Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Huyo Marqunos wa nini?--------- Werner --- Kai ----- Raphinha ------------
Chilwell --- Tchouameni --- Neves --- James
----- Kounde ----- Marquinhos ---Skriniar-----
Huyo Marqunos wa nini?--------- Werner --- Kai ----- Raphinha ------------
Chilwell --- Tchouameni --- Neves --- James
----- Kounde ----- Marquinhos ---Skriniar-----
Katika mpira timu inatakiwa kufaidika na makosa ya mpinzani.Wewe ufatilii mpira vizuri Thiago silva aliokoa ule mpira sarr akamrudiahia yule striker wa Arsenal akafunga Mwamba hakuna goal aliyofungisha Thiago silva ebu nenda youtube kaangalie Hilo goal la nne utaona
Mwaka 2013 tulishinda 0-1 kwa goli la kujifunga la Phil JonesSikumbuki mara ya mwisho ilikuwa lini tulipata ushindi pale OT mara nyingi tunapata sare
hii sasa ndiyo fursa kwenu kuandika historiaMwaka 2013 tulishinda 0-1 kwa goli la kujifunga la Phil Jones
Aliondoka Hazard aliyekuwa ameiweka Chelsea mabegani,,Na dunia nzima ikatusikitikia sembuse rudiger aliyeumbwa na Tuchel mwenyewe? Enzi za Lampard alikuwa wakawaida sana,baada ya ujio wa TT ndo ameng'aa...kwa hiyo watapatikana tu wazuri kumzidiRudiger alikuwa ndie injini na petroli iliyofanya Chelsea ipande kiwango. Unamuona dhahiri usoni anavyoumia timu ikipoteza. Utamuona pia uwanjani anavyocheza kizalendo kabisa. Sasa anaondoka na kule nyuma yatabaki matakataka ukimuondoa Silva ambaye career yake iko ukingoni sio wa kumtegemea na wakati wowote tusiotegemea umeme unaweza kata kabisa kwa Silva.
So what next, hata tukimleta Kounde hataziba pengo la Rudiger, what ana aggressive defender.
Hivi akina Marina watamsajili nani au ndio Chalobah na Sarr ndio CB wa kutegemewe?
Utashangaa sana TT akianza kumtumia Cheek kwenye CB akishirikiana na Sarr na Chalobah
Msimu huu tukiwa away tuna rekodi nzuri sana. Leo Man Utd anakaahii sasa ndiyo fursa kwenu kuandika historia
Tulishinda 1-0 tarehe 5 May 2013
Mechi zingine 6 tulifungwa na 6 zingine droo
Rekodi yote thidi ya Nyumbu
Tumeshinda 55, droo 54 kufungwa 81
Kiukweli aisee msimu Huu mpo vizuri Sana angalau mna depth ya squadOT sisi Liverpool ni Shamba la Bibi pale tunajipigia tu
Tukishinda leo tutahitaji sare moja tu ili nafasi ya tatu mubaki munaisikia. Unasikia Kenge wewe?Natamani nyumbu washinde ila siwaamini. Cheltako anatakiwa azuiwe kwa gharama yeyote
Sawa SalminiTukishinda leo tutahitaji sare moja tu ili nafasi ya tatu mubaki munaisikia. Unasikia Kenge wewe?
Elon Musk si angenunua tuu ChelseaMr Abramovich's desire is to see a total of £2.5bn donated to charity, with a further £1bn-£1.5bn going to Chelsea in the form of investment in its stadium, academy and women's team. That would ensure a total financial commitment from Chelsea's next owners of £3.5-£4bn
Hii kiungo ya jog na kante huwa inapata shida sana kupata goli,jog back pass nyingii. hii game ni droo na tuombe mungu yumbu wasibahatike kupata goli ndio halirudi.
Safi sana
Unategemea acheze naniHii kiungo ya jog na kante huwa inapata shida sana kupata goli,jog back pass nyingii. hii game ni droo na tuombe mungu yumbu wasibahatike kupata goli ndio halirudi.
Chelsea ni ya pili EPL kwa magoli machache ya kufungwa away games baada ya cityMsimu huu tukiwa away tuna rekodi nzuri sana. Leo Man Utd anakaa