Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata tucheze vizuri namna gani tutabaki kwenye 3
Hata wao wajitahidi namna gani wataishia kwenye 4. So furaha yao ya kutufunga ni kelele za mlango tu
Sawa
IMG-20220421-WA0060.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Kufungwa juzi inaonyesha jinsi gani THE BLUES tunakikosi dhaifu ambacho bado hakina ubora/nguvu/ushindani wa kubeba kombe EPL mbele ya Liverpool na CITY.

Kufungwa juzi inaonyesha jinsi gani tuna wachezaji wenye viwango duni ambao hawafai hata kuwa SUB wala rotation.

Tunahitaji kuboresha kikosi chetu haswa, sajili za kimkakati na zenye ubora la sivyo tusitegemee kubeba EPL kwa kutegemea BAHATI.

Yule Malang SARR anacheza kama linyani linaruka ruka kwenye miti huko porini.
Kwenye mpira mchezaji mmoja au wawili tu wanaweza kuharibu timu nzima isicheze vizuri. Utakuta hata makosa ya akina Azpilicueta ilisababishwa na timu kucheza vibaya. Christansen mimi nilishamuondoa Chelsea . Ningekuwa mimi TT nisingempa acheze hadi aondoke
Sarr consistency hana na pia sioni tallent yeyote kwake isipokuwa kutumia miguvu tu bila akili
Mbele walicheza kama kawaida yao, defence yetu ingetubeba kama siku zote tungetoka na 2-0- au 2-1
Mimi kwa mechi hiyo ninawarushia kidole Christansen na Malang Sarr kwa kucheza hovyo na kuifanya timu nzima icheze kama vile walikuwa pungufu
 
Juzi wakati napanga kikosi changu kuna mdau hapa alisema Thiago apumzishwe

Nikamajibu View attachment 2196538
Yaani kule nyuma ni bora ijulikane Silva yuko peke yake kuliko Sarr na Christansen
Wee angalia position ya Sarr wala hakujali kuwa ule mpira ungemzidi uwezo Christanse yeye afanye covering, kabaki mbele kama forward
1650636289872.png

Sarr sijui hapo alikuwa anacheza sarakasi
1650636118592.png

Shaqa kaachiwa muda na nafasi afanye analotaka huku alonos akiwa out of position, Cheek anashika kiuno, arsenal wamekaribishwa kujaa golini wakati wa shaka anapasi walikuwa wanne tu dhidi ya 7 wa Chelsea ila Shaqa alipoachiwa akae na mpira muda mrefu wachezaji wa Arsenal wakaongezeka ghafla
1650636658028.png


Silva aliokoa vizuri huo mpira wa goli la 3 lakini Sarr akamrudishia pasi Nketiah, Mshenzi sana Sarr,papara bila kutumia akili
1650636940052.png

Goli la nne makosa ya Azpilicueta, Saka wala hakuwa na mpira ile rafu haikuitakiwa kabisa
1650637143532.png
 
The final price for the sale of Chelsea is expected to be £3BN. In comparison the valuation of Tottenham and Arsenal combined is lesser than £2BN. (Evening Standard)

Kwenye hayo maandishi Mekundu hupo serious kabisa
 
Barcelona nasikia wanaweza kubadili uamuzi wa kumnunua Christansen baada ya ule ujinga wa jana
Kumbuka pia kuwa Christansen alifanyaga pia ujinga kama huo Chelsea ilipocheza na Barcelona na kumruhus Messi kufunga goli lake la kwanza dhidi ya Chelsea 20 Feb 2018
Christansen anasumbuliwa na misjudgment kwenye kufanya maamuzi tangu alipokuwa na miaka 21 na sasa ana miaka 26
 
Kufungwa juzi inaonyesha jinsi gani THE BLUES tunakikosi dhaifu ambacho bado hakina ubora/nguvu/ushindani wa kubeba kombe EPL mbele ya Liverpool na CITY.

Dah! Huwezi kuamini kama sio wewe uliyekuwa ukitangaza Munabeba Makombe yote ya EPL na UCL.
Huwezi kuamini kama sio wewe uliyekuwa ukisema hakuna Timu inayotamani kucheza na Chelsea.
 
Rudiger n Kovacic hawatokuwepo j2 dhid ya west ham.

Kiungo chetu bila kovacic huwa hakuna jipya, ni vile tu kovacic haimbwi ila ni mchezaj muhim kwenye mid yetu.

Kesho tunacheza bila rudi so tutegemee kuona Sarr/Christensen wakiwa na Thiago au wakiwa azp chriatensen n thiago
 
Rudiger n Kovacic hawatokuwepo kesho dhid ya west ham.

Kiungo chetu bila kovacic huwa hakuna jipya, ni vile tu kovacic haimbwi ila ni mchezaj muhim kwenye mid yetu.

Kesho tunacheza bila rudi so tutegemee kuona Sarr/Christensen wakiwa na Thiago au wakiwa azp chriatensen n thiago
Kesho tunacheza saa ngapi?
 
Rudiger n Kovacic hawatokuwepo kesho dhid ya west ham.

Kiungo chetu bila kovacic huwa hakuna jipya, ni vile tu kovacic haimbwi ila ni mchezaj muhim kwenye mid yetu.

Kesho tunacheza bila rudi so tutegemee kuona Sarr/Christensen wakiwa na Thiago au wakiwa azp chriatensen n thiago
Pia Christansen hatakuwepo, ana matatizo binafsi bila ufafanuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom