Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tukawa tunawaita Chelsix.

Halaf ujue West Brom wangeongeza kimoja tu hilo jina lingeanza upya. Au Brentford juzi wangeongeza mbili au Madrid wangongeza tatu.

Yaani mnapigwa migoli hata wanawake hua hawapigwe kiasi hicho
Arsenane

Muambie muheshimiwa jaji umepigwa goal 8 au zaidi mara ngapi?
 
Kuwa basi kama unataka tuongekus Football achautoto kwanza
Ni ngumu kumchukulia serious shabiki wa chelsea. Kwakua wewe ni mpya ukianza kutoa hoja tutajua kama na wewe ni wale wale ama la.

Ila kwa sasa wote mpo kapu moja.
 
Tukawa tunawaita Chelsix.

Halaf ujue West Brom wangeongeza kimoja tu hilo jina lingeanza upya. Au Brentford juzi wangeongeza mbili au Madrid wangongeza tatu.

Yaani mnapigwa migoli hata wanawake hua hawapigwe kiasi hicho
Kwahyo unataka kusema mabao 8 umeyasahau ....yaan Kwa miaka ya karibuni ukitoa Southampton waliopigwa bao 9 mnafuata nyinyi bao 8....na mixer bao 12 z bayern sasa cjui unajicheketua nn

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hicho ni kisingizio baada ya kupata matokeo mabaya.

Mbona wakati MNAPATA matokeo mazuri hamkusingizia? Au mgogoro umeanza JUMAMOSI ??? Au jumatano???

Mwezi march Chelsea kashinda mechi zote mpaka kupelekea Tuchel kulalamika kuhusu kutopewa tuzo ya kocha bora wa mwezi march.Kwamba mgogoro haukuwepo???
Una interview inayomuonesha tuchel kalalamikia tuzo
 
Kwahyo unataka kusema mabao 8 umeyasahau ....yaan Kwa miaka ya karibuni ukitoa Southampton waliopigwa bao 9 mnafuata nyinyi bao 8....na mixer bao 12 z bayern sasa cjui unajicheketua nn

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nilimwambia mwenzako mpya kwamba nyinyi ni vinega.

Soton 9 kafungwa lini?

Arsenal 8 kafungwa lini?

Liva 7 kafungwa lini?

Katika hao watatu nani amefungwa hizo goli nyingi karibuni kama ulivyoandika hapo?
 
Nilimwambia mwenzako mpya kwamba nyinyi ni vinega.

Soton 9 kafungwa lini?

Arsenal 8 kafungwa lini?

Liva 7 kafungwa lini?

Katika hao watatu nani amefungwa hizo goli nyingi karibuni kama ulivyoandika hapo?
Screenshot_2022-04-08-10-29-33-111_com.mobilefootie.wc2010.jpg


Mmoja wa waliofungwa goal nyingi karibuni huyo hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom