Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1648849165376.png
 
Bao nne sio mchezo

Upige mikito ya kibabe kibabe tu, nne n nyingi sana. Ukute demu ni mgomba, yan hatoi ushirikiano
 
Tarehe kama ya leo mwaka jana tulifungwa goli 2-5 nyumbani na west bromwich albion mara baada ya kuongoza mechi kwa goli moja. Na tukaenda kucheza mechi ya robo fainali tukashinda. Tuchel amecheza mind game tu madrid anaenda kufa jtano inshaAllah
 
Chelsea wakitokaga international break wanakuwa hovyo sana
Leo Rudiger hakuwa mchezoni, sijui kashasaini mkataba na Barcelona!!
Formation ya 433 haiwafai Chelsea tangu enzi za Sari na Lampard
Acha visingizio,Wape pongezi Brenford waliweza ku manage mechi vizuri,hata kipindi Cha kwanza nilicho angalia Chelsea alikuwa kazidiwa.Kwanini unatafuta visingizio ambavyo siyo vya msingi.Kwamba international break Ina uhusiano Gani na kufungwa Kwa timu Ingali timu Haina injury ni full mkoko.
 
Chelsea boss Thomas Tuchel splits from his former journalist wife Sissi after 13 years of marriage.

{Dailymail}
 
The Rickett family wamewajumuisha Rock Entertainment group wamiliiki wa clevaland caveliers inayoshiriki NBA kama washirika wao kwenye bid ya kutaka kuinunua chelsea.
Rock Group Entertainment inaongozwa na Gilbert anayekadiriwa na utajiri wa $25BN.

Ila mpaka sasa bado haijafahamika nanj atakuwa mwenye hisa nyingi kati ya Ricket family,Griffin+Gilbert.
 
Tarehe kama ya leo mwaka jana tulifungwa goli 2-5 nyumbani na west bromwich albion mara baada ya kuongoza mechi kwa goli moja. Na tukaenda kucheza mechi ya robo fainali tukashinda. Tuchel amecheza mind game tu madrid anaenda kufa jtano inshaAllah
we call it "hope"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom