Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jamaa ni mzuri sema shida TT anampanga kwenye number ambayo sio ya kuonesha ubora wake namaanisha no 6 RLC ili umfaidi acheze no 10 hapa utamuona kwa ubora mkubwa Sana hata leo ukiangalia Jorginho alistick kwenye 6 ila jamaa anapanda mbele hata alivyoingia Kante ilikuwa hivyo hivyo Jamaa akienda mbele anasababisha madhara Sana na ndio maana leo kaperform vizuri.
Yaani hadi CB kachezeshwa
 
1650234028441.png
 
Thomas Tuchel on Timo Werner: "Now he has made it difficult to leave him out. I’m impressed, he was very, very good in the last two games. These were two games when he was much better than in any other game and he showed what he is capable of."
1650234742851.png
 
TT amwambia Lukaku acheze kama Werner ili apate nafasi ya kuanza tena.
Kumbe ni hivyo
Benchi mpaka ajiongeze mwenyewe

“[Lukaku] had a huge chance against Real Madrid and things can go so fast. Nobody knows what this goal would have done for us if he had taken his chance with the late header in the first leg.

“It is exactly what he needs to do. Wait, be patient, work hard and put the team first, be ready to help the team, because as a striker you can help within seconds. Especially for strikers, things can be turned around in minutes, in moments. Whole careers can be upside down and in any direction but always as a striker you can have a chance to put things into your favour, as a substitute or if you have the chance to perform from the beginning.”

"What Timo has done is exactly what [Lukaku] needs to do," Tuchel stated. "Wait, be patient, work hard and put the team first, be ready to help the team, because as a striker you can help within seconds.

“Now [Werner] has made it difficult to leave him out. I’m impressed, he was very, very good in the last two games. These were two games when he was much better than in any other game and he showed what he is capable of. Everybody thinks we as managers do the line-up, and of course we do.

“But in the end the players take care that you don’t leave them out, they do it in training or in games, and of course in games it’s the opportunity for everybody."
 
Naomba nitoe ya moyoni, kwa style anayocheza Cheek ndie kwa sasa mchezaji pekee anayeweza kupeleka mipira kwa wafungaji kwa sababu ana uwezo mkubwa wa kufanya dribling together with Kovacic
Loftus cheek anakipaji sema tu injury aliyopata wakat ule kwa babi sarri ndio iliyomkwamisha,
Hata Tuchel hilo ameliona kama unafatilia interview za tuchel kuanzia game ya soton,madrid na jana ni kama loftus cheek anaficha uwezo wake kwenye mechi + kama hajiamini kama anavyofanya akiwa mazoezin
 
Loftus cheek anakipaji sema tu injury aliyopata wakat ule kwa babi sarri ndio iliyomkwamisha,
Hata Tuchel hilo ameliona kama unafatilia interview za tuchel kuanzia game ya soton,madrid na jana ni kama loftus cheek anaficha uwezo wake kwenye mechi + kama hajiamini kama anavyofanya akiwa mazoezin
Pia kitendo cha TT Cha kumuweka RLC nafasi ya no 6 kinapunguza ubora wake jamaa ni mzuri Sana akiwa anacheza no 10 au nafasi yoyote ya mbele hapo ndio anakuwa ubora kumchezesha no 6 ni kumpotezea muda wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom