Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kati ya kitu Silva atasifia katika maisha yake ya soka ni uamuzi wa kuhamia Chelsea
Alichokosa PSG Chelsea kakipata
1) UEFA Champion trophy
2) UEFA Super Cup
3) FIFA Club Worl Cup
 
Mount OUT
Ziyech IN
Hawa wachezahi wote waliopumzishwa ni silaha za kummaliza RM
 
Yaani leo mlivyomfunga Southampton mnadhani mtamfunga na Real madrid tena akiwa kwake?
 
Oyaaa sikiliza wewe sisi ndio Chelsea bwana alaah...umeona kipigo Cha Leo tulichotoa? Uyo takataka Madirid ajipange
#CFC
Kikubwa tunawashukuru Southampton kwa kumtoa OllaChuga Oc mafichoni kwenye jukwaa la urembo na vipodozi na kumrudisha kwenye jukwaa la michezo.
Eti takataka Madrid
Mjiandae kwa kugongwa wimawima mtakapoenda kwenye gheto lao Santiago Bernabeu.
 
Kikubwa tunawashukuru Southampton kwa kumtoa OllaChuga Oc mafichoni kwenye jukwaa la urembo na vipodozi na kumrudisha kwenye jukwaa la michezo.
Eti takataka Madrid
Mjiandae kwa kugongwa wimawima mtakapoenda kwenye gheto lao Santiago Bernabeu.
[/QUOTE
Ile timu yenu takataka Kila siku munagongwa hamuna maana nyie ..tuwape batshywai na bakayoko waje kuwasaidia maana pale OT hawakosi namba kabisa.
 
hatutaki kushirikishwa kwenye mishe zenu za kutakatisha fedha.
Ni bora tushuke daraja tu kuliko kushirikiana na genge lenu la uhujumu uchumi.
 
Screenshot_20220409-231227.png

Mtaani hatupumui leo 😂😂😂😂
 
  • Thanks
Reactions: K11

Similar Discussions

Back
Top Bottom