Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,368
- 77,209
Emery yuko 7th place. Arteta yupo 4th placeKama wajinga waliomtimua unai Emery na kumchukua arterta [emoji16]
Emery yuko 7th place. Arteta yupo 4th placeKama wajinga waliomtimua unai Emery na kumchukua arterta [emoji16]
Huyu kesho atakuwa na zero shots on targetBenzema aache Sifa wakati mwengine! Ndiyo tabia gani hii ya kufuturu na Tende 3? Tena kwaweka na gilasi 1 ya maziwa ili isomeke 3 - 1.
View attachment 2200319
Wewe nyumbu wa Serengeti wana akili kukuzidi weweUnaziona hizi pumba kwakua wewe ni nguruwe
Ni kweli. Ila hakuna shabiki wa chelsea aliyenizidi akili ya mpiraWewe nyumbu wa Serengeti wana akili kukuzidi wewe
N msimu uliopita walimaliza nafasi ya ngapi?Emery yuko 7th place. Arteta yupo 4th place
Huyu kesho atakuwa na zero shots on target
Sina uhakika.N msimu uliopita walimaliza nafasi ya ngapi?
Unai alitaka aletewe zaha nyie mkamleta Pepe unategemea nn sasaSina uhakika.
Lakini unakumbuka walichukua europa? So pengine wamepitia mlango wa nyuma.
Kingine, timu inahitaji consistency ya performance kwa emery haikua guaranteed na alishindwa utilize kikosi alichonacho.
Zaha hawezi kuja Arsenal. Ninachokumbuka Unai hakusema anamtaka Zaha ila Zaha ndiye alitoka public na kusema anaitaka Arsenal.Unai alitaka aletewe zaha nyie mkamleta Pepe unategemea nn sasa
Siku hizi takataka za arse8 zimepata kiburi Cha kuja huku.
Kisheria Arsenal hawakutakiwa kuja huku kwetu, ni uhalifu wa sport au sports crime Arsenal Fan kuja kwenye uzi wa Man city, Liverpool au Chelsea. Kama wakija wanatakiwa kuja kutoa shikamoo na pongezi zingine halafu wanarudi jikoni kama house maidSiku hizi takataka za arse8 zimepata kiburi Cha kuja huku.
Unai alisema ..zipo quotation kwenye internetZaha hawezi kuja Arsenal. Ninachokumbuka Unai hakusema anamtaka Zaha ila Zaha ndiye alitoka public na kusema anaitaka Arsenal.
All in all Arsenal is happy and Emery is happy so imework out for both sides
Pia huko huko internet kuna videos za Zaha akiiomba Arsenal imsajiliUnai alisema ..zipo quotation kwenye internet