Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni kweli. Ila hakuna shabiki wa chelsea aliyenizidi akili ya mpira
Kwa hili nakukatalia, kuhusu mpira wewe nimwepesi kinoma noma halafu hujui kitu. Kuna maswali unaulizaga kule kuhusu ass anal, mpk nakushangaa. We labda kwenye pumba za kijinga ndio umetuzidi.
 
Ni kweli. Ila hakuna shabiki wa chelsea aliyenizidi akili ya mpira
Hawakuzidi nakati wenzako haipitagi miaka miwili bila ya kusherehekea ubingwa wa kombe lolote [emoji848][emoji28]

Endelea kuteseka hapo na Arse8 yako [emoji16]
 
Kwa hili nakukatalia, kuhusu mpira wewe nimwepesi kinoma noma halafu hujui kitu. Kuna maswali unaulizaga kule kuhusu ass anal, mpk nakushangaa. We labda kwenye pumba za kijinga ndio umetuzidi.
Unaziona hizi pumba kwakua wewe ni nguruwe. Sawa na huyo ryana fan
 
Twitter imeuzwa USD bilion 45 ndani ya wiki kwa Elon Musk
Chelsea ya USD bilioni 4 imechukua muda gani jamani???
 
Unai alimtaka Zaha, Uongozi ukamtaka Pepe, biashara ikaishia hapo. Hii ya Zaha kuomba kusajiliwa ni uongo hata kama kuna video elfu moja Youtube. Zaha ana manager wake na washauri hawezi kujiuza kama nyanya mbichi hivyo. Inaweza kuwa hizo video ziko edited na baadhi ya maneno yake kuondolewa ili editor atimize matakwa yake
Jamaa anatuongopea
 
Twitter imeuzwa USD bilion 45 ndani ya wiki kwa Elon Musk
Chelsea ya USD bilioni 4 imechukua muda gani jamani???
Umejichanganya mkuu Twitter imeuzwa kwa dollars huku chelsea inauzwa kwa pounds tofautisha hilo
 
Mechi ya kesho tunaweza kufungwa.

THE BLUES tukicheza na Liverpool na City tunacheza kwa kiwango cha juu sana.

Hakuna makosa ya kizembe, wachezaji wanajituma sana. Tunacheza kibingwa.

Lakini tukicheza na Man u na Aser8, tunafanya uzembe na makosa mengi sana, tunajichanganya sana, morale na kujiamini kunashuka kabisa.

Mechi ya kesho tutegemee kupata aibu tena baada ya ile ya Aser8
Mimi nadhani tunaingiaga uwanjan kwa kujiamini kwamba tunaenda kushinda moja kwa moja mtokeo yake yanakuja kinyume
 
--------- Werner --- Kai ----- Raphinha ------------

Chilwell --- Tchouameni --- Neves --- James

----- Kounde ----- Marquinhos ---Skriniar-----
Watakaosajiliwa msisitizo utakuwa nyuma, kule mbele sidhani kama wataguza
 
--------- Werner --- Kai ----- Raphinha ------------

Chilwell --- Tchouameni --- Neves --- James

----- Kounde ----- Marquinhos ---Skriniar-----

Kwahiyo hao Wote 6 mutawasajili sio? 😂😂😂
Tupo hapa Ndugu hamutasajili hata mmoja kati ya hao.
 
Mechi ya kesho tunaweza kufungwa.

THE BLUES tukicheza na Liverpool na City tunacheza kwa kiwango cha juu sana.

Hakuna makosa ya kizembe, wachezaji wanajituma sana. Tunacheza kibingwa.

Lakini tukicheza na Man u na Aser8, tunafanya uzembe na makosa mengi sana, tunajichanganya sana, morale na kujiamini kunashuka kabisa.

Mechi ya kesho tutegemee kupata aibu tena baada ya ile ya Aser8
acha utani mkuu. Nyie hamuwezi kufungwa na kile kikundi cha wahuni na mabishoo. Mimi nataka sare au wale wapuuzi washinde lakini dunia nzima inajua hilo haliwezekani. Tulia ujichotee point 3 kiulaini kabisa.
 
Mechi ya kesho tunaweza kufungwa.

THE BLUES tukicheza na Liverpool na City tunacheza kwa kiwango cha juu sana.

Hakuna makosa ya kizembe, wachezaji wanajituma sana. Tunacheza kibingwa.

Lakini tukicheza na Man u na Aser8, tunafanya uzembe na makosa mengi sana, tunajichanganya sana, morale na kujiamini kunashuka kabisa.

Mechi ya kesho tutegemee kupata aibu tena baada ya ile ya Aser8
Acha uoga mkuu
 
Acha uoga mkuu
Sio woga, Kwa Arsenal tulihope tutashinda tena nyumbani tulifanywaje?
Brentford tulitegemea poinbt tatu tulifanywaje?
Chelsea kwa sasa hivi squad imekaa kiujanja ujanja, key players hawapo, wapo wale mabitozi. No Kova, No Tony, no RJ unategemea nani kati ya hao waliobaki watakuwa serious
Chalobah?
Sarr?
Angalau kule mbele Mount anakuwaga serious, wengine wote wakamilisha tu zamu zao za kuwa uwanjani. Unawaona hata usoni hawana haraka wala harakati za kutafuta ushindi labda siku hiyo waamke vizuri
 
Sikumbuki mara ya mwisho ilikuwa lini tulipata ushindi pale OT mara nyingi tunapata sare
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom