42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
uliangalia mpira?Oya mwanangu naona unachanganyikiwa hivi Alonso anachezaga beki mbili (rightback) kweli? Poleni naona kisago kinawapata kisawasawa
uliangalia mpira?Oya mwanangu naona unachanganyikiwa hivi Alonso anachezaga beki mbili (rightback) kweli? Poleni naona kisago kinawapata kisawasawa
Tuwe wakweli mpira gani madrid wamecheza kiufupi makosa ya mendy imetugharibu team
We timu yako imeifunga Chelsea?Mumeona sasa?
Niliwahi kusema kwenye huu uzi munatumia muda mwingi kujazana ujinga kuliko uhalisia.
- Sasa endeleeni kujazana ujinga wa kuwa hakuna Timu inayotaka kucheza na Chelsea.
- Endeleeni kujazana ujinga wa kuwa hakuna Timu inayoweza kuifunga Chelsea.
- Endeleeni kujazana ujinga wa mwanzo wa Msimu mulipoaminishana kuwa Makombe yote ya EPL na UCL mutabeba Chelsea.
Timu yako ina hali gani?lembua na binamu yake wamefika
Hali yake nzuri. Ilidaiwa itashuka daraja ila sasa hivi inafukuzia nafasi ya tatuTimu yako ina hali gani?
Nafasi ya 3 eh? sawaHali yake nzuri. Ilidaiwa itashuka daraja ila sasa hivi inafukuzia nafasi ya tatu
Usiwe mbishiNafasi ya 3 eh? sawa
Timu yako umesahau mara ya mwisho imeshiriki lini UEFA na haujui itashiriki lini.Usiwe mbishi
Acha uongo!... goal la 3 lile ni uzembe clearly kabisa.
Yaani jamaa alikuwa peke yake akashindwa kupiga pasi?. Dah.
Sijasahau mara ya mwisho kushiriki CL.Timu yako umesahau mara ya mwisho imeshiriki lini UEFA na haujui itashiriki lini.
Unakuja kupiga kelele humu ndani.
Nafasi ya 3 na ya 4 ni ya Chelsea na Tottenham.
Pasi alipiga ikamfikia muhusika?Acha uongo!
Pasi golikipa alipiga, sema Benzema akaiwahi akapambana akainyakua!
Ilikuwa mwaka gani?Sijasahau mara ya mwisho kushiriki CL.
Kelele mnapiga nyinyi mkimkumbuka Ustadh Karim.
Tusubiri tuone
Mwaka ambao mlishika nafasi ya nane.Ilikuwa mwaka gani?
Utaje?Mwaka ambao mlishika nafasi ya nane.
Haujui auUtaje?
Bayern alikustaafishaHaujui au
Hilo swali analikwepa kweliWe timu yako imeifunga Chelsea?

Mendy alipiga pasi (ile ya kudonoa)Pasi alipiga ikamfikia muhusika?
We unashabikia timu gani mzee?