Villarreal ndio aina ya team zinazowasumbua kwa aina ya uchezaji wao so hiyo game itakuwa ngumu Sana kwenuKabisa mkuu, Villarreal niliona mechi zake mpaka napata uoga fulani hivi![]()
We unazani Villarreal ni team nyepesi ? Villarreal ndio aina za team zinazowasumbua Liverpool wapo very combat na wazuri kwenye counter attack hata hiyo game ya Man city dhidi ya A.Madrid bado ni game ngumu Sana hiv unazani kwanini crystal palace anamsumbua Sana City uchezaji wa crystal palace hauna tofauti na A.MadridMashabiki wa liverpool na yule dogo wa mancity wamefurahi sana Chelsea kutolewa kwani ndiyo ilikuwa timu ya kikwazo kwao.
Nawatakia kila la kheri Liverpool na Man city fans ubingwa mwema. Mshindwe wenyewe.
Acha utotoKwa upande wetu liverpool timu iliyokuwa kikwazo kwetu nadhani ni bayern peke yake
Binafsi sijaona goal la 1 na la 3 maana hiyo app niliyoangalia mpira ilikuwa unazingua Sana naomba utupostie basi
Tulikiwa na chance ya kumsajil Tchoumen ila kwa akili ya Marina akatuletea Saul, na sasa kumpata tchoumen ni kazi maana tim kubwa nying zinamtakaMwakani tunashughulika na mbele lazima tumuweke mfungaji mwenye akili, hii kuwategemea Pulisic hovyo sana. Katikati tumuweka mrithi wa Kante. Kante kaisha, mkataba utakaofuata ni wa mwaka mmoja akitaka
Ile front 3 ndio iliotupa ucl, kwa sababu wanapress kuanzia juu + paceKile kikosi kilichoanza jana ndio kinatakiwa kuanza match za sasa hivi.
Goals tunapata mbona.
Mlipuko wa Covid ukitoke,au vita ya 3 ya dunia nani bingwa mashindano ya kaahirishwa nani bingwa wa dunia?Sasa hivi wewe si bingwa wa chochote kwasababu hutetei Kombe lolote manake najua munaweza kusema nyinyi ni Mabingwa wa Dunia wakati ili uweze kutetea ubingwa wa Dunia ni lazima ushinde CL.
Umetolewa CL manake umeshatolewa na kwenye Ubingwa wa Dunia.
Tumekuja kulikumbuka hilo jua likiwa limezama.Ile front 3 ndio iliotupa ucl, kwa sababu wanapress kuanzia juu + pace
Individual mistake tumezifanya katika wakat mbaya
The best way to defend is to attack. Tukubali tu kuna muda tulisinzia tukaadhibiwa. Upaki basi Bernabeu ya Vini na Benzema lazima ingepatikana Penalty, freekick za kutosha na tungeadhibiwa vibaya.Chelsea leo tumepambana sana sikutegemea kama tungeweza kupata hizo goli tatu ila nilitamani sana baada zile goli TT angekuwa na mbinu kama za mourinho au Diego simeoni kwa kupaki bus dk 10 zilizobaki nafikiri now ingekuwa ni kicheko tu
UCL tulipata kwa hisani ya mabeki, magoli tuliyofunga yalikuwa ni machache sana. We had a concrete defence last seasonIle front 3 ndio iliotupa ucl, kwa sababu wanapress kuanzia juu + pace
Individual mistake tumezifanya katika wakat mbaya
Aiseeee
Huyu mwamba akili zimrudie tu awe anafanya hivi kila mechi
Kusumbua n muhimu, chelsea hatuna jambo jepesi.Chelsea mlichofanya ni kusumbua mahakama tu.
Huyu dogo ni bonge la DM U23 ndani ya hii dunia akifuatiwa na Camavinga. Niliwahi kusema wakati huu msimu unaanza kwanini tusimuuze Kante then hela itakayopatikana tuongezee kidogo tumchukue huyu dogo. Kipindi hicho PSG walionyesha intereset kubwa sana kwa KanteTulikiwa na chance ya kumsajil Tchoumen ila kwa akili ya Marina akatuletea Saul, na sasa kumpata tchoumen ni kazi maana tim kubwa nying zinamtaka
Agent Perez alishafanya yake hapo kabla. Hakuna handball hapo
Villarreal alibeba ueropa kwako unajisahaulishaKwa upande wetu liverpool timu iliyokuwa kikwazo kwetu nadhani ni bayern peke yake
