Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Picsart_22-04-17_21-17-06-932.jpg
Picsart_22-04-17_21-16-33-089.jpg
 
Naomba nitoe ya moyoni, kwa style anayocheza Cheek ndie kwa sasa mchezaji pekee anayeweza kupeleka mipira kwa wafungaji kwa sababu ana uwezo mkubwa wa kufanya dribling together with Kovacic
Hao wakikutana na Keita, Fabinho na Thiago wanakuwa kama paka walionyeshewa.
 
TT ametufikisha kwenye nusu finali 6 tangu aichukue timu miezi 15 iliyopita
Chelsea imecheza mechi ya 54 katika mashindano yote
Tutakosa mechi za UCL SF na Final tu kwa vile tumetolewa
Pia haya ni mafanikio makubwa sana ya kuwepo kwenye mashindano yote na kufanya vizuri
Watakaoinunua hii klabu watakuwa wamepata kitu chema kabisa
 
Roy Keane: "They (Chelsea) just upped their game and Palace couldn’t deal with it. They put them under huge pressure. The quality, the speed of their passing, the bench. Quality finish, particularly the first goal. Palace showed plenty of fighting spirit but lacked that quality."
 
Chris kacheza vzuri sana leo na amefanya tucheze high line kwasababu ya speed aliokua nayo
Kwasasa Thiago apumzike kwanza
 
Cheek anacheza vizuri sijui kwa nini hakubaliki
Jamaa ni mzuri sema shida TT anampanga kwenye number ambayo sio ya kuonesha ubora wake namaanisha no 6 RLC ili umfaidi acheze no 10 hapa utamuona kwa ubora mkubwa Sana hata leo ukiangalia Jorginho alistick kwenye 6 ila jamaa anapanda mbele hata alivyoingia Kante ilikuwa hivyo hivyo Jamaa akienda mbele anasababisha madhara Sana na ndio maana leo kaperform vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom