Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mendy alipiga pasi (ile ya kudonoa)

Rudiger alizubaa, alisubiri hadi mpira umfikie!!

Tumpongeze Benzema kwa kuwapa pressure Mendy na beki wake wakaji changanya.

Mie mshabiki ndakindaki wa Chelsea.
Ndaki ndaki wapi wee, Mendy aliicheza fyongo ule mpira, Rudiger kutanuka ndio utamaduni wa kuepusha contact na mpinzani kwenye eneo la hatari. Kwa mazingira yale hata hakutakiwa kumpasia Rudiger. Hizi mistakes kwa Mendy zinakuwa sasa zinajirudia na hajifunzi.
 
IMG_20220408_093028.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom