Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dah kushindwa kushinda kwa man u tuna tatizo serious.

The only positive ni from Ngolo Kante.
 
Kocha anasema eti anatengeneza timu ya kuogopwa dunia nzima kisha anasuluhu na nyumbu
 
Aliondoka Hazard aliyekuwa ameiweka Chelsea mabegani,,Na dunia nzima ikatusikitikia sembuse rudiger aliyeumbwa na Tuchel mwenyewe? Enzi za Lampard alikuwa wakawaida sana,baada ya ujio wa TT ndo ameng'aa...kwa hiyo watapatikana tu wazuri kumzidi
Enzi za Lampard Rudiger ndie alikuwa anategemewa kusuka ukuta kama senior. Ukweli ni kuwa kama akiondoka mchezaji jua atakuja mchezaji. Ndio mpira ulivyo.

Alikuwepo Lebouf,akiwa na akina Babayaro, na akina Le Blanc. Wakapita mpaka tukampata Terry na wenzake na sasa tuna Silvana akina Rudiger.

Baada yao watakuja wengine. Dunia duara!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom