DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
SawaHata tucheze vizuri namna gani tutabaki kwenye 3
Hata wao wajitahidi namna gani wataishia kwenye 4. So furaha yao ya kutufunga ni kelele za mlango tu
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app


Kufungwa juzi inaonyesha jinsi gani THE BLUES tunakikosi dhaifu ambacho bado hakina ubora/nguvu/ushindani wa kubeba kombe EPL mbele ya Liverpool na CITY.

