Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kinyoonge sana wakuu mambo vip? Ebnana dah kutolewa Jana kumeniuma kinoma sana Yani. TT apambane tuibuke hata na FA basi tusitoke Kapa msimu huu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kuchukua fa ni either ukutane na Liverpool au man city [emoji23][emoji23][emoji23]mambo sio rahisi kabisa ....
 
Kocha kuwa manager kuna faida na hasara na pia.

Mifano ya hasara tunaiona Man u na Asernal na faida tunaiona Man city na Liverpool.

Kocha smart kama Pep & Klop kuwa Managers ni vizuri sana, wazee wa mbinu kali wana macho ya kuona wachezaji wenye vipaji vikubwa vipaji, kuwaingiza kwenye mifumo yao na kuwasimamia na kuwajenga wakawa wachezaji WC mbeleni.

Hatujajua kama tajiri mpya ataendeleza utaratibu wa Roman kocha kuwa head coach au wataleta utaratibu wa umanager tusubirie.
Aah sasa si WAzi hao Makocha WA utd( post mourinho) na arsenal WA kawaida Tu[emoji2] kulinganisha na pep klop Tuchel
 

Chelsea FC sale: US investor Clearlake to own 50% stake if Boehly wins auction​

 
1649937630305.png
 
Inabidi wamiliki wapya wampe mamlaka Tuchel km ya umanager flan kwamba akitaka wachezaji flan haohao ndo aletewe na sio kuletewa km hv n marina Yule mama n negotiator mzuri Ila Labda knowledge ya football Hana kivile.....Conte naye alimtakaga Alex Sandro cjui na viungo gani wengine akaletewa Emerson palmieri na kina Drinkwater n bakayoko
Marina abaki tu kuwa kama negotiator ila kwenye scouting tutafute mtu mwingine,

Wampe tuchel maamuzi ya yupi anamtaka na na nani hamtaki, wakimpa wachezaj anaowataka naamini atakuwa na mafanikio kuliko hata josee kwa pale chelsea,
 
Kocha kuwa manager kuna faida na hasara pia.

Mifano ya hasara tunaiona Man u na Asernal na faida tunaiona Man city na Liverpool.

Kocha smart kama Pep & Klop kuwa Managers ni vizuri sana, wazee wa mbinu kali wana macho ya kuona wachezaji wenye vipaji vikubwa vipaji, kuwaingiza kwenye mifumo yao na kuwasimamia na kuwajenga wakawa wachezaji WC mbeleni.

Hatujajua kama tajiri mpya ataendeleza utaratibu wa Roman kocha kuwa head coach au wataleta utaratibu wa umanager tusubirie.
Man utd shida sio kocha, shida inaanzia juu mpk kwa wachezaj
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom