Huna akili mpuuzi wewe. Ujinga ujinga tu umekujaa jitahidi ukueWewe malaya kabisa, ishia huko
Huna akili mpuuzi wewe. Ujinga ujinga tu umekujaa jitahidi ukueWewe malaya kabisa, ishia huko
Kichwa maji nani asiyekujua weweHuna akili mpuuzi wewe. Ujinga ujinga tu umekujaa jitahidi ukue
Kumbe wewe unaona maumivu ukikazwa ehe, siku nyingine comment mada za watu bila matusi. Hata nusu ya umri wangu huwezi kuufikia mbuzi weweHuna akili mpuuzi wewe. Ujinga ujinga tu umekujaa jitahidi ukue
Na hiko ndiyo kinaniuma kwamba we ni mkubwa halafu huna akiliKumbe wewe unaona maumivu ukikazwa ehe, siku nyingine comment mada za watu bila matusi. Hata nusu ya umri wangu huwezi kuufikia mbuzi wewe
Unaamini unanijua au siyo?Kichwa maji nani asiyekujua wewe
Mtahangaika sana
Mtasumbuka sana
Mtapambana sana na Chelsea
Lakini hamtashinda
We are comming with
New owner
New era
New power
New speed
New mentality
New history to be marked with lots of titles and trophies everywhere
Wewe una tabia za kitoto sijui za kike hizi.
Mtu kaleta comment nimeuliza kwa comment ninayojua mimi.
Wewe unakuja na mipasho. Grow up.
Sio lazima ukubaliane na maoni yangu lakini usinitukane, hakuna mwenye hati miliki ya kutukanaNa hiko ndiyo kinaniuma kwamba we ni mkubwa halafu huna akili
AiseeeChelsea have officially removed Three UK and Hyundai from their 'Sponsor' section.
Sijawahi kukutukana bado. Unachokutana nacho ni mguu wa kushoto unaokuja nao kila siku.Sio lazima ukubaliane na maoni yangu lakini usinitukane, hakuna mwenye hati miliki ya kutukana
Mada zangu nyingi ukikoment mpaka utukane, why? Hata kama ni majigambo ya kishabiki sio lazima utukane bro
''New history to be marked with lots of titles and trophies everywhere''Sio lazima ukubaliane na maoni yangu lakini usinitukane, hakuna mwenye hati miliki ya kutukana
Mada zangu nyingi ukikoment mpaka utukane, why? Hata kama ni majigambo ya kishabiki sio lazima utukane bro
Ulivyosema kwenye nukuu hiiSijawahi kukutukana bado. Unachokutana nacho ni mguu wa kushoto unaokuja nao kila siku.
Sasa nilichouliza na mipasho uliyoleta ulitaka nikufanyaje?
Kumbe kuna sehemu umeniita malaya? Mi sijaona.Ulivyosema kwenye nukuu hii
"Wewe una tabia za kitoto sijui za kike hizi."
sio tusi na kama sio matusi hata mimi sijatukana kukuita malaya kwa muktadha huo. Jino kwa jino
Wewe ni malaya kwa sababu unazurura kwenye gheto za wanaume na kanga moja iliyolowa maji unataka kukupe jina gani? si ubaki kule kwenu kama wewe sio malayaKumbe kuna sehemu umeniita malaya? Mi sijaona.
Tabia ya ukifika tu unalalamika unaonewa wivu na watu wanataka kushindana na wewe ni ya kike au ya kitoto.
Nimekupa sifa yako unayostahili
Umeona ulivyokua huna akili? Kwahiyo unaamini una mamlaka ya kuwapangia watu pa kuingia? Na ulivyo lofa ushasahau kama tunakutana majukwaa mengine. Malaya wewe hujui unazunguka magheto mangapi siyo?Wewe ni malaya kwa sababu unazurura kwenye gheto za wanaume na kanga moja iliyolowa maji unataka kukupe jina gani? si ubaki kule kwenu kama wewe sio malaya
Hakuna mtru anakufukuza hapa, ni ushauri tu, kama hutaki uitwe hivyo ukija hapa uwe na heshima na kama huwezi uwe tayari kwa maneno machafu kama unayotoa wewe.Umeona ulivyokua huna akili? Kwahiyo unaamini una mamlaka ya kuwapangia watu pa kuingia? Na ulivyo lofa ushasahau kama tunakutana majukwaa mengine. Malaya wewe hujui unazunguka magheto mangapi siyo?
Nilicoment hivyo kiroho chake kikamuuma kweli kweli na huo ndio ukweli na wivu ikapanda povu zikamtoka sasa yeye akirudishiwa maneno kama aliyotamka anaona tusi''New history to be marked with lots of titles and trophies everywhere''
Mkuu pengine hili ndio tusi ulilomtukana ndio maana na yeye akaamua kukujia juu
Kwahiyo mimi kusema Chelsea ndiye mwenye deni kubwa na kuweka ile screenshot ni maneno machafu?Hakuna mtru anakufukuza hapa, ni ushauri tu, kama hutaki uitwe hivyo ukija hapa uwe na heshima na kama huwezi uwe tayari kwa maneno machafu kama unayotoa wewe.
Mimi nilikujibuje???Kwahiyo mimi kusema Chelsea ndiye mwenye deni kubwa na kuweka ile screenshot ni maneno machafu?
Hapana uliniambia kwamba nitashindana na chelsea and what not basically ukaresort kwenye defensive mode.Mimi nilikujibuje???
''New history to be marked with lots of titles and trophies everywhere''
Wewe ukanijibuje??
Ukawazalilisha hadi wadada na wanawake wote
Sijutii nilivyokujibu kwa sababu hata wewe hujiheshimu na uheshimu mama zako na dada zako
Sijakuambia hivyo, nimetoa general statement ya kishabiki mtashindana sio utashindana, nikamaanisha ninyi nyote arsenal, manure, livakuku wooote mnatabia ya kushindana na Chelsea na wengi wenu mlitaka ife kwa kupitia sanction. Hizo news mnazopost huku kwetu ni kiashiria tosha cha kuitaklia Chelsea mabaya and my respond was a perfect "fit and fix" kwa madongo yenu. Sasa kushindana ni tusiHapana uliniambia kwamba nitashindana na chelsea and what not basically ukaresort kwenye defensive mode.
Anyway, tuyaache haya. Ni miyeyusho tangu asubuhi tunaongelea swala moja. Sasa ni hivi chelsea imefunga msimu huku ikichechemea, Alonso and the like are leaving, Thom analazimishwa acheze back 4 na hapa kuna mmiliki mpya, hamtosurvive kama unavyofikiria