as the €60M to €65M fee ‘should not be a problem’ for Thomas Tuchel's side.

1654355471736.png
 
Lukaku akienda Spurs Conte ataweka hizi risasi hivi kwenye 3-4-3

Son -------------Lukaku --------------Kane


Sone 20
Lukaku 20
Kane 20

Kama watakuwa na defense nzuri wamechukua makombe na kuondoa nuksi
 
Strikers wote dunian kuanzia mpira wa miguu ilipoanzishwa, usipompa huduma hafai
Kosa sio la Lukaku wala Torres wala Morata wala hao wengine
Strikers waliofanya vizuri wee angalia nani alikuwa nyuma yao kuwapa huduma
Kosa letu tunataka kuwafananisha strikers na winga au viungo washambuliaji
Winga na viungo wao wanajua kucheza mpira na ndio maana wanacheza kwenye hizo nafasi. Strikers wao hawachezi mpira, wanasubiri huduma watumbukize wavuni. Wao by nature hawajui kucheza mpira na sio kazi yao
Ukiona striker anayejua kucheza mpira huyo sio natural namba 9 atakuwa ni kiungo au CAM au kiungo yeyote mshambuliaji
Mfano Kanme anaweza chaza namba 9 akafunga kwa sababu yeye ni winga by nature au CAM
Salah hivyo hivyo
Firmino ni striker mzuri lakini asipopaata huduma huwezi muona akifunga mara kwa mara
Diego Costa alikuja Chelsea akabahatika kukutana na mpishi mzuri anayeitwa Fabregas. Didie Drogba naye enzi yake kacheza vizuri kwa sababu walikuwepo akina Mata, David Luiz, Frank Lampard na Ashley Cole. Wote hao walikuwa wazuri wa kutoa huduma na kuchochea mashambulizi. sio hiki kizazi cha akina alonso, jorginho cha back passes na sideways passes
 
UEFA FINAL 2012
Chelsea vs Bayern Munich
British Prime Minister David Cameron and German Chancellor Angela Merkel watching the penalty shoot-out with US President Barack Obama, French President François Hollande, Portuguese Prime Minister José Manuel Barroso and others during the G8 summit.
1654417874391.png
 
Lewandowski anaweza kujiondoa Bayern kwa kutumia FIFA Rulebook article 17 ianyosema mchezaji chini ya miaka 28 anaweza kujiuza mwenyewe baada ya miaka mitatau ya mkataba wake lakini kama ni zaidi ya miaka 28 anaweza kujiuza baada ya miaka miwili ya mktaba wake. Sasa Lewandowski anataka kujiuza kwa Euro mil 24. Nao Bayern wameshtuka na wako mbioni kukubali dau la Euro mil 40 wanaotoa Barcelona.

Article 17, more commonly known as Webster’s ruling, stipulates that ‘any player who signed a contract with a club before the age of 28 can buy himself out of the contract three years after signing the deal. If he is 28 or older the time limit is shortened to two years.’

In such a case, Lewandowski can buy himself out of his contract with Bayern Munich for a sum of €24 million. And the centre-forward’s agent, Pini Zahavi, is well aware of this rule and could decide to activate it in case Bayern do not agree to sell the Poland international.

The report states that Bayern are now reconsidering their stance on the matter and have decided to demand €40 million to let Lewandowski depart in the summer transfer window.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom