lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Na haitabadilikaMimi sipambani...
Nafasi yangu haijabadilika.
Chelsea imeteleza tu kwa Brentford
Hao wengine nyuma yetu no consistence hadi mei watajirudisha nyuma wenyewe kwa wenyewe
Na haitabadilikaMimi sipambani...
Nafasi yangu haijabadilika.





Werner wa nini hapo------- WERNER - KAI - ZIYECH ---------
ALONSO - JOG - KOVACIC - JAMES
--RUDIGER - THIAGO - CHALOBAH --
------------------- MENDY -------------------------
Mungu saidia leo tuvune point 3 muhimu.
Werner umtoe hapo pia na mendy badala yake acheze mount au Pulisic na kepa mendy anatakiwa akae benchi ili iwe onyo kwake------- WERNER - KAI - ZIYECH ---------
ALONSO - JOG - KOVACIC - JAMES
--RUDIGER - THIAGO - CHALOBAH --
------------------- MENDY -------------------------
Mungu saidia leo tuvune point 3 muhimu.
Tukutane St. Mary's pale Hampshire dakika chache zijazo.
2017/18 walishirika Europa tukawafanya mbaya fainali. Baada ya hapo wakapoteana, walichobaki nayo ni midomo tuTimu yako umesahau mara ya mwisho imeshiriki lini UEFA na haujui itashiriki lini.
Unakuja kupiga kelele humu ndani.
Nafasi ya 3 na ya 4 ni ya Chelsea na Tottenham.
Odoi na Lukaku Calf/Shin/Heel Injury injury, Azpilicueta Covid-19
Huenda pia TT kaamua kuja na 4-3-3...huku Christensen akicheza km RB Afu cheek yupo kwenye Ile mid wa3Timu ya ushindi, hakuna namna nyingi
Sababu ya kuwapiga tunayo
Uwezo wa kuwapuiga tunao
Nia ya kuwapiga tunayo
na
Silaha yetu leo ni 3-4-3
------- WERNER --- KAI --- MOUNT---------
ALONSO --- KOVACIC --- KANTE --- RLC
--RUDIGER --- THIAGO --- CHRISTANSEN --
------------------- MENDY -------------------------
SUB
View attachment 2181723
Lakini pia Leo Soton utadhani haweajalipwa mishaharaLeo timu inacheza vizuri.
Kule mbele naona ule uchoyo wa kizamani.
Tungekuwaga tunacheza hivi kila match huenda tungekuwa title contenders.
Timo Werner amekosa goal kama tatu hivi kabla ya hilo goal alilofunga.
Hizi salama kwa Arsenane ambao tunakutana nao tar 18 Darajani.
Watatujua.
Dah kweli aiseeee.... Maana hata hilo goal la Kai ilishakula mwamba....Hadi sasa Werner alitakiwa awe na hatrick
Wale mbuzi j4 tukipata goli mbili za faster watatoka tu mafichoni.Hii hasira yetu ya kufunga leo twende nayo spain tukamvuruge yule swala mweupe.
Ni kweli uliona mbaliJames prowse ward anajambo lake leo