Sio woga, Kwa Arsenal tulihope tutashinda tena nyumbani tulifanywaje?
Brentford tulitegemea poinbt tatu tulifanywaje?
Chelsea kwa sasa hivi squad imekaa kiujanja ujanja, key players hawapo, wapo wale mabitozi. No Kova, No Tony, no RJ unategemea nani kati ya hao waliobaki watakuwa serious
Chalobah?
Sarr?
Angalau kule mbele Mount anakuwaga serious, wengine wote wakamilisha tu zamu zao za kuwa uwanjani. Unawaona hata usoni hawana haraka wala harakati za kutafuta ushindi labda siku hiyo waamke vizuri