Liver alikupiga 11 mkuuChelsea amekalia ukuni lini?
Magoal yalifungwa dakika ya ngapi?
Liver alikupiga 11 mkuuChelsea amekalia ukuni lini?
Magoal yalifungwa dakika ya ngapi?
Rudisha hio carabao cup ,umepewa bure kabisa ,harafu unasema umeshinda [emoji28][emoji28][emoji28]Kashakaa 5 bila
Wewe ushakalia ukini
Chelsea kashakalia ukuni
Sasa nani atabonga mbele ya Liverpool?
Mkuu usituharibie furaha. Huu uchafu peleka huko kwenye tread yenu tuache na furaha zetu za kwenda kuchukua FA
magoal alifunga nani na nani na dakika ya ngapi na ngapi?Liver alikupiga 11 mkuu
Utajua wewe sisi liver tunachojua ulikula 11, sasa timu inafungwa 11 nayo timu hiyomagoal alifunga nani na nani na dakika ya ngapi na ngapi?
Liverpool isipobebwa Tena naona akichapika mchana kweupe kabisa ....kwanza hata carabao mliwawin kila kitu .....!
Alifunga Kepa dakika ya 200.Chelsea amekalia ukuni lini?
Magoal yalifungwa dakika ya ngapi?
Vipi kichapo cha juzi nacho tulibebwa? Maumivu yameisha au bado mzee?Rudisha hio carabao cup ,umepewa bure kabisa ,harafu unasema umeshinda [emoji28][emoji28][emoji28]
Nainayo fungwa 10 unaizungumziaje nitimu nayo au ni takataka, poor! Poor! Poor!Utajua wewe sisi liver tunachojua ulikula 11, sasa timu inafungwa 11 nayo timu hiyo
Mbona Mnalazimisha furaha...sasa mtu shabiki wa soka hiyo nayo ndo point ya kujivunia kweli.[emoji1787].. Ile game tunajua iliisha 0-0 DKK 120 ikaamuliwa itumiwe njia ya penalties ili kumpata mshindiLiver alikupiga 11 mkuu
Na mshindi akapatikana? Kweli tunalazimisha furaha, nyie msiolazimisha furaha mpo wapi?Mbona Mnalazimisha furaha...sasa mtu shabiki wa soka hiyo nayo ndo point ya kujivunia kweli.[emoji1787].. Ile game tunajua iliisha 0-0 DKK 120 ikaamuliwa itumiwe njia ya penalties ili kumpata mshindi
Kwahiyo baada ya kukupelekea moto umekimbilia kwa Cheltako. Moto upo pale paleRudisha hio carabao cup ,umepewa bure kabisa ,harafu unasema umeshinda [emoji28][emoji28][emoji28]
Liverpool isipobebwa Tena naona akichapika mchana kweupe kabisa ....kwanza hata carabao mliwawin kila kitu .....!
Sasa goli 11 za wapi hyo nayo ndo point ya kuongelea....mechi yenyewe mlibebwa[emoji1787]Na mshindi akapatikana? Kweli tunalazimisha furaha, nyie msiolazimisha furaha mpo wapi?
We endelea kukariri na hizo historia zako.....nyie msimu uliopita ndo mlikuwa mnapaza sauti hata tukiwa wabovu vipi anfield hatoki mtu ...mkaishia kuliwa na Brighton n burnley...na kwenye mikeka mnachanaga Sana mikeka nyie[emoji1787][emoji1787]Uefa super cup
Chelsea vs Liverpool (Liverpool kashinda kwa penalt kachukua kombe)
Carabao cup final
Chelsea vs Liverpool (Liverpool kashinda kwa penalt kachukua kombe)
Bado Chelsea wanapeana moyo kuwa wanaenda kubeba FA cup mbele ya Liverpool wakati recently katika mechi za kuchukua vikombe walizokutana na Liverpool zote kapigwa.
Cheek hamna mtu mule.Pia kitendo cha TT Cha kumuweka RLC nafasi ya no 6 kinapunguza ubora wake jamaa ni mzuri Sana akiwa anacheza no 10 au nafasi yoyote ya mbele hapo ndio anakuwa ubora kumchezesha no 6 ni kumpotezea muda wake
Na yy pia aliwahi kucheza mpira so kama ikifanikiwa itakuwa Jambo zuri coz atakuwa ana jicho la kuona vipaji km Michael emenalo ...swali je hao 2 bidders ndo kundi la kina Nani na nani? Je ktk hao wapo Wale wanaopigiwa chapuo Kwa asilimia kubwa n mashabiki wa chelsea kuchukua timu ( Todd boehly consortium)? ..ngoja tuoneTwo of the shortlisted bidders for #Chelsea are believed to be closely monitoring Paul Mitchell’s situation at AS Monaco and could contact him regarding the technical director’s role if they take control at Stamford Bridge.
[via @David_Ornstein]
Hii itatusaidia endapo tukifanikiwa kumpata huyu, tutaacha kufanya sajil za kupanic na ambazo haziendan na falsafa ya kocha
Baada ya kubebwa ndipo walipopata fursa ya kubahatisha penalti halafu ndizo wanaziita magoliMbona Mnalazimisha furaha...sasa mtu shabiki wa soka hiyo nayo ndo point ya kujivunia kweli.[emoji1787].. Ile game tunajua iliisha 0-0 DKK 120 ikaamuliwa itumiwe njia ya penalties ili kumpata mshindi