Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Exactly
IMG_20220413_074405.jpg
 
Chelsea leo tumepambana sana sikutegemea kama tungeweza kupata hizo goli tatu ila nilitamani sana baada zile goli TT angekuwa na mbinu kama za mourinho au Diego simeoni kwa kupaki bus dk 10 zilizobaki nafikiri now ingekuwa ni kicheko tu
Yaap hapo ndo mlipozingua. Baada ya kupata zile goli 3 mngerudi nyuma na kushambulia kwa kushtukiza nyie mkajisahau mkajua mnacheza na southampton kumbe mnacheza na madrid.
 
Mashabiki wa liverpool na yule dogo wa mancity wamefurahi sana Chelsea kutolewa kwani ndiyo ilikuwa timu ya kikwazo kwao.


Nawatakia kila la kheri Liverpool na Man city fans ubingwa mwema. Mshindwe wenyewe.
 
Yaap hapo ndo mlipozingua. Baada ya kupata zile goli 3 mngerudi nyuma na kushambulia kwa kushtukiza nyie mkajisahau mkajua mnacheza na southampton kumbe mnacheza na madrid.
Waliendekeza dharau.

Eti hadi Rudiger akawa anapanda mbele kabisa na kutaka kupiga chenga, hapo ndipo nilipojua kuwa jamaa wamedharau na kuhisi kwamba wameshinda.

Kwenye hii miaka ya 2010-2022, sikumbuki ni kini Madrid aliingua extra time kisha akatoka, zote alikuwa anawapindua tu kawaukuzeni A.Madrid, Munich watawasimulia.
 
Goli 3 Madrid alikuwa anatoka mapema ....

Agg ingekuwa 4-3....

Baada ya Rodrigo kufunga ndio maana wakaenda extra time ....benzema akawamaliza
Kuna kipindi chelsea alikuwa na aggregate ya 4, kabla Rodrigo hajawaweka kamba.

Ila ile OUTER ya Modrick huku Africa huipati, kuna watu wameumbiwa kucheza mpira bwana.
 
Mashabiki wa liverpool na yule dogo wa mancity wamefurahi sana Chelsea kutolewa kwani ndiyo ilikuwa timu ya kikwazo kwao.


Nawatakia kila la kheri Liverpool na Man city fans ubingwa mwema. Mshindwe wenyewe.
Man City akiendekeza ujinga atakaa kule kwa Simeone, A.Madrid sio team ya kubeza kabeza kwenye UEFA tena ukizingatia wapo nyuma kwa bao moja.
 
Mashabiki wa liverpool na yule dogo wa mancity wamefurahi sana Chelsea kutolewa kwani ndiyo ilikuwa timu ya kikwazo kwao.


Nawatakia kila la kheri Liverpool na Man city fans ubingwa mwema. Mshindwe wenyewe.
Kwa upande wetu liverpool timu iliyokuwa kikwazo kwetu nadhani ni bayern peke yake
 
Kukumbushana Muhimu leo ni Wednesday lakini Chelsea are out of Champions league lembu Hziyech22 Cash Money Forever OllaChuga Oc 42774277 huwa mna makelele sana wakati timu hamna imejaa umama umama mnaongoza 3 then mnatolewa?bye bye
Mimi na wewe Nani hana team? Sisi sio kama nyinyi mnatolewaga na goal 10 UEFA mpira sometimes unakuwa na bahati na bahati ilikuwa upande wa Madrid hiv nikuulize lile goal la Alonso kwanini limekataliwa wakati Benfica walifunga goal kama Hili kwenye makundi lakini goal likakubaliwa angalia pia Timo werner alishikwa na kuangushwa chini hawakuenda hata kuangalia kwenye VAR
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom