Kamugy T
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,110
- 1,226
Villareal alimfunga mwanitesa utd banaVillarreal alibeba ueropa kwako unajisahaulisha![]()
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Villareal alimfunga mwanitesa utd banaVillarreal alibeba ueropa kwako unajisahaulisha![]()
Huna macho au ndo umeamua kubana tako kwa maksudi??Agent Perez alishafanya yake hapo kabla. Hakuna handball hapo
Kwa wanajua mpira bayern hakuwa kikwazo kwenu. Chelsea ndiyo ilikuwa kikwazo. Wala husibisheKwa upande wetu liverpool timu iliyokuwa kikwazo kwetu nadhani ni bayern peke yake
Jana werner amecheza vizuri kuliko Pulisic tuluyekuwa tunamtegemea.WERNER asiuzwe bali wasajiliwe washambuliaji wengine wenye uwezo wa kufunga zaidi ili kosa kosa za WERNER sizilaumiwe sana.
WERNER anafanya kazi kubwa sana eneo la kushambulia zaidi ya hizo kosa kosa. Pressing, nguvu & kasi yake na movement zake ni balaa.
2016 alikupiga ww akachukua europa
Shida hakina consistence yakucheza game 5 katika performanc ile ileJana werner amecheza vizuri kuliko Pulisic tuluyekuwa tunamtegemea.
Kile kikosi cha jana kianze kila match.
Hata akikosa chance timu inakuwa na movements za kueleweka kule mbele.Shida hakina consistence yakucheza game 5 katika performanc ile ile
Sisi matokeo yoyote tutayapokeaVillarreal ndio aina ya team zinazowasumbua kwa aina ya uchezaji wao so hiyo game itakuwa ngumu Sana kwenu
Siyo Sevilla kweli huyo2016 alikupiga ww akachukua europa
Mashabiki wa liverpool na yule dogo wa mancity wamefurahi sana Chelsea kutolewa kwani ndiyo ilikuwa timu ya kikwazo kwao.
Nawatakia kila la kheri Liverpool na Man city fans ubingwa mwema. Mshindwe wenyewe.
Wazo zuri Sana Kwa shabiki wa Chelsea.Ili tuweze kuclose gap na Liverpool na City kwenye kupambania ubingwa EPL msimu ujao, aisee tunatakiwa tusajili wachezaji wenye uwezo mkubwa na kupanua kikosi chetu/kiwe chenye tija
Usajili:-
DEFENDER'S:- Kiukweli THIAGO apongezwe ametusaidia sana tangu ametua the BLUES ila huyu mwamba 37 years old.
THIAGO anahitaji kupumzika, kucheza mechi chache na hata akipata injury sasa hivi mbadala wake ni changamoto.
Tunatakiwa tusajili CB mwingine kijana mwenye uwezo mkubwa wa kumpokea kijiti cha mzee SILVA
Dogo CHRISTENSEN anadeka sana, kama ameamua kuondoka ni kusajili beki mwingine wa kusaidiana na CHALOBAH, Chalobah sio wa kutegemewa mistake kibao bado anajifunza, Rotation ndio halali yake.
RUDGER kama atabaki anahitaji mbadala wake, jamaa anacheza mechi nyingi sana bila kupumzika, akipata injury ya muda mrefu tayari tunaingia matatizoni.
Mbadala wa Chilwell na James unahitajika, tumeondoka kwenye mbio za ubingwa EPL baada ya hawa jamaa kupata injuries.
Alonso sio wa kumtegemea akupe kiwango bora kila mechi, Azipi umri umemtupa mkono.
---------------------------------------------------------------------
MIDFIELDERS:- Tunahitaji kiungo mkabaji haswa Joghnho anatusanifu, Kante ameanza kuchoka mbadala wake ni muhimu sana, Saul arudi tuu Spain.
Viungo washambuliaji nadhani tutakuwa nao wazuri wakirudi kwenye mikopo yao kuna yule dogo Conor anauwasha moto palace atasaidiana na MOUNT
---------------------------------------------------------------------
FOWARDS:- Hapa Rais Uhuru Kenyata anasemaga PESA NANE/Panachanganya
Ukweli nipo tayari kumuona PULISIC, LUKAKU wakiondoka. Pulisic sio mchezaji wa mbio za EPL.
Tunahitaji washambuliaji wenye uwezo wa kufunga magoli mfululizo match after match.
Kubeba kombe la EPL aisee wafungaji wanatakiwa wawe wakatili mbele ya goli wafunge magoli kweli kweli sio kubahatisha.
Itapendeza tukisajili striker mkali atupe magoli 20+ kwa msimu, winga moja ya kutupa magoli 10+ kwa msimu
NB;- Sio lazima tufanye sajili mpya kama kuna wachezaji wa mkopo wazuri warudi ma academy wazuri wapande timu ya wakubwa.
Msimu ujao tuwe na kikosi kipana chenye ubunifu mkubwa + energy kubwa + uwezo/Uzoefumkubwa.
Bila kufanya hivyo CITY na Liverpool wataendelea kutuburuza EPL.

Chelsea Jana kaupiga mwingi ila kama kawaida CL ni uchawi![]()
Tutatufe 1CB huku tukimuongezea Rudiger mkataba, then rudisha Levi ColwillIli tuweze kuclose gap na Liverpool na City kwenye kupambania ubingwa EPL msimu ujao, aisee tunatakiwa tusajili wachezaji wenye uwezo mkubwa na kupanua kikosi chetu/kiwe chenye tija
Usajili:-
DEFENDER'S:- Kiukweli THIAGO apongezwe ametusaidia sana tangu ametua the BLUES ila huyu mwamba 37 years old.
THIAGO anahitaji kupumzika, kucheza mechi chache na hata akipata injury sasa hivi mbadala wake ni changamoto.
Tunatakiwa tusajili CB mwingine kijana mwenye uwezo mkubwa wa kumpokea kijiti cha mzee SILVA
Dogo CHRISTENSEN anadeka sana, kama ameamua kuondoka ni kusajili beki mwingine wa kusaidiana na CHALOBAH, Chalobah sio wa kutegemewa mistake kibao bado anajifunza, Rotation ndio halali yake.
RUDGER kama atabaki anahitaji mbadala wake, jamaa anacheza mechi nyingi sana bila kupumzika, akipata injury ya muda mrefu tayari tunaingia matatizoni.
Mbadala wa Chilwell na James unahitajika, tumeondoka kwenye mbio za ubingwa EPL baada ya hawa jamaa kupata injuries.
Alonso sio wa kumtegemea akupe kiwango bora kila mechi, Azipi umri umemtupa mkono.
---------------------------------------------------------------------
MIDFIELDERS:- Tunahitaji kiungo mkabaji haswa, Joghnho anatusanifu, Kante ameanza kuchoka mbadala wake ni muhimu sana, Saul arudi tuu Spain.
Viungo washambuliaji nadhani tutakuwa nao wazuri wakirudi kwenye mikopo yao kuna yule dogo Conor anauwasha moto palace atasaidiana na MOUNT
---------------------------------------------------------------------
FOWARDS:- Hapa Rais Uhuru Kenyata anasemaga PESA NANE/Panachanganya
Ukweli nipo tayari kumuona PULISIC, LUKAKU wakiondoka. Pulisic sio mchezaji wa mbio za EPL.
Tunahitaji washambuliaji wenye uwezo wa kufunga magoli mfululizo match after match.
Kubeba kombe la EPL aisee wafungaji wanatakiwa wawe wakatili mbele ya goli wafunge magoli kweli kweli sio kubahatisha.
Itapendeza tukisajili striker mkali atupe magoli 20+ kwa msimu, winga moja ya kutupa magoli 10+ kwa msimu
NB;- Sio lazima tufanye sajili mpya kama kuna wachezaji wa mkopo wazuri warudi ma academy wazuri wapande timu ya wakubwa.
Msimu ujao tuwe na kikosi kipana chenye ubunifu mkubwa + energy kubwa + uwezo/Uzoefu mkubwa.
Bila kufanya hivyo CITY na Liverpool wataendelea kutuburuza EPL.
Sio lazima kila wakati uoneshe ujinga wakoHuna macho au ndo umeamua kubana tako kwa maksudi??
Hiyo NBC mkuu kila kitu kinaonekana kwa angle yoyote ile utakayotaka, hakuna goli hapo.
Wangepaki basi kijanja.mshambuliaji mmoja mbele viungo 5.wasingetoboa RmThe best way to defend is to attack. Tukubali tu kuna muda tulisinzia tukaadhibiwa. Upaki basi Bernabeu ya Vini na Benzema lazima ingepatikana Penalty, freekick za kutosha na tungeadhibiwa vibaya.
Well done my team. Well done Tuchel huyu sasa ndio kocha ambae anatakiwa na Chelsea
Ki vipi?? Bayern wanetokaAcha utoto


njia nyeupe ubingwa liveepoolHiyo staili ya kupiga mpira alifunga goli WC 2018, walikuwa kwenye mtoano wakasonga mbeleAiseeh yule Modrick anazeeka na utamu wake, ile outer ilivyopigwa huwezi amini kama ingezaa goli.
Narudia tena MODRICK ni fundi bwana.
Camavinga sio DM. Weka rekodi sawa.Huyu dogo ni bonge la DM U23 ndani ya hii dunia akifuatiwa na Camavinga. Niliwahi kusema wakati huu msimu unaanza kwanini tusimuuze Kante then hela itakayopatikana tuongezee kidogo tumchukue huyu dogo. Kipindi hicho PSG walionyesha intereset kubwa sana kwa Kante
Ni potential kubwa sana Tchoumen