Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,368
- 77,209
Mara ya mwisho kumpiga bao nne shemeji lini?Umemunyamazisha hawezi akaongea tena.
Mara ya mwisho kumpiga bao nne shemeji lini?Umemunyamazisha hawezi akaongea tena.
Kisha . . ?Baada ya hapo tukabeba uefa, super cup na club world cup. Na timu ikatoa wachezaji bora na kocha bora duniani.
We umesema Chelsea wamefungwa magoli mengi Sana km wanawake...nikakukumbusha hicho kipigo hevi ulichopokea ...n kujibu swali lako Soton 9 kafungwa msimu uliopita na nyumbu, arsenyeto mlifungwa na nyumbu msimu WA 2011/2012 ,liver msimu uliopita.kala 7 n aston..au hukuelewa maana ya hv karibuni .... By the way tuna rekodi yetu hapo Emirates labda km tiyari imeshavunjwa mi cjui.... Ya heaviest defeat mliyoface Emirates [emoji16]Nilimwambia mwenzako mpya kwamba nyinyi ni vinega.
Soton 9 kafungwa lini?
Arsenal 8 kafungwa lini?
Liva 7 kafungwa lini?
Katika hao watatu nani amefungwa hizo goli nyingi karibuni kama ulivyoandika hapo?
John huwezi ukasema aliyesuffer heavy defeate hivi karibuni halafu hivi karibuni ikawa 2011.We umesema Chelsea wamefungwa magoli mengi Sana km wanawake...nikakukumbusha hicho kipigo hevi ulichopokea ...n kujibu swali lako Soton 9 kafungwa msimu uliopita na nyumbu, arsenyeto mlifungwa na nyumbu msimu WA 2011/2012 ,liver msimu uliopita.kala 7 n aston..au hukuelewa maana ya hv karibuni .... By the way tuna rekodi yetu hapo Emirates labda km tiyari imeshavunjwa mi cjui.... Ya heaviest defeat mliyoface Emirates [emoji16]View attachment 2180694
Kisha ukafaKisha . . ?
Labda km hukunielewa point yangu kuanzia 2010 na kuendelea....John huwezi ukasema aliyesuffer heavy defeate hivi karibuni halafu hivi karibuni ikawa 2011.
Its the reason nikasema tukishika hoja ya hivi karibuni nyinyi mtaanza
Muwe mnakuwa na identityCondom pakiti tatu zimetapakaa uwanjani Stanford Bridge. Wafanya usafi wanajisikia kinyaa kuziokota
Hahah
Nyie saiv wakupambania nafasi ya nne? Kwani mwanzo mlisemaje? Kwakweli maisha yanabadilika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Timu yako umesahau mara ya mwisho imeshiriki lini UEFA na haujui itashiriki lini.
Unakuja kupiga kelele humu ndani.
Nafasi ya 3 na ya 4 ni ya Chelsea na Tottenham.
Tunajua bingwa ni Man city we unaenda kumsindikiza tu
[emoji16] huyo ni city au Gurdiola?Usikumbie hii post yako Jumapili.
Nampiga City Jumapili,nampiga tena FA Cup nakutana nae UCL cup nampiga tena
yeye ndo anapambania nafasi ya 4Nyie saiv wakupambania nafasi ya nne? Kwani mwanzo mlisemaje? Kwakweli maisha yanabadilika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawewe unapambania nafasi ya ngapi?yeye ndo anapambania nafasi ya 4
Mimi sipambani...Nawewe unapambania nafasi ya ngapi?
Chelsea leo inaenda kuua mtu.View attachment 2181170
James prowse ward anajambo lake leoChelsea leo inaenda kuua mtu.View attachment 2181170